Complicator
JF-Expert Member
- Aug 23, 2013
- 2,198
- 3,580
1. Salumu Mwalimu ana ushawishi na hoja, sauti ya mamlaka kuliko Lissu
2. Tundu Lissu anakera, anakera na anakera haswa. Nadhani anafanya kusudi kumchokonoa Magufuli asiuze sera amjibu na hivyo apoteze muda
3. Sugu anashinda uchaguzi huu kwenye box la kura, mapema kabla ya saa nne asubuhi
4. Mbeya na kanda ya Nyasa wamefunika nchi nzima kwa mapokezi ya CHADEMA
5. CHADEMA bado imara sana.
2. Tundu Lissu anakera, anakera na anakera haswa. Nadhani anafanya kusudi kumchokonoa Magufuli asiuze sera amjibu na hivyo apoteze muda
3. Sugu anashinda uchaguzi huu kwenye box la kura, mapema kabla ya saa nne asubuhi
4. Mbeya na kanda ya Nyasa wamefunika nchi nzima kwa mapokezi ya CHADEMA
5. CHADEMA bado imara sana.