Uchaguzi 2020 Mambo 5 niliyoyabaini uzinduzi wa kampeni kanda ya Nyasa CHADEMA

Uchaguzi 2020 Mambo 5 niliyoyabaini uzinduzi wa kampeni kanda ya Nyasa CHADEMA

5 September 2020
Mbeya , Tanzania

Tundu Lissu : Serikali ya CHADEMA itaweka mazingira ya Uchumi wa saa 24 katika miji yote mikubwa



Hayo yamebainishwa katika mkutano mkubwa wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu ambapo CHADEMA inawania kupata ridhaa ya wananchi kukubali kuwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atoke CHADEMA na pia wabunge wengi na madiwani ili kuongoza majimbo na Halmashauri pamoja na kata ili kuleta Maendeleo ya Watu katika ngazi zote.
 
1. Salumu Mwalimu ana ushawishi na hoja, sauti ya mamlaka kuliko Lissu

2. Tundu Lissu anakera, anakera na anakera haaswa. Nadhani anafanya kusudi kumchokonoa Magufuli asiuze sera amjibu na hivyo apoteze muda

3. Sugu anashinda uchaguzi huu kwenye box la kura, mapema kabla ya saa nne asubuhi

4. Mbeya na kanda ya Nyasa wamefunika nchi nzima kwa mapokezi ya CHADEMA

5. CHADEMA bado imara sanaaaaaaaaaa

View attachment 1559760

Lengo la mleta mada ni kum isolate Lissu.

Hatudanganyiki!

Alisema JK "ni heri slaa awe rais kuliko Lissu mbunge."

Sasa kuna ka mutation "ni heri yeyote lakini si Lissu!"

Si wema hawa. Huyu, samia, jiwe na ndugu zao lb7 ni wale wale.

Hawa ndiyo wenye kukaanga mbuyu na kuwaachia wenye meno watafune.
 
Lengo lako kuu ni kuonyesha Lissu hafai. Hayo mengine imebidi usifu tu Chadema ili uweze kuchota watu akili. Lissu ni tishio kubwa kwa Magufuli na mnatumia kila aina ya mbinu ku-discourage wapiga kura lakini hamtashinda.

Lissu anawakera, Lissu anawatetemesha na Lissu anawafanya msilale kwa raha. Hata Magufuli sasa hivi amesha-panic vibaya sana. Serikali na organs zake wamechanganyikiwa na walikuwa hawajui kama Lissu anakubalika namna hii.

Jaribu kumuuliza aeleze zaidi kwa nini ni Mwalimu na sio Lissu ili tufaidike muono wake.
 
1. Salumu Mwalimu ana ushawishi na hoja, sauti ya mamlaka kuliko Lissu

2. Tundu Lissu anakera, anakera na anakera haaswa. Nadhani anafanya kusudi kumchokonoa Magufuli asiuze sera amjibu na hivyo apoteze muda

3. Sugu anashinda uchaguzi huu kwenye box la kura, mapema kabla ya saa nne asubuhi

4. Mbeya na kanda ya Nyasa wamefunika nchi nzima kwa mapokezi ya CHADEMA

5. CHADEMA bado imara sanaaaaaaaaaa

View attachment 1559760
Hiyo combination baba haikuja kwa baahati mbaya it was well calculated.

Hiyo ni compound siyo mixture
 
Lengo la mleta mada ni kum isolate Lissu.

Hatudanganyiki!

Alisema JK "ni heri slaa awe rais kuliko Lissu mbunge."

Sasa kuna ka mutation "ni heri yeyote lakini si Lissu!"

Si wema hawa. Huyu, samia, jiwe na ndugu zao lb7 ni wale wale.

Hawa ndiyo wenye kukaanga mbuyu na kuwaachia wenye meno watafune.
Lissu ndio chanzo cha Yote. Walianza kwa Nyalandu wakashindwa, wakaja na Membe wakafeli. Wamehamia kwa Hashimu Rungwe Spunda mzee wa ubweche.
 
1. Salumu Mwalimu ana ushawishi na hoja, sauti ya mamlaka kuliko Lissu

2. Tundu Lissu anakera, anakera na anakera haaswa. Nadhani anafanya kusudi kumchokonoa Magufuli asiuze sera amjibu na hivyo apoteze muda

3. Sugu anashinda uchaguzi huu kwenye box la kura, mapema kabla ya saa nne asubuhi

4. Mbeya na kanda ya Nyasa wamefunika nchi nzima kwa mapokezi ya CHADEMA

5. CHADEMA bado imara sanaaaaaaaaaa

View attachment 1559760
Magufuli na wenzake walituambia kwenye vikao vyetu vya chama cha ccm kwamba upinzani umekufa nchini, sasa hiki ni nini ?

Kuna mtu anakera sana
 
Kitakachokuokoa kukoswa koswa na matusi kutoka BAVICHA ni vile umempaisha SUGU.
 
Pamoja na kwamba tunaona Umati ni mkubwa na kujipa Moyo Kushinda ila tusijisahaulishe kuwa wengi ya hawa Watu hawajajiandikisha kwa Kura.
Ni wafuasi wa CHADEMA tu ambao hawajajiandikisha! Maana LISSU AKIJAZA mnasema sio waliga kura! Je Ni wapiga nn?
 
Mb
1. Salumu Mwalimu ana ushawishi na hoja, sauti ya mamlaka kuliko Lissu

2. Tundu Lissu anakera, anakera na anakera haaswa. Nadhani anafanya kusudi kumchokonoa Magufuli asiuze sera amjibu na hivyo apoteze muda

3. Sugu anashinda uchaguzi huu kwenye box la kura, mapema kabla ya saa nne asubuhi

4. Mbeya na kanda ya Nyasa wamefunika nchi nzima kwa mapokezi ya CHADEMA

5. CHADEMA bado imara sanaaaaaaaaaa

View attachment 1559760
Mbona una chuki na lissu
 
1. Salumu Mwalimu ana ushawishi na hoja, sauti ya mamlaka kuliko Lissu

2. Tundu Lissu anakera, anakera na anakera haaswa. Nadhani anafanya kusudi kumchokonoa Magufuli asiuze sera amjibu na hivyo apoteze muda

3. Sugu anashinda uchaguzi huu kwenye box la kura, mapema kabla ya saa nne asubuhi

4. Mbeya na kanda ya Nyasa wamefunika nchi nzima kwa mapokezi ya CHADEMA

5. CHADEMA bado imara sanaaaaaaaaaa

View attachment 1559760
Huyu ndundami Magufuli asiende Tu mbeya aisee
 
Back
Top Bottom