Mambo ambavyo mwanaume unatakiwa kufanya au kutofanya

Kwema wakuu

Kuna mambo ambavyo mwanaume unatakiwa ufanye na mengine usifanye

1. Mwanaume hutakiwi kurudiana na mwanamke aliyekucheat.

2. Mwanaume hutakiwi kumpa mtu mkono ukiwa umekaa

Mengine ongezeeni wakuu ili tuzidi kujengana...
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃHii sasa ni Hatari chief
 
Faza benadiii Eeeee๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
๐Œ๐ฐ๐š๐ง๐š๐ฎ๐ฆ๐ž ๐ก๐š๐ญ๐š๐ค๐ข๐ฐ๐ข ๐ค๐ฎ๐š ๐ง๐š ๐Œ๐ฐ๐š๐ง๐š๐ฆ๐ค๐ž
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ