Mambo ambayo hutakiwi kuchelewa kwenye maisha kama tayari una mpango wa kufanya jambo husika

Mambo ambayo hutakiwi kuchelewa kwenye maisha kama tayari una mpango wa kufanya jambo husika

Mkuu hivi mjani wa hapo ulaya upoje😁😁
Yani wa hapa hovyo kabisa halafu ghali kinoma kwa kuwa hamna mbadala basi tunakomaa nao hivyo hivyo. Wa huko southern Europe wanaenjoy atleast yao ni fresh.

Nikirudigi likizo chuga ya ni full kuvuta moshi mtakatifu kitu cha chuga viungani vya mlima meru maamaee.

Legalise it

Nyau de adriz
 
Yani wa hapa hovyo kabisa halafu ghali kinoma kwa kuwa hamna mbadala basi tunakomaa nao hivyo hivyo. Wa huko southern Europe wanaenjoy atleast yao ni fresh.

Nikirudigi likizo chuga ya ni full kuvuta moshi mtakatifu kitu cha chuga viungani vya mlima meru maamaee.

Legalise it

Nyau de adriz
Safi sana kula maisha mkuu , mimi bado ni chipukizi toka mwaka juzi nilivyoamua nivute bangi 😂😂😂😂
 
Hakuna anayejua atafanikiwa lini?wapo watu mafanikio yao yalitokana na wazazi , ,mfano mtoto wa kimasai anamkuta babake na ng'ombe 100 tayari anakuwa tajiri
Ujue maisha hayapangwi bali yanafanyiwa bidii na kujinyima ŵapo wanao sitaafu miaka 50 akipata hela anaanza kutafuna kwa starehe baadaye zinaisha pyuu


Kwa hivyo kusema eti ikifika miaka kadhaa au kabla unatakiwa uwehivi au uwe na hiki ni uongo unaweza oa mapema usipate mtoto ukaja kuzaa una 50 yrs


Ninalotaka uelewe ni kuwa maisha hayana formula bali ukiwa na uzima fanya bidii


Biblia imeandika wapo wenye bidii ambao huambulia patupu ,kunawatapanyao hula na kunywa ambao hupata Mali.


Kusema ukifika miaka kadhaa fanya hiki au uwe umefanya hiki, tayari unaonekana hujui maana ya maisha ,maisha ni fumbo ,angalia kwanini bara la Africa halijaendelea kuna umasikini wa kutupwa pamoja na kuwa na rasimali nyingi lakini wazungu hawana rasilimali lakini wanamali nyingi leo hii wanapigana na kuuwana bado standard ya maisha yao yako iko,juu weusi hatuna vita lakini umasikini ni wa kutisha


Naomba niseme kuwa maisha ni fumbo Mungu ndiye hulifumbua
 
Mafanikio yanapatikana kwenye umri wowote ule wala hakuna haja ta kujipa stress
Yeah, hata mimi niliwaambia kuwa mafanikio na umri wala havina shida kwenye utafutaji, shida inakuja kwa wanaokuchukulia wewe kama "case study " yao ndio watakaoleta shida.
 
Back
Top Bottom