Uchaguzi 2020 Mambo 5 niliyoyabaini uzinduzi wa kampeni kanda ya Nyasa CHADEMA

Uchaguzi 2020 Mambo 5 niliyoyabaini uzinduzi wa kampeni kanda ya Nyasa CHADEMA

Ila wanaosombwa na mafuso ya chama wamejiandikisha wote sio?
Pia kwa kuongezea ni wengi sana tunawafahamu wanaenda tu kwa ajili ya hela, ila kura zao ni 50-50 anapiga kulingana na anavyojisikia.
Watu wamechoshwa na hawa jamaa wa "chukua chako mapema" najiuliza tuu hizi gharama wanazotumia takukuru hawaoni?? Na watazirudishaje??
 
Back
Top Bottom