Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Wapiga kura wengi
1.kadi wamepoteza
2.wamesahau zilipo
3.walizitelekeza baada ya kupata za nida
4.wapo waliokata tamaa hawana mood ya kupiga kura.
5.Natumaini kampen zitawafufua waliopoteza na kusahau zilipo wazitafute,waliokata tamaa matumain yarudi
Atleast Leo umeandika comment kuntu khaa🙌