LOSEJMASAI
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 332
- 856
- Thread starter
- #81
Siwausudu saaana hawa wazunguz
Kwanini Mkuu.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwausudu saaana hawa wazunguz
wafu wanakufa?Nani alikuambia wafu wanakufa?.
Fuatilia na wale akina PLO Lumumba Jnr na Patrice Lumumba, akina Plato, Martin Luther King Jnr, Marcus Ganvery, Tesla, na Wanafalisafa wengine uone kama historia zao hazilandani!.
mmmh! Unamaanisha?ndo ujue ukifa bongo utazaliwa china au usa upya kabisa kwa sura nyingine na jina lingine kama hitler
namba 9 ni zaidi ya coincidenceTwo is just a coincidence. Kuanzia tatu na kuendelea ni pattern hapo unaweza kushangaa.
Aisee hawa hawakuwa na undugu kabisa? Hii inashangaza.Chanzo cha Finger Print ni hawa jamaa waliofanana Majina hadi Sura View attachment 463706
Huyo Ferrari alikuwa raia wa wapi?Umeona Mkuu,,, ahahahha ni hatari sana
Kuna wanaoamini kuna kuishi kwa namna hii, mtu akifa anarudi mara ya pili.Huyu ozil usikute anaishi Mara ya pili
Ni Muitalia (Italy)Huyo Ferrari alikuwa raia wa wapi?
Rebirth of soul in another body.Reincarnation nini?