Mambo ambayo Babu zetu walitusihi tuyafuate kwenye mahusiano lakini tuliyapuuza sasa tunaonja joto la Jiwe

Mambo ambayo Babu zetu walitusihi tuyafuate kwenye mahusiano lakini tuliyapuuza sasa tunaonja joto la Jiwe

Hao wanaume kuwapata kazi, waliopo ni wale ambao akikatiza panya miguuni nae amesharuka juu ya kochi. Kuna kazi tena!?
 
Majukumu ya kiume kama yapi?...

Anzia kitandani..
Matumizi (pesa)
Kupendeza (nguo)

Vyote nilimtimizia vilivyo, ila kubali kataa mwanamke akipendwa sana huwa wanaanza malinga linga na huyo mwanamke nilimpiga chini na kuoa mwingine...
Ila baada ya hapo aliludi kwangu akilia mpaka Leo anahitaji huduma yangu na mimi nina familiar tayari ambayo nilioa mwanamke asiye bikra na yupo vizuri hatari.
Kwa uandishi huu wewe ni mlugha lugha tu. Wewe na uliyemuacha, uliyemuoa, wote watatu ni walugua lugha.

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Waulize Wanawake ndio wanawajua hao wanaume wanaolia Lia,
Wewe huwezi kuwaona wanaume wanaolialia Ila Dada zetu wanajua nini ninasema,

Kwa mfano, Mwanamke akikuomba Pesa au akikuambia wewe huna pesa ya kumpa, majibu utakayompa ndio yadhihirisha wewe ni Mwanaume halisi au wale wanaume lialia.
Hapa sjaelewa namna ya kumjibu mwanamke kwamba huna hela ndio kunadetermine uanaume halisi?
 
Hapa sjaelewa namna ya kumjibu mwanamke kwamba huna hela ndio kunadetermine uanaume halisi?
Hapa sjaelewa namna ya kumjibu mwanamke kwamba huna hela ndio kunadetermine uanaume halisi?

Wanawake ni viumbe wanaopenda majaribu na Kutafuta attention.
Kauli na majibu yako Kwa Mwanamke yanasehemu kubwa ya kukutambulisha wewe ni Mwanaume wa Aina gani
 
Kwema Wakuu!

Nashukuru Kwa sababu mpaka sasa Nina mialiko mitatu ya Idi, nawashukuru wote mlionialika. Nirejee kwenye mada.
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, Hii ni orodha ya mambo tuliokatazwa na kusisitizwa na Wazee wetu linapokuja suala la mahusiano ya ndoa, sasa Vijana wanapiga mayowe.

1. OA BIKRA
Hii ilikuwa moja ya hoja kuu Kwa kijana anayeenda kuoa. Mimi kama Taikon ninawaelewa wazee na nina sababu ya kufanya hivyo. Ingawaje inaweza kuwa ni Mtazamo wa kizamani lakini Kwa wanaouzingatia wengi wao wanapata matokeo chanya.

2. OA Kabila lako au mnaolingana Mila na desturi. Achana na hawa Watoto wasiojua maana ya kabila, sijui Mila na desturi, hawa waliozaliwa mjini. Hao hawawezi kuwa kitu kinachoitwa ukabila.

Mahusiano hayajawahi kuwasumbua Watu wanaofuata mambo ya Mila na desturi za makabila Yao. Mapenzi yanayosumbua Wenye kuiga Mila za kigeni, wasomi na wadandia Mambo kama dini za kigeni.

3. Mwanaume ni kichwa cha Nyumba.
Kichwa kina ubongo, macho, masikio, mdomo. Mwanaume lazima uwe mwanaume, ukisema umesema, ukisimamia Jambo umesimamia, mchakarikaji, unayejituma kwaajili ya familia na jamii yako.

Hakuna usawa baina ya Mwanamke na Mwanaume. Mwanaume hapswi kufuata matakwa ya MKE au Mwanamke. Wote wanaofuata Kanuni hiyo mahusiano hayawezi kuwasumbua. Hata hivyo mwanaume kama kichwa cha Nyumba hapaswi kuwa muonevu na kutowatendea Haki Watu wa nyumba yake.

4. Mwanaume Halii
Mwanaume kujilizaliza, kutia Tia huruma, sijui. Kupiga magoti au kuwa chawa na mpambe mpambe kijingajinga Huko ni kujiingiza kwenye ushoga. Hakuna Mwanamke anayempenda mwanaume lainilaini, mliaji liaji, dekaji dekaji, hakuna.
Mahusiano lazima yakusumbue tuu!
Umetongoza Mwanamke kakukatalia Achana naye, usibembeleze na kujiliza Liza kama lipuuzi, usije ukadhani kujiliza ndio kutaugeuza moyo WA Mwanamke, zaidi Sana atakudharau.

Umepata matatizo kidogo unalia, sasa unalia nini kama mtoto, sasa Baba mzima unalia Mkeo na watoto wafanye nini. Mwanaume lazima uwe ngangari.

Hawa Wanawake wapo hivi walivyo Kwa sababu siku hizi wanaume wengi wamekuwa kama Wanawake.

Wanawake wanapenda Wanaume washoka, wahuni, wenye Roho ngumu, wasioogopa, wenye Akili, wenye maamuzi.

Nipumzike Sasa.

Taikon wa Fasihi
Dar es salaam
5. Usioe mwanamke mnaelingana umri au alie kuzidi umri.
 
Unayosema ni kwel mkuu taikon lakin je kwa mambo yalivyo sasa watoto wanalelewa na mzaz mmoja ,hakuna malezi ya upande mwingne ,familia hii ya upande mmoja itatoa wanawake mabikra na wanaume majasiri ?
 
Unayosema ni kwel mkuu taikon lakin je kwa mambo yalivyo sasa watoto wanalelewa na mzaz mmoja ,hakuna malezi ya upande mwingne ,familia hii ya upande mmoja itatoa wanawake mabikra na wanaume majasiri ?

Mwanamke hawezi kumfanya mtoto wake wakiume kuwa mwanaume kamili, labda kijana mwenyewe awe na Akili za kuzaliwa
 
Kiti chochote usipo kipa umuhimu hakiwezi kukusumbua.

Na kitu kinacholeta usumbufu kwa wengi usikipe umuhimu.

Ili kuishi maisha marefu mazuri na yenye amani usiyape umuhimu mapenzi na yanayo patikanayo kwayo.
Ila huwa najiuliza mapenzi yanatakiwa kuwa ni eneo la furaha, amani, utulivu, kusikilizana, etc ila ndio kuna moto wa fujo za kila aina.

Imefika hatua mtu ukimtajia jina la danguro au sehemu wanapouza ngono anapata amani na shauku ya kwenda ila ukimwambia Ndoa au mahusiano anaingia baridi anahisi kiama kimemfikia.
 
Mimi nimetoa bikra akiwa na miaka 20 nimekaa uchumba mwaka 1, yule mwanamke alibadilika sana ,baada ya kuona namjali na kumuweka kipaumbele..

Wanawake bikra wa sasa ivi siyo sawa na wale wa zamani... wa sasa ivi bikra ikitoka tu unakuwa umeshamfungulia njia ya kudanga ,na sababu kubwa ni utandawazi.
Unatakiwa kumkazia unakuwa mbogo akileta us*ng*. Mwanamke ukiishi nae kama mtu mzima mwenzako itakula kwako.

Ukiwa na watoto wawili na mkeo hesabu hapo ndani una watoto watatu na mtu mzima ni wewe pekee yako. Ukijidanganya kugawa mamlaka yako ya maamuzi kwa mwanamke ajiamulie hautaamini vituko na upuuzi atafanya hapo ndani.
 
Taikon umesahau jambo la Muhimu sana, Mwanaume tahiriwa jandoni na peleka kijana wako Jando

Hili linasaidia sana kulinda hulka za kiume namaadili pia yanayopatikana kwenye mafunzo ya jandoni

Tabia ya Wanawake kupeleka Watoto tena wadogo kutahiriwa hospitalini ni mbaya inatengeneza mashoga

Excuse me kama ni nje ya mada yako

Jambo lingine ni Mwanaume kufanya KAZI na kuprovide kwa familia na sio Mwanamke ndio alete mkate wa nyumbani, hii inaleta dhana mbaya kwa watoto
Koma wewe, shoga mwenyewe. Kwahiyo kutahiriwa hospital tokea lini imekuwa tatizo?
 
Hao wanaume kuwapata kazi, waliopo ni wale ambao akikatiza panya miguuni nae amesharuka juu ya kochi. Kuna kazi tena!?
Hahah kuna mmoja hapa mtaan anaogopa wale shavishavi wa kwenye miembe haifai yaan kha! Yupo radhi abadili njia
 
Back
Top Bottom