Mambo 6 Duniani yaliyotokea kwa namna ya kuacha Mdomo wazi

Mambo 6 Duniani yaliyotokea kwa namna ya kuacha Mdomo wazi

c92c8a6234854a261280866b5bbaff04.jpg


Jamaa mmoja alipotea baharini takribani siku 33, alijitahidi kuogelea na alifanikiwa kufika ufuo wa visiwa vya Marshall Islands.

Cha kushangaza, visiwani humo alikutana mjombake ambaye inasadikika alipotea baharini takriban miaka 50 iliyopita.
Mmh! Hii kali miaka 50 alikuwa monster huyo.
 
Nataka kufananisha zile conspiracy theory zinazodai kuwa Freemasons huwa wana ratibu hiyo mipango.Ni masterminding under Fremasonry system ndio maana hutokea kwao tu na kwa watu maarufu.
 
Mimi sina kipaji cha uandishi ninakipaji cha kuongea tu tena bila kipaza sauti ila Kuna kitu kinaitwa TIME TRAVEL/TIME TRAVEL MACHINE inaweza ikakurudisha nyuma hata miaka mia moja ukaona uliishi vipi na ulikuwa nani.
THE DEAD NOT STAY DEAD.
Kuna mlango kati ya wakati wa nyuma na wakati uliopo. Kuna watu wachache ambao kiasili huwa wana nguvu ya ku note matukio au sehemu au mtu na kuhisi kama walishaonana kabla au anaona tukio kama linajirudia kwa muundo uleule mpaka muda unakuwa no uleule lakini akijiuliza ilikuwa ni lini aliliona aliliona tukio lile kwa mara ya kwanza anakuwa hana majibu.
 
Nakuongezea Hizi tatu tena

7. Ujenzi wa Bwawa la Hoover
Ujenzi wa bwawa hili liligharimu maisha ya watu wengi, lakini mtu wa kwanza kufa ni bwana J.G. Tierny, ambaye alifariki December 20, 1922. Mfanyakazi wa Mwisho kufa kwenye huu ujenzi alikuwa Mtoto wa Tierny alikufa siku sawa na siku aliyokufa baba ake miaka 13 baadaye, December 20, 1935.
5903df49-d792-4a1f-b4f7-be183d72a5c7.jpg



8. Video game Iliyotabiri semptember eleven (Twin tower iliyopigwa na Osama)
Video game ya Deus Ex ambayo ilikuwa officially released June 2000. Game hili lilitengenezwa kuakisi maisha ya New york city, lakini katika hatua za mwisho kabisa wakagundua kwamba wamesahau kuyaweka majengo pacha ya biashara (Twin Towers). Ili kukwepa gharama na muda wa kuanza kutengeneza upya ikabidi waandike tu mwanzo wa game kwamba yale majengo yamelipuliwa na magaidi.
c08e89b2-e0ef-4624-946e-a9b84b6492aa.jpg


9. Ndugu wawili wa Hamilton
Dereva wa baiskeli yenye injini (Moped) mji wa Hamilton, Bermuda alifariki mwaka 1974 kwa kugongwa na taxi. mwaka ulifuta 1975 eneo lile lile, mdogo wake naye aligongwa akiwa anaendesha baiskeli ya injini, gari iliyomgonga ni ile ile iliyomgonga kaka ake, na cha ajabu kabisa dereva yule yule, na pia alikuwa amebeba abiria yule yule aliyekuwa amemubeba siku anamugonga kaka mtu.
d73d7446-4194-4ae4-a8a5-716959e833e5.jpg
Hii nmeipenda sana
 
Back
Top Bottom