Mambo ambayo Babu zetu walitusihi tuyafuate kwenye mahusiano lakini tuliyapuuza sasa tunaonja joto la Jiwe

Mambo ambayo Babu zetu walitusihi tuyafuate kwenye mahusiano lakini tuliyapuuza sasa tunaonja joto la Jiwe

Kwa hiyo tumehama kwenye utandawazi?
Tupo hapo hapo kwamba utandawazi unasababisha risk unapooa mwanamke ambaye hajajua ni nn anataka na maisha yake. Hakuna uhakika wa 100% kuwa atakuwa mke bora, bila kujali umakini unaousema risk ipo.

Kuna mifano mingi tu ya watu waliooa mabinti wadogo na wakaja kuwa wasumbufu baada ya kuzifahamu raha za dunia ambazo hakuzijua kabla.

Kuna msanii alishaimba pia kuhusu hili.
 
Hayanaga muongozo, na tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Back
Top Bottom