Ukamaliza na umr ganiMimi nimesoma midwife and nursing UDOM( chas)miaka miaka minne, nipo form two nina mtoto .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukamaliza na umr ganiMimi nimesoma midwife and nursing UDOM( chas)miaka miaka minne, nipo form two nina mtoto .
25 mkuuUkamaliza na umr gani
Yes n umri sahihi miaka 21 kijana anamaliza Chuo mtaani 🤣anarudi kusumbua tu25 mkuu
Wee starehe haina vijana wala wazeee...alisema mwingi ndugu zangu ugo jwa umemaa pabaya...vijana wanapataka wazee wanapataka🤣🤣🤣🤣Kabisa mkuu ila kwangu mimi hiyo nimewaachia vijana kwa sasa😁
Kijana wa chuo ina bidi ajiongezee, kipindi hicho pale dodoma sisi ndio tulikua na maduka ya mwanzo ya wanachuo pale ngongona mkuu , kwa sababu tulisoma huku tukijua tumeacha familia🤔Yes n umri sahihi miaka 21 kijana anamaliza Chuo mtaani 🤣anarudi kusumbua tu
Mkuu humu unaonekana kama unanuka mbususu mda wote😅😅😅😅😅😅😅Wee starehe haina vijana wala wazeee...alisema mwingi ndugu zangu ugo jwa umemaa pabaya...vijana wanapataka wazee wanapataka🤣🤣🤣🤣
Sawa sawa.Kujenga inajitegemea na nimuhimu
Mchango wako ni muhimu sana , unajua?Sawa sawa.
Sasa sii bora nanuka mbususu wapo wanao nuka mavi 🤣🤣🤣🤣Mkuu humu unaonekana kama unanuka mbususu mda wote😅😅😅😅😅😅😅
Hongera mkuu, Mimi hata High school sikufika.
Kabisa mkuu 😁😁😁Sasa sii bora nanuka mbususu wapo wanao nuka mavi 🤣🤣🤣🤣
That's why mkuu unaandika sana watu wa language
Mkuu unakaribishwa pia huku kwenye mjani.Usiguse mkuu , mimi pombe ni burudani yangu mkuu nikipumzisha figo siku 5 lazima nilisongeshe 😅😅😅😅
Wala usijali, kawaida tu!Asante kwa madini
Mkuu hivi mjani wa hapo ulaya upoje😁😁
Changamoto ni kupata wa kuzaa naeUsichelewe Sana.
Kama upo earl 40 piga za chapchap