Saint Joseph
Member
- Aug 26, 2020
- 47
- 12
Pigia mstariIla wanaosombwa na mafuso ya chama wamejiandikisha wote sio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pigia mstariIla wanaosombwa na mafuso ya chama wamejiandikisha wote sio?
1. Salumu Mwalimu ana ushawishi na hoja, sauti ya mamlaka kuliko Lissu
2. Tundu Lissu anakera, anakera na anakera haaswa. Nadhani anafanya kusudi kumchokonoa Magufuli asiuze sera amjibu na hivyo apoteze muda
3. Sugu anashinda uchaguzi huu kwenye box la kura, mapema kabla ya saa nne asubuhi
4. Mbeya na kanda ya Nyasa wamefunika nchi nzima kwa mapokezi ya CHADEMA
5. CHADEMA bado imara sanaaaaaaaaaa
View attachment 1559760
Lengo lako kuu ni kuonyesha Lissu hafai. Hayo mengine imebidi usifu tu Chadema ili uweze kuchota watu akili. Lissu ni tishio kubwa kwa Magufuli na mnatumia kila aina ya mbinu ku-discourage wapiga kura lakini hamtashinda.
Lissu anawakera, Lissu anawatetemesha na Lissu anawafanya msilale kwa raha. Hata Magufuli sasa hivi amesha-panic vibaya sana. Serikali na organs zake wamechanganyikiwa na walikuwa hawajui kama Lissu anakubalika namna hii.
Hiyo combination baba haikuja kwa baahati mbaya it was well calculated.1. Salumu Mwalimu ana ushawishi na hoja, sauti ya mamlaka kuliko Lissu
2. Tundu Lissu anakera, anakera na anakera haaswa. Nadhani anafanya kusudi kumchokonoa Magufuli asiuze sera amjibu na hivyo apoteze muda
3. Sugu anashinda uchaguzi huu kwenye box la kura, mapema kabla ya saa nne asubuhi
4. Mbeya na kanda ya Nyasa wamefunika nchi nzima kwa mapokezi ya CHADEMA
5. CHADEMA bado imara sanaaaaaaaaaa
View attachment 1559760
Lissu ndio chanzo cha Yote. Walianza kwa Nyalandu wakashindwa, wakaja na Membe wakafeli. Wamehamia kwa Hashimu Rungwe Spunda mzee wa ubweche.Lengo la mleta mada ni kum isolate Lissu.
Hatudanganyiki!
Alisema JK "ni heri slaa awe rais kuliko Lissu mbunge."
Sasa kuna ka mutation "ni heri yeyote lakini si Lissu!"
Si wema hawa. Huyu, samia, jiwe na ndugu zao lb7 ni wale wale.
Hawa ndiyo wenye kukaanga mbuyu na kuwaachia wenye meno watafune.
aende bila wasanii uone kama atafikisha umati huoHii nchi bhana, akienda JIWE nako watu watajaa zaidi ya hao...
Uwe muangalifu,Kuna siku tutashindwa kukutofautisha wewe na pascal mayala.we ni mtu mkubwa apa jf tunakuheshimu sana.majibu watch out please.take or leave'Nimecheka' sana tu Mkuu.
Magufuli na wenzake walituambia kwenye vikao vyetu vya chama cha ccm kwamba upinzani umekufa nchini, sasa hiki ni nini ?1. Salumu Mwalimu ana ushawishi na hoja, sauti ya mamlaka kuliko Lissu
2. Tundu Lissu anakera, anakera na anakera haaswa. Nadhani anafanya kusudi kumchokonoa Magufuli asiuze sera amjibu na hivyo apoteze muda
3. Sugu anashinda uchaguzi huu kwenye box la kura, mapema kabla ya saa nne asubuhi
4. Mbeya na kanda ya Nyasa wamefunika nchi nzima kwa mapokezi ya CHADEMA
5. CHADEMA bado imara sanaaaaaaaaaa
View attachment 1559760
Jifunze kuficha upumbavu wako uliokubuhu kabla hali haijawa mbayaUnauliza 'Mavuzi' sehemu za 'Siri' Mkuu?
Pamoja na kwamba tunaona Umati ni mkubwa na kujipa Moyo Kushinda ila tusijisahaulishe kuwa wengi ya hawa Watu hawajajiandikisha kwa Kura.
Pamoja na kwamba tunaona Umati ni mkubwa na kujipa Moyo Kushinda ila tusijisahaulishe kuwa wengi ya hawa Watu hawajajiandikisha kwa Kura.
Ni wafuasi wa CHADEMA tu ambao hawajajiandikisha! Maana LISSU AKIJAZA mnasema sio waliga kura! Je Ni wapiga nn?Pamoja na kwamba tunaona Umati ni mkubwa na kujipa Moyo Kushinda ila tusijisahaulishe kuwa wengi ya hawa Watu hawajajiandikisha kwa Kura.
Kwanini?Pamoja na kwamba tunaona Umati ni mkubwa na kujipa Moyo Kushinda ila tusijisahaulishe kuwa wengi ya hawa Watu hawajajiandikisha kwa Kura.
Mbona una chuki na lissu1. Salumu Mwalimu ana ushawishi na hoja, sauti ya mamlaka kuliko Lissu
2. Tundu Lissu anakera, anakera na anakera haaswa. Nadhani anafanya kusudi kumchokonoa Magufuli asiuze sera amjibu na hivyo apoteze muda
3. Sugu anashinda uchaguzi huu kwenye box la kura, mapema kabla ya saa nne asubuhi
4. Mbeya na kanda ya Nyasa wamefunika nchi nzima kwa mapokezi ya CHADEMA
5. CHADEMA bado imara sanaaaaaaaaaa
View attachment 1559760
Wewe tafuta "chadema media tv" kupitia Google au andika "mapokezi ya tundu Lisu mbeya" uone maajabuJaman picha na video za mbeya wapi
Huyu ndundami Magufuli asiende Tu mbeya aisee1. Salumu Mwalimu ana ushawishi na hoja, sauti ya mamlaka kuliko Lissu
2. Tundu Lissu anakera, anakera na anakera haaswa. Nadhani anafanya kusudi kumchokonoa Magufuli asiuze sera amjibu na hivyo apoteze muda
3. Sugu anashinda uchaguzi huu kwenye box la kura, mapema kabla ya saa nne asubuhi
4. Mbeya na kanda ya Nyasa wamefunika nchi nzima kwa mapokezi ya CHADEMA
5. CHADEMA bado imara sanaaaaaaaaaa
View attachment 1559760