Uchaguzi 2020 Mambo 5 niliyoyabaini uzinduzi wa kampeni kanda ya Nyasa CHADEMA

Uchaguzi 2020 Mambo 5 niliyoyabaini uzinduzi wa kampeni kanda ya Nyasa CHADEMA

Pamoja na kwamba tunaona Umati ni mkubwa na kujipa Moyo Kushinda ila tusijisahaulishe kuwa wengi ya hawa Watu hawajajiandikisha kwa Kura.

Mkuu wapiga kura kwa mujibu wa tume ya uchaguzi wako 29m+. Watanzania tuko 59m+, yaani wapiga kura ni nusu ya watanzania wote, yaani kila watanzania wawili mmoja kajiandikisha kupiga kura! Kwa maneno marahisi hakuna mtu aliye juu ya miaka 18+ ambaye hajajiandikisha kupiga kura.

Sasa hapa ni aidha ukubali kuwa tume ya uchaguzi imepika data za wapiga kura, au ukubali kwa shingo upande kuwa wote hao wana vitambulisho vya kura. Iwapo utakubali kuwa idadi ya wapiga kura ni 29m+, basi hoja yako kuwa watu hawana vitambulisho inakufa natural death. Na iwapo itabidi ukatae hiyo idadi ya tume kuwa ni ya kupika, basi hata matokeo watakayotangaza yatakuwa ya kupika. Hiyo inaitwa ukikaa nchale, ukisimama nchale. Habari ndio hiyo mtani. Iwe iwavyo, huu ni udhibitisho kuwa ccm haina uwezo wa kushinda uchaguzi wowote kihalali nchi hii zaidi ya 55%.
 
Lengo lako kuu ni kuonyesha Lissu hafai. Hayo mengine imebidi usifu tu Chadema ili uweze kuchota watu akili. Lissu ni tishio kubwa kwa Magufuli na mnatumia kila aina ya mbinu ku-discourage wapiga kura lakini hamtashinda. Lissu anawakera, Lissu anawatetemesha na Lissu anawafanya msilale kwa raha. Hata Magufuli sasa hivi amesha-panic vibaya sana. Serikali na organs zake wamechanganyikiwa na walikuwa hawajui kama Lissu anakubalika namna hii.

ni rasmi wewe hauna ubongo
 
Wapiga kura wengi
1.kadi wamepoteza
2.wamesahau zilipo
3.walizitelekeza baada ya kupata za nida
4.wapo waliokata tamaa hawana mood ya kupiga kura.
5.Natumaini kampen zitawafufua waliopoteza na kusahau zilipo wazitafute,waliokata tamaa matumain yarudi
 
Yule shetani anakera sn ndio maana Tundu Lissu anamkemea kwa nguvu zote
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Shida yangu Kubwa ni kutaka 'Kukukojolea' tu Wewe na 'itaisha' rasmi.

Pole sana. Unahitaji msaada wa counseling.

Una sonona ya hali ya juu. Yaani unawaza kumuumiza mtu ili kuweka balance kwamba na yeye aumie Kama wewe.

Tanzania tunahitaji kuanzisha vituo vya counceling kusaidia watu wenye matatizo Kama yako.
 
1. Salumu Mwalimu ana ushawishi na hoja, sauti ya mamlaka kuliko Lissu

2. Tundu Lissu anakera, anakera na anakera haaswa. Nadhani anafanya kusudi kumchokonoa Magufuli asiuze sera amjibu na hivyo apoteze muda

3. Sugu anashinda uchaguzi huu kwenye box la kura, mapema kabla ya saa nne asubuhi

4. Mbeya na kanda ya Nyasa wamefunika nchi nzima kwa mapokezi ya CHADEMA

5. CHADEMA bado imara sanaaaaaaaaaa

View attachment 1559760
mkuu nilijua leo nmeshuhudia kwa macho yangu akizindua tawi nzovye da watu walijaa utafikili ndo ilikua sehem ya mkutano , lissu sio mtu wa kawaida, nimefurai leo kumuona maana nimekua nikipishana nae
 
hii nchi bhana, akienda JIWE nako watu watajaa zaidi ya hao...
Tutawaleta na na ma-bus yetu mkuu.
JamiiForums-1170564740.jpg
 
Pole sana. Unahitaji msaada wa counseling.

Una sonona ya hali ya juu. Yaani unawaza kumuumiza mtu ili kuweka balance kwamba na yeye aumie Kama wewe.

Tanzania tunahitaji kuanzisha vituo vya counceling kusaidia watu wenye matatizo Kama yako.

Na 'aliyekuleta' hapa duniani kupitia 'Wodi' ya 'Uzazi' Yeye 'alipona' lini labda hili tatizo?
 
1. Salumu Mwalimu ana ushawishi na hoja, sauti ya mamlaka kuliko Lissu

2. Tundu Lissu anakera, anakera na anakera haaswa. Nadhani anafanya kusudi kumchokonoa Magufuli asiuze sera amjibu na hivyo apoteze muda

3. Sugu anashinda uchaguzi huu kwenye box la kura, mapema kabla ya saa nne asubuhi

4. Mbeya na kanda ya Nyasa wamefunika nchi nzima kwa mapokezi ya CHADEMA

5. CHADEMA bado imara sanaaaaaaaaaa

View attachment 1559760
Kanda ya Nyasa ndo Ngome kuu ya Chadema!!! Watu wa kule wanajielewa sana. Lissu kesho aende Kyera alafu amalizie na Songwe. Magufuli lazima alale na viatu!!
 
Hapo uliposema chadema bado ipo imara umepiga penyewe nadhani wale waliotoa ushauri wa kukandamiza upinzani wameona matunda yake
Subili 31 oct ndo utjua chadema wapo mochwari
 
Umati wa magufuli wamejiandikisha ila kwa lissu hawajajiandikisha au sio.partisanism distort mental ability.....
Umati kwa magufuli wanafuta fiesta.... Kura kwa Tundu Lissu
 
Kwa Mbeya inabidi Sugu aingie timu ya kumnadi mgombea u-Rais Tundu Lissu. Bado Sugu ana mtaji wa wapiga kura wake 100,000 wa mwaka 2015. Huyo Kigagula Tulia Ackson ameshapigwa knockout. Mbeya ni ya CHADEMA
 
Back
Top Bottom