Mambo ambavyo mwanaume unatakiwa kufanya au kutofanya

Mambo ambavyo mwanaume unatakiwa kufanya au kutofanya

Kwema wakuu

Kuna mambo ambavyo mwanaume unatakiwa ufanye na mengine usifanye

1. Mwanaume hutakiwi kurudiana na mwanamke aliyekucheat.

2. Mwanaume hutakiwi kumpa mtu mkono ukiwa umekaa

Mengine ongezeeni wakuu ili tuzidi kujengana...
🤣🤣🤣Hii sasa ni Hatari chief
 
Mwanaume hujakiwi kutumia emoji
20240419_162528.jpg

!!!!!?????
 
Back
Top Bottom