Mambo 6 Duniani yaliyotokea kwa namna ya kuacha Mdomo wazi

Mambo 6 Duniani yaliyotokea kwa namna ya kuacha Mdomo wazi

Nadhani, ni ile imani ya kwamba mtu akifa anarudi duniani in different person
Ni imani ya baadhi ya madhehebu ya dini za kiasia, nadhani hata za kiafrika pia. Kwamba ukifa hapa duniani, utazaliwa kiumbe kingine au mtu mwingine hapahapa duniani. Ubora wa kiumbe kijacho hutegemeana na maisha unayoyaishi leo.

Mfano, simba mwema akifa anaweza akazaliwa binadamu mkatili kidogo kama simba, akijitaidi nae akifa anaweza kuzaliwa mtu mwema. Imani hii inaonesha kwamba maisha ni mzunguko tu wa shida duniani.

Kwa imani hii, peponi au paradiso ni kutoweka kwenye huu mzunguko. Kuna kanuni nne zmezaa nane ukizifuata, ukifa mwili wako unatoweka nje ya mzunguko huu wa shida, na kuishi tena kunakoma.
 
Wazungu wana maisha ya kuweka rekodi,tofauti na sisi,inawezekana hapo ulipo hata hujui muda na saa uliozaliwa,inaweza kuja kugongana exactly na muda atakaozaliwa labda mwanao au mjukuu wako,na matukio mengineyo
Na hapa ndipo wanapotushindia, rekodi. Hakuna ugunduzi uliofanyika kwa ukamilifu wake,,,,,, rekodi za jana zilitumika kuiboresha leo. Waafrika tuliweka rekodi vichwani tena mwa wachache, akifa na vyote vinakwisha.
 
inasemekana hapa duniani kuna kikundi fulani cha wanadamu wenye uwezo usio wa kawaida,kwa sababau wanazo zijuwa wao,wanahusika kupanga matukio makubwa yanayotokea duniani.

sina hakika sana ngoja nimuulize mkuu The bold
Bible inasema kuna wana Mungu waliwatamani mabinti wa Nuhu, wakazaliana. Shehe Yahya nae alisema majini huzaliana na wanadamu, na stori zingine kama hizo,,,,,, nalo linaweza likawa na mashiko. Unadhani hivyo vizaliwa vingekuwaje?
 
Kifo cha Pope John Paul I (The smiling Pope) Au Albino Luciani aliyekufa Kiajabu (assassinated) Baada ya Kuwa Pope kwa Siku 33 tu. Pope huyu alifikia Mauti yake baada ya Kuazimia Kudhibiti Kashfa ya Wizi na Utakatishaji wa Fedha Uliokuwa Ukifanywa Kati ya Vartican Bank na Banco Ambrosiano.


Cardinals wakielekea kwenda kupiga Kura Sistine Chapel 1978 (The Tall black Cardinal is Laurian Rugabwa from Tanzania)

Siku 33 Baadaye wakaitwa kwa ajili ya Mazishi ya Albino Lucian ( John Paul I) na Pia kuingia Tena Kumchagua Pope Mwingine ambapo Pope John Paul II (Carol Woijtyla)



 
1. Ozil na Ferrari
Enzo Ferrari mwanzilishi wa ferrari ambaye Kisura anafanana na Mchezaji wa mpira Mesut Ozil alifariki Mwaka ambao Ozil alizaliwa.

5040f2c2-cc99-4587-b437-dbf8c28dc6f6.jpg


2. Lincoln na Kennedy.
Maraisi wawili wa Marekani waliowahi kupendwa sana Lincoln na Kennedy wote walikuwa na urefu sawa wa futi sita. Wote waliwahi kwenda vitani kabla ya kuwa Marais. Wote walikufa siku ya ijumaa. Wote kwa kupigwa risasi kichwani. wote wakiwa wamekaa pembeni ya wake zao.

854bd75f-829a-463f-95c9-4858ed986291.gif


3. Kutabiriwa kwa Titanic.
Miaka 14 kabla ya kutengenezwa titanic, mwandishi wa vitabu Morgan Robertson alitabiri Kuzama kwa Titanic. Kwenye kitabu chake cha Futility, or the Wreck of the Titan alitumia jina la titan kusimulia meli isiyoweza kuzama. Meli ya kwenye kitabu ilikuwa urefu sawa na meli ya ukweli ya Titanic. Meli ya kwenye kitabu cha Robertson ilizama kwa kugonga mwamba wa barafu kwenye Bahari ya Atlantic ya kaskazini, kitu ambacho kilitokea pia kwenye titanic ya ukweli.
013bd087-2f7c-4b85-86fb-6ddde6e48965.jpg


4. Mfalme Umberto I wa Italy
Mfalme Umberto I wa Italy alifahamiana na mumiliki wa mgahawa baada ya kugundua kuwa wote wamezaliwa siku moja, mji mmoja na wote wameoa wanawake wenye majina yanayofanana. Siku chache baadaye wote wakauliwa siku moja sehemu tofauti kwa kupigwa risasi.


442b575c-9d18-4adf-800a-9d6819e902bb.jpg


5. Napoleon na Hitler (129).
Adolf Hitler alizaliwa miaka 129 baada Napoleon Bonaparte. alitawala miaka 129 baada ya utawala wa Napoleon. aliivamia Urusi miaka 129 baada ya Napoleon kuivamia Urusi pia. Na aliondolewa madarakani miaka 129 baada ya Napoleon naye kuondolewa madarakani.

ca79d43d-c905-4542-ac0e-e5b2b104aee3.jpg


6. Gari la Archiduke Ferdinand.

Kuuliwa kwa Archduke Franz Ferdinand kulifungua rasmi vita ya kwanza ya dunia. Gari alilokuwa amepanda wakati anauliwa lilikuwa na plate number A11-11-18. Vita vya kwanza vikaisha rasimi November 11, 1918 - 11-11-18.
9f162de7-d2f3-4289-b287-f17fdfabd6f1.jpg



Three Updates


7. Ujenzi wa Bwawa la Hoover
Ujenzi wa bwawa hili liligharimu maisha ya watu wengi, lakini mtu wa kwanza kufa ni bwana J.G. Tierny, ambaye alifariki December 20, 1922. Mfanyakazi wa Mwisho kufa kwenye huu ujenzi alikuwa Mtoto wa Tierny alikufa siku sawa na siku aliyokufa baba ake miaka 13 baadaye, December 20, 1935.
5903df49-d792-4a1f-b4f7-be183d72a5c7.jpg



8. Video game Iliyotabiri semptember eleven (Twin tower iliyopigwa na Osama)
Video game ya Deus Ex ambayo ilikuwa officially released June 2000. Game hili lilitengenezwa kuakisi maisha ya New york city, lakini katika hatua za mwisho kabisa wakagundua kwamba wamesahau kuyaweka majengo pacha ya biashara (Twin Towers). Ili kukwepa gharama na muda wa kuanza kutengeneza upya ikabidi waandike tu mwanzo wa game kwamba yale majengo yamelipuliwa na magaidi.
c08e89b2-e0ef-4624-946e-a9b84b6492aa.jpg


9. Ndugu wawili wa Hamilton
Dereva wa baiskeli yenye injini (Moped) mji wa Hamilton, Bermuda alifariki mwaka 1974 kwa kugongwa na taxi. mwaka ulifuta 1975 eneo lile lile, mdogo wake naye aligongwa akiwa anaendesha baiskeli ya injini, gari iliyomgonga ni ile ile iliyomgonga kaka ake, na cha ajabu kabisa dereva yule yule, na pia alikuwa amebeba abiria yule yule aliyekuwa amemubeba siku anamugonga kaka mtu.
d73d7446-4194-4ae4-a8a5-716959e833e5.jpg
Kennedy alipigwa risasi ya shingo, siyo kichwa. Soma vizuri upelelezi wa kufo chake.
 
Nakuongezea Hizi tatu tena

7. Ujenzi wa Bwawa la Hoover
Ujenzi wa bwawa hili liligharimu maisha ya watu wengi, lakini mtu wa kwanza kufa ni bwana J.G. Tierny, ambaye alifariki December 20, 1922. Mfanyakazi wa Mwisho kufa kwenye huu ujenzi alikuwa Mtoto wa Tierny alikufa siku sawa na siku aliyokufa baba ake miaka 13 baadaye, December 20, 1935.
5903df49-d792-4a1f-b4f7-be183d72a5c7.jpg



8. Video game Iliyotabiri semptember eleven (Twin tower iliyopigwa na Osama)
Video game ya Deus Ex ambayo ilikuwa officially released June 2000. Game hili lilitengenezwa kuakisi maisha ya New york city, lakini katika hatua za mwisho kabisa wakagundua kwamba wamesahau kuyaweka majengo pacha ya biashara (Twin Towers). Ili kukwepa gharama na muda wa kuanza kutengeneza upya ikabidi waandike tu mwanzo wa game kwamba yale majengo yamelipuliwa na magaidi.
c08e89b2-e0ef-4624-946e-a9b84b6492aa.jpg


9. Ndugu wawili wa Hamilton
Dereva wa baiskeli yenye injini (Moped) mji wa Hamilton, Bermuda alifariki mwaka 1974 kwa kugongwa na taxi. mwaka ulifuta 1975 eneo lile lile, mdogo wake naye aligongwa akiwa anaendesha baiskeli ya injini, gari iliyomgonga ni ile ile iliyomgonga kaka ake, na cha ajabu kabisa dereva yule yule, na pia alikuwa amebeba abiria yule yule aliyekuwa amemubeba siku anamugonga kaka mtu.
d73d7446-4194-4ae4-a8a5-716959e833e5.jpg
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] noma sanaa
 
Kennedy alipigwa risasi ya shingo, siyo kichwa. Soma vizuri upelelezi wa kufo chake.
Alipigwa Risasi Mbili, moja shingoni ya Kwanza, Na ya pili kichwani. Wanaosema alipigwa Risasi moja ni wale waliotaka kusema Muuaji alikuwa ni mmoja. Ukweli ni Kuwa Makamo wa Rais Lindon Johnson ndiye aliyepanga yale mauaji. Maana J F. Kennedy, Boby F. Kennedy na Martin Luther King Jr wote alikuwa na beaf nao, na wote wafe, tena wote wafe kwa kupigwa Risasi, na kwa kupigwa Risasi na Lone assassin? Probability ya hiyo kuwa ni coincidence, ni ndogo kuliko kupigwa na Radi ukiwa ndani ya Ukumbi wa Senem!

Tazama Zapruder Film, anapigwa Risasi, anajishika shingo, Mkewe anamwatamia, na Kisha anapigwa nyingine Ubongo unasambaza na Mkewessafari hii anapanic anaruka kuokota kipande cha fuvu kilichofumuliwa kutoka kichwa cha Kennedy!



 
kuna ile baada ya kumtafuta binti yao aliyepotea kwa muda mrefu ilibidi wazazi wale wakariport kwenye gazeti,
wakati wanapiga picha ya kuweka gazetini pembezoni ya barabara pale karibu na ofice za gazeti kumbe wakati huo huo yule msichana alikuwa akipita hivyo akajikuta naye yupo kwenye ile picha ila wazazi hawakugundua kuwa kwenye background ni binti yao kwakuwa ilikuwa ishapita miaka kibao yule binti ndiye aliye kujakutambua baada ya kuona picha gazetini
article-1302189-0AC34D95000005DC-895_638x607.jpg

Amazing coincidence: Michael Dick with his daughters Shannon and Samantha and (circled) his other daughter Lisa and his ex-wife in the background. A journalist from a local paper took the snap to help him find Lisa, whom he had not seen for a decade



Read more: Photo of father looking for his long-lost daughter reveals her in the background | Daily Mail Online
Follow us: @MailOnline on Twitter | DailyMail on Facebook
 
Back
Top Bottom