Acha ramliSugu anashinda uchaguzi huu kwenye box la kura, mapema kabla ya saa nne asubuhi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ramliSugu anashinda uchaguzi huu kwenye box la kura, mapema kabla ya saa nne asubuhi
Cheki sasa unavyowashwa washwa hilo puru, nimeshalala mkuu, siwezi kukukuna muda huu, piga tu moyo konde ulale'Imeshapenya' hiyo 'Mpuuzi' mkubwa usiyejua vyema Majina ya akina Farhia Middle na Dotto Bulendu na kuwaita Midle na Burendu na Ukaumbuka.
Lissu anakuchanganya wewe tu. Mtu saa zote kuongelea kisa cha kupigwa risasi badala ya hoja na ilani ya chama chake. Saa zote kufoka na kutoa uongo.Lengo lako kuu ni kuonyesha Lissu hafai. Hayo mengine imebidi usifu tu Chadema ili uweze kuchota watu akili. Lissu ni tishio kubwa kwa Magufuli na mnatumia kila aina ya mbinu ku-discourage wapiga kura lakini hamtashinda.
Lissu anawakera, Lissu anawatetemesha na Lissu anawafanya msilale kwa raha. Hata Magufuli sasa hivi amesha-panic vibaya sana. Serikali na organs zake wamechanganyikiwa na walikuwa hawajui kama Lissu anakubalika namna hii.
Cheki sasa unavyowashwa washwa hilo puru, nimeshalala mkuu, siwezi kukukuna muda huu, piga tu moyo konde ulale
Ila wale wanaohudhuria mikutano ya CCM ndio wamejiandikisha eeeh! Mama kweli kuna watu viazi kweli kweliPamoja na kwamba tunaona Umati ni mkubwa na kujipa Moyo Kushinda ila tusijisahaulishe kuwa wengi ya hawa Watu hawajajiandikisha kwa Kura.
Waliojianfikisha wanahudhuria mikutano ya ccm tu.Pamoja na kwamba tunaona Umati ni mkubwa na kujipa Moyo Kushinda ila tusijisahaulishe kuwa wengi ya hawa Watu hawajajiandikisha kwa Kura.
Bwana mdogo huwa nakufananisha na malaya wangu mmoja wa Sinza Mori,ana msanga a.k.a msambwanda kama wako.Hivi ndivyo huwa unamjibu 'Basha' wako Yule Mwarabu Koko au?
Mimi nina uhakika wengi wa hawa watu au watanzania wengi wamejiandikisha kutokana na kitambulisho cha mpiga kura kuwa na umuhimu mkubwa sana kwani kuna mambo ulikuwa mtu huwezi kufanya bila ya kuwa na hicho kitumbulisho cha mpiga kura.Pamoja na kwamba tunaona Umati ni mkubwa na kujipa Moyo Kushinda ila tusijisahaulishe kuwa wengi ya hawa Watu hawajajiandikisha kwa Kura.
Bwana mdogo huwa nakufananisha na malaya wangu mmoja wa Sinza Mori,ana msanga a.k.a msambwanda kama wako.
Wataachaje kujaa kwenye fiestaHii nchi bhana, akienda JIWE nako watu watajaa zaidi ya hao...
Wakijaa kwenye fiestra za ccm hata kama wameletwa kwa kulazimishwa kama mama yetu alivyosema kule Musoma ni wapiga kura, lakini wakija kwenye mikutano ya wapinzani hawajajiandikisha. Mnatia huruma nyie lakini, basi tu hamna namna!Pamoja na kwamba tunaona Umati ni mkubwa na kujipa Moyo Kushinda ila tusijisahaulishe kuwa wengi ya hawa Watu hawajajiandikisha kwa Kura.
Acha kuzuga bwana mdogo, kesho niletee hayo mattercore niyachambueNaona umeamua kabisa Kututajia na eneo Kuu ambalo 'Basha' wako Yule Mwarabu Koko anaishi na huwa unampelea Nyabe na Anakunyabenga tu.
How do you know this is something I really wish to know... Any research to back up your story??Pamoja na kwamba tunaona Umati ni mkubwa na kujipa Moyo Kushinda ila tusijisahaulishe kuwa wengi ya hawa Watu hawajajiandikisha kwa Kura.
Wote waliokuwapo hapo chumbani wamesomeshwa namba kila mtu kwa wakati wake.waliojiandikisha mwaka 2015 wote wamekufa ? maana 2015 mgombea wa Chadema alipata kura zaidi ya mil 10 dhidi ya mil 3 unusu za mgombea wa ccm , hii siri Kikwete , Kinana , Nape na January wanaijua , sasa mwaka huu ccm imechokwa zaidi hali itakuwaje ?View attachment 1559863
Hahaha na anamkera kweli jiwe huko aliko1. Salumu Mwalimu ana ushawishi na hoja, sauti ya mamlaka kuliko Lissu
2. Tundu Lissu anakera, anakera na anakera haaswa. Nadhani anafanya kusudi kumchokonoa Magufuli asiuze sera amjibu na hivyo apoteze muda
3. Sugu anashinda uchaguzi huu kwenye box la kura, mapema kabla ya saa nne asubuhi
4. Mbeya na kanda ya Nyasa wamefunika nchi nzima kwa mapokezi ya CHADEMA
5. CHADEMA bado imara sanaaaaaaaaaa
View attachment 1559760
How sure are you my sisterPamoja na kwamba tunaona Umati ni mkubwa na kujipa Moyo Kushinda ila tusijisahaulishe kuwa wengi ya hawa Watu hawajajiandikisha kwa Kura.
Akikujibu tag meIla wanaosombwa na mafuso ya chama wamejiandikisha wote sio?
Hizo ndio shukrani za pundaWote waliokuwapo hapo chumbani wamesomeshwa namba kila mtu kwa wakati wake.
Weka orodha yako tuionePamoja na kwamba tunaona Umati ni mkubwa na kujipa Moyo Kushinda ila tusijisahaulishe kuwa wengi ya hawa Watu hawajajiandikisha kwa Kura.