Consigliere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 12,037
- 24,637
Watanzania walio wengi tayari wana vitambulisho vya kupigia kura. Tume imesema waliojiandikisha kupiga kura ni above 26 milion.Pamoja na kwamba tunaona Umati ni mkubwa na kujipa Moyo Kushinda ila tusijisahaulishe kuwa wengi ya hawa Watu hawajajiandikisha kwa Kura.
Kilichopelekea watu wengi kujiandikisha ni ulazima na umuhimu wa Kitambulisho cha kura kwenye huduma mbalimbali.