Mambo ambayo hutakiwi kuchelewa kwenye maisha kama tayari una mpango wa kufanya jambo husika

Mkuu kwa nini?
Ndio starehe za vijana hizo, sasa hutumii fegi, ganja wala gambe utasemaje umekula ujana.

Mtibeli kacheza disko za kishule shule mkiwa na uniform anasema kafanya yote, mtibeli jau sana.
 
ile ya uber , mwanzoni anasema alichelewa kuanza kaanza ana miaka 20 sijui, sasa ndo maana kwenye story yake kuna story nyingi sana za kuchakata wadada kila dizaini
Hatari sie ambao tulichelewa kuonja mbususu tunalipizia sasa baada ya muda mwingi kutumia na mpenzi wetu revola
 

Kila Jambo Lina wakati wake.
Kufanya Jambo kwa wakati ndio mafanikio yenyewe.

Kwa sababu ukifanya Jambo kwa wakati ndio Jambo hilo linakuwa na Tija lakini kadiri unavyochelewa ndivyo Tija yake inazidi kupungua
 
Kabisa
pia usichelewe kutafuna viumbe tofauti tofauti
Tafuna mchina
tafuna muhindi
tafuna mwarabu
tafuna na mzungu angalau kwa uchache...... ukipata red indian na wafilipino si mbaya
AU SIO VIPI???
 
Kabisa
pia usichelewe kutafuna viumbe tofauti tofauti
Tafuna mchina
tafuna muhindi
tafuna mwarabu
tafuna na mzungu angalau kwa uchache...... ukipata red indian na wafilipino si mbaya
AU SIO VIPI???

Kwa Sababu Muda ni mchache Sana
Umakini nao uwepo
 
πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»πŸ‘πŸ»
 
Kila mtu anascript yake ya maisha nadhani.
Sidhani kama ni sahihi ku recruit watu kwenye yako.
Mwisho wa siku let everyone make their own mistakes.
 
[emoji23][emoji23]
Pombe sio chai kwa watu kama Sisi ambao hatujawahi kugusa.

Kuna mademu ukienda Casino kama hujashika pombe huwapati. Hapo ndipo mtihani ulipo.
Na hawachomoi sound za mnywaji...namkumbuka siku moja nipo gold crest u nderground nimelata hainken Kama 8...kaunter piss Kali Kama zote ....Ile natoka kwenye ngazi kupanda...kaka samahani TWENDE wote...shabashi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…