Mambo ambayo Biblia inaweza kukusaidia hata kama hutaki kwenda Mbinguni

Mambo ambayo Biblia inaweza kukusaidia hata kama hutaki kwenda Mbinguni

mitale na midimu

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2015
Posts
10,420
Reaction score
17,735
1: UTAWALA: Watawala waliotawala dunia zamani walitumia maandiko ya Mungu wa kiebrania kama miongoni mwa machapisho yao.

2: Ndoa. Kanuni za ndoa zinazosisitizwa katika biblia zitakufanya ufurahie ndoa hadi mwisho wako. Mke mtii Mume, mume mpende mke.

3: Muda. Tabia ya kujali Muda inayoleta mafanikio itakusaidia. Kuamka mapema sana kama Yesu kutakuongezea Muda wa uzalishaji na mafanikio.

4: Biashara na Ubunifu. Mithali na visa vingi vya Yesu vimejaa kanuni za mfanyabiashara aliyefanikiwa.

5: UOGA. Huwezi kusoma biblia ukabaki kuwa muoga wa maisha na hofu ndogobdogo. Maana Mule kuna watu walitupwa kwenye simba lakini hawakuliwa, wako waliotupwa motoni lakinj haukuwachoma.

6: AFYA Ukiishi kanuni za afya za biblia. Hutaugua. Wayahudi pekee ndio walikuwa hawafi wakati wazungu ulaya nzima walipukutika katika janga maarufu kama BLACK DEATH huko ulaya zama za ujinga.

Ni Mengi sana.

Kama umeshindwa kusoma biblia kwa sababu za kidini soma biblia kama kitabu au manual ya maisha. Utanishukuru.
 
1: UTAWALA: Watawala waliotawala dunia zamani walitumia maandiko ya Mungu wa kiebrania kama miongoni mwa machapisho yao.

2: Ndoa. Kanuni za ndoa zinazosisitizwa katika biblia zitakufanya ufurahie ndoa hadi mwisho wako. Mke mtii Mume, mume mpende mke.

3: Muda. Tabia ya kujali Muda inayoleta mafanikio itakusaidia. Kuamka mapema sana kama Yesu kutakuongezea Muda wa uzalishaji na mafanikio.

4: Biashara na Ubunifu. Mithali na visa vingi vya Yesu vimejaa kanuni za mfanyabiashara aliyefanikiwa.

5: UOGA. Huwezi kusoma biblia ukabaki kuwa muoga wa maisha na hofu ndogobdogo. Maana Mule Luna watu walitupwa kwenye simba lakini hawakuliwa, wako waliotupwa motoni lakinj haukuwachoma.

6: AFYA Ukiishi kanuni za afya za biblia. Hutaugua. Wayahudi pekee ndio walikuwa hawafi wakati wazungu ulaya nzima walipukutika katika jamnga maarufu kama BLACK DEATH huko ulaya zama za ujinga.

Ni Mengi sana.

Kama umeshindwa kusoma biblia kwa sababu za kidini soma biblia kama kitabu au manual ya maisha. Utanishukuru.
sawa mtumishi
ila hapo kwenye ndoa mimi binafsi napata changamoto, hasa kwenye idadi ya wake biblia inaruhusu kuoa
 
sawa mtumishi
ila hapo kwenye ndoa mimi binafsi napata changamoto, hasa kwenye idadi ya wake biblia inaruhusu kuoa
Idadi ya mke ni mmoja.

Ibrahim alizini na Hajir. Hakuambiwa na Mungu aliambiwa na Sara.
Yakobo amezaa watoto na wake na wafanyakazi wake.
Daudi hivyo
Suleiman ndio balaa.


Yesu alipokuja kufubdisha ndoa hakurefer makosa ya wazee hao. Alisema *Haikuwa hivyo tangu mwanzo.

Mungu aliumba MTU mke na MTU Mme na hao wawili ni kitu kimoja sio hao watatu.

Ndoa zenye shida zote kwenye biblia ni zile zilizokuwa na mke zaidi ya mmoja

Hakukuwa na shida ya ndoa kati UA

Adam na Eva
Nuhu na Mkewe
Lutu na Mkewe
Isaka na Rebecca
Mussa na Zipora
Mariam na Yusuph
Zekaria na Elizabeth
Etc.

Ukitaka raha, rudi kwenye kanuni.

Mwanaume + Mwanamke (Sio wanawake) = Mwili Mmoja.


Maisha ni kuchagua
 
Idadi ya mke ni mmoja.

Ibrahim alizini na Hajir. Hakuambiwa na Mungu aliambiwa na Sara.
Yakobo amezaa watoto na wake na wafanyakazi wake.
Daudi hivyo
Suleiman ndio balaa.


Yesu alipokuja kufubdisha ndoa hakurefer makosa ya wazee hao. Alisema *Haikuwa hivyo tangu mwanzo.

Mungu aliumba MTU mke na MTU Mme na hao wawili ni kitu kimoja sio hao watatu.

Ndoa zenye shida zote kwenye biblia ni zile zilizokuwa na mke zaidi ya mmoja

Hakukuwa na shida ya ndoa kati UA

Adam na Eva
Nuhu na Mkewe
Lutu na Mkewe
Isaka na Rebecca
Mussa na Zipora
Mariam na Yusuph
Zekaria na Elizabeth
Etc.

Ukitaka raha, rudi kwenye kanuni.

Mwanaume + Mwanamke (Sio wanawake) = Mwili Mmoja.


Maisha ni kuchagua
Ni uelewa wako tu huo!wala sio halisi!!mke zaidi ya mmoja ipo na baraka zipo kabisa!!
 
Tunakoelekea ndugu yangu. Hatutakuja kuhitaji Vitabu vilivyoandikwa na Binadamu wakishirikiana na Viumbe kutuongoza. Tutatumia akili zetu wenyewe
 
Idadi ya mke ni mmoja.

Ibrahim alizini na Hajir. Hakuambiwa na Mungu aliambiwa na Sara.
Yakobo amezaa watoto na wake na wafanyakazi wake.
Daudi hivyo
Suleiman ndio balaa.
Watu wengi maarufu walikwa na ndoa za mitaala
Founder wa taifa takatifu alikuwa na mitaala, wale watoto 12 ni wazaliwa wa akina mama wanne
Mungu hakukemea
Nabii Samweli ni uzao wa mitaala
haikukemewa hii kitu
Yesu alipokuja kufubdisha ndoa hakurefer makosa ya wazee hao. Alisema *Haikuwa hivyo tangu mwanzo.
Haikuwa hivyo tangu mwanzo , alikuwa anarefer talaka
Mungu aliumba MTU mke na MTU Mme na hao wawili ni kitu kimoja sio hao watatu.
Ndoa zenye shida zote kwenye biblia ni zile zilizokuwa na mke zaidi ya mmoja

Hakukuwa na shida ya ndoa kati UA

Adam na Eva
Nuhu na Mkewe
Lutu na Mkewe
Isaka na Rebecca
Mussa na Zipora
Mariam na Yusuph
Zekaria na Elizabeth
Etc.

Ukitaka raha, rudi kwenye kanuni.

Mwanaume + Mwanamke (Sio wanawake) = Mwili Mmoja.


Maisha ni kuchagua
 
Watu wengi maarufu walikwa na ndoa za mitaala
Founder wa taifa takatifu alikuwa na mitaala, wale watoto 12 ni wazaliwa wa akina mama wanne
Mungu hakukemea
Nabii Samweli ni uzao wa mitaala
haikukemewa hii kitu

Haikuwa hivyo tangu mwanzo , alikuwa anarefer talaka
Yesu alipozungumzia ndoa alivuka kabisa enzi zote akarudi kwenye kipindi ilipoanzishwa.

Ukitaka kutatua tatizo rudi kwenye chanzo kisha chukua kilichosahihi.

Turudi Siku Mungu anamuumba MTU na anaunda familia kabla ya dhambi. Hapo ndipo sehemu sahihi.

Hivyo kwa Elimu ya Yesu Ndoa ni make na Mme na sio
Mme na wake
Wake na Mme
Mme na Mme au
Mke na mke
.inahitaji unyenyekevu sana kuelewa haya
 
1: UTAWALA: Watawala waliotawala dunia zamani walitumia maandiko ya Mungu wa kiebrania kama miongoni mwa machapisho yao.

2: Ndoa. Kanuni za ndoa zinazosisitizwa katika biblia zitakufanya ufurahie ndoa hadi mwisho wako. Mke mtii Mume, mume mpende mke.

3: Muda. Tabia ya kujali Muda inayoleta mafanikio itakusaidia. Kuamka mapema sana kama Yesu kutakuongezea Muda wa uzalishaji na mafanikio.

4: Biashara na Ubunifu. Mithali na visa vingi vya Yesu vimejaa kanuni za mfanyabiashara aliyefanikiwa.

5: UOGA. Huwezi kusoma biblia ukabaki kuwa muoga wa maisha na hofu ndogobdogo. Maana Mule kuna watu walitupwa kwenye simba lakini hawakuliwa, wako waliotupwa motoni lakinj haukuwachoma.

6: AFYA Ukiishi kanuni za afya za biblia. Hutaugua. Wayahudi pekee ndio walikuwa hawafi wakati wazungu ulaya nzima walipukutika katika janga maarufu kama BLACK DEATH huko ulaya zama za ujinga.

Ni Mengi sana.

Kama umeshindwa kusoma biblia kwa sababu za kidini soma biblia kama kitabu au manual ya maisha. Utanishukuru.
Umeweka vema sana mtumishi. #NAKAZIA
 
Mambo ukianza na UTAWALA uliotumia vitabu vya Biblia unaozungumzia Israel sio sehemu zote duniani. Zamani hizo kulikuwa na falme na himaya nyingine nyingi duniani zilizokuwa hazijui hata vitabu vya Biblia vikoje.
1: UTAWALA: Watawala waliotawala dunia zamani walitumia maandiko ya Mungu wa kiebrania kama miongoni mwa machapisho yao.

2: Ndoa. Kanuni za ndoa zinazosisitizwa katika biblia zitakufanya ufurahie ndoa hadi mwisho wako. Mke mtii Mume, mume mpende mke.

3: Muda. Tabia ya kujali Muda inayoleta mafanikio itakusaidia. Kuamka mapema sana kama Yesu kutakuongezea Muda wa uzalishaji na mafanikio.

4: Biashara na Ubunifu. Mithali na visa vingi vya Yesu vimejaa kanuni za mfanyabiashara aliyefanikiwa.

5: UOGA. Huwezi kusoma biblia ukabaki kuwa muoga wa maisha na hofu ndogobdogo. Maana Mule kuna watu walitupwa kwenye simba lakini hawakuliwa, wako waliotupwa motoni lakinj haukuwachoma.

6: AFYA Ukiishi kanuni za afya za biblia. Hutaugua. Wayahudi pekee ndio walikuwa hawafi wakati wazungu ulaya nzima walipukutika katika janga maarufu kama BLACK DEATH huko ulaya zama za ujinga.

Ni Mengi sana.

Kama umeshindwa kusoma biblia kwa sababu za kidini soma biblia kama kitabu au manual ya maisha. Utanishukuru.
 
Mambo ukianza na UTAWALA uliotumia vitabu vya Biblia unaozungumzia Israel sio sehemu zote duniani. Zamani hizo kulikuwa na falme na himaya nyingine nyingi duniani zilizokuwa hazijui hata vitabu vya Biblia vikoje.
Sio Israel Peke yake.
Washawishi wakuu wa tawala kubwa za dunia walikuwa ni watu waliotumia maandiko.

Mfano:
Babeli Mfalme alitangaza mifumo yotr iwekwe pembeni isipokuwa mifumi ya Mungu wa waisrael. Baada ya wachawi kushindwa. Maana yake hata syrabus ya kikaldayo/Akkadian ilisimamishwa na Syrabus ya shule za kinabii za Mungu wa Israel zilifuatwa.


Mshawishi mkubwa wa Dola la Umedi na uajemi alikuwa ni Myahudi Nehemiah. Akifanya Kazi karibu sana na Mfalme (Cupbearer).
Hata Mfalme Koreshi alijikuta ameandikwa katika maandiko ya Isaya miaka 100 kabla ya kuzaliwa kwake.

Wagiriki ndio walioagiza Biblia ya agano LA kale ichapishwe kwa lugha yao. Septuagint, Hivyo kulikuwa na ushawishi wa maandiko.

Pia Warumi/Roman empire hivi karibuni imegundulika walikuwa wanatumia maandishi ya Mungu wa kiyahudi katika governance.

Pia Wachina mifumo mingi hata ya dini yao ya kibudha ninmatokeo ya wakristo wa awali kufika huko magharibi mwa China. Taarifa nyingi za Biblia tunazipata kutoka magharibi. Ila za eastern Ilizohafifishwa zinakuelezea mambo mengi. Unajua kuna mchina mkristo aliwahi kutoka China kupitia Khandahar afganstan hadi ulaya wazungu wakashangaa kujua kuwa kumbe kuna wakristo wengi tu. Ushawishi wa Biblia katika dunia hauwezi kupuuzwa.

Kama haitoshi Jesuits waliofika huko mapema walikuwa ndio washauri wakubwa wa serikali za kichina. Hata nao mwanzilishi wao Ignatius Inigo Loyola alianza hizo movements kwa kutafuta concepts kwenye biblia.

Marekani ni Biblia ndio imewafikisha hapo walipo.

Ulaya ni Biblia walipofunguka kuisoma kwa Uhuru. Wakina Galileo, Newtorn etc.
Ni Biblia ndio iliwasukuma watu kuanzia sea navigation na kila kona ukifuatilia kunaathari za Biblia.
 
Idadi ya mke ni mmoja.

Ibrahim alizini na Hajir. Hakuambiwa na Mungu aliambiwa na Sara.
Yakobo amezaa watoto na wake na wafanyakazi wake.
Daudi hivyo
Suleiman ndio balaa.


Yesu alipokuja kufubdisha ndoa hakurefer makosa ya wazee hao. Alisema *Haikuwa hivyo tangu mwanzo.

Mungu aliumba MTU mke na MTU Mme na hao wawili ni kitu kimoja sio hao watatu.

Ndoa zenye shida zote kwenye biblia ni zile zilizokuwa na mke zaidi ya mmoja

Hakukuwa na shida ya ndoa kati UA

Adam na Eva
Nuhu na Mkewe
Lutu na Mkewe
Isaka na Rebecca
Mussa na Zipora
Mariam na Yusuph
Zekaria na Elizabeth
Etc.

Ukitaka raha, rudi kwenye kanuni.

Mwanaume + Mwanamke (Sio wanawake) = Mwili Mmoja.


Maisha ni kuchagua
Shukrani sana. Nakubaliana na wewe.

Kanuni ni muhimu
 
Idadi ya mke ni mmoja.

Ibrahim alizini na Hajir. Hakuambiwa na Mungu aliambiwa na Sara.
Yakobo amezaa watoto na wake na wafanyakazi wake.
Daudi hivyo
Suleiman ndio balaa.


Yesu alipokuja kufubdisha ndoa hakurefer makosa ya wazee hao. Alisema *Haikuwa hivyo tangu mwanzo.

Mungu aliumba MTU mke na MTU Mme na hao wawili ni kitu kimoja sio hao watatu.

Ndoa zenye shida zote kwenye biblia ni zile zilizokuwa na mke zaidi ya mmoja

Hakukuwa na shida ya ndoa kati UA

Adam na Eva
Nuhu na Mkewe
Lutu na Mkewe
Isaka na Rebecca
Mussa na Zipora
Mariam na Yusuph
Zekaria na Elizabeth
Etc.

Ukitaka raha, rudi kwenye kanuni.

Mwanaume + Mwanamke (Sio wanawake) = Mwili Mmoja.


Maisha ni kuchagua
Kwa mujibu wa sensa iliyopita inaonyesha kuwa wanawake tuko karibu mara tano zaidi ya wanaume.
Sasa kila mmoja akiwa na mmoja huon kama wengi watabaki bila wenza?
Hapa ndipo tabia chafu zinapoanzaga
 
Back
Top Bottom