Mambo 6 Duniani yaliyotokea kwa namna ya kuacha Mdomo wazi

Mambo 6 Duniani yaliyotokea kwa namna ya kuacha Mdomo wazi

Namba 9 mmmhh huyo abiri kama vile alihusika kwa ajili nawaza kwa sauti tuu
 
Hiyo ya kwanza kuhusu kufanana kwa Enzo Ferrari na Ozil nilikuwa naijua lakini nyingine zote ni mpya na zimenisisimua sana.
Asante mkuu mtoa mada,kazi nzuri.
Inaonekana mfatilia mpira sana
 
Inaonekana mfatilia mpira sana
Una akili sana mkuu,hata hivyo kwa ID yako sishangai...sisi Masai tuko vizuri upstairs bwana [emoji4]

Uko sahihi,mimi ni shabiki wa kutupwa wa Arsenal na Real Madrid,hivyo ningeachaje kujua yanayomhusu Ozil?

Halafu ni coincidence kubwa nyingine nampenda Ozil na kazaliwa tarehe moja na kiumbe mmoja wa muhimu sana maishani mwangu.
Huwa nashangaa sana.
 
Una akili sana mkuu,hata hivyo kwa ID yako sishangai...sisi Masai tuko vizuri upstairs bwana [emoji4]

Uko sahihi,mimi ni shabiki wa kutupwa wa Arsenal na Real Madrid,hivyo ningeachaje kujua yanayomhusu Ozil?

Halafu ni coincidence kubwa nyingine nampenda Ozil na kazaliwa tarehe moja na kiumbe mmoja wa muhimu sana maishani mwangu.
Huwa nashangaa sana.

Itabidi nifanye update ya hiyo coincidences, ahahahhah
 
Daaah! Utasema mashetani ndo yanapanga au kuna mtu alikuwa anayatrack hayo matukio
 
e2a51f7de2a2548abbf0cce78465e09d.jpg
ecd160c12de42244fe5e1cf3b5e2cbd4.jpg
Enzo Ferrari wa maranello dahhh.mkuu ukitaja Ferrari mawazo yanakuja haraka ni speed,ila wamefanana aisee na kijana wa Gelsenkirchen Mesut Özil mjerumani mwenye asili ya uturuki(mzaliwa wa ujerumani)
Hapa si bure, Ozil atwambie ukweli.
 
Hahahah me iliyonifurahisha ni hyo ya game...eti mwanzo gem ikianza wanasema twin towers yalilipuliwa na magaidi
 
Wazungu wana maisha ya kuweka rekodi,tofauti na sisi,inawezekana hapo ulipo hata hujui muda na saa uliozaliwa,inaweza kuja kugongana exactly na muda atakaozaliwa labda mwanao au mjukuu wako,na matukio mengineyo
Siwausudu saaana hawa wazunguz
 
Back
Top Bottom