Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umri umeenda mkuu32 kumbe tunabishanaga na watoto wetu humu😁😁
Kijana wangu wakwanza ana 18 tunafukuzia wote totoz now😄😄😄Umri umeenda mkuu
Nina watoto 3
Nalipa ada mwenzako
Vitoto vya 9032 kumbe tunabishanaga na watoto wetu humu😁😁
😁😁😁 mkuu sio kila anae kusumbua sifikiri kama hana akili ni mtu anaamua awe hivyo😅
Note: makande sio chakula.
Aaah 😭🤣😅shikamoo broKijana wangu wakwanza ana 18 tunafukuzia wote totoz now😄😄😄
Sema vingi vimezeeka na kujitwika mishangazi mkuu😅😅😅 nina mdogo wangu ukimwona unaweza kusema ni kaka yangu 😆Vitoto vya 90
😁😁😁 kana haiharibu ugali wa mtu sioni tatizo mkuu.Mimi na m-class mtu vile anavyojiweka/jionyesha sio Kazi yangu kujua undani wa mtu vile alivyo.
Nitamvunjia mtu heshima na kutokumpa HAKI yake ikiwa atafanya ujinga na kujionyesha kama mjinga alafu Mimi nimuite mwerevu au anaakili.
Katika vitu sipendi ni hiyo salamu😁Aaah 😭🤣😅shikamoo bro
😁😁😁 kana haiharibu ugali wa mtu sioni tatizo mkuu.
🍦🤣😭Umegoma kuzeekaKatika vitu sipendi ni hiyo salamu😁
Ila wengi humu nahisi ni wa 90 mpaka 99Yeah!
Sijazeeka mkuu na hata hakuna anafikiri kama nina umri huu wengi hudhani ni wa 90 hivi , katika vitu napinga ni unene na kitambi😅😅🍦🤣😭Umegoma kuzeeka
Kweli ukijiweka freshSijazeeka mkuu na hata hakuna anafikiri kama nina umri huu wengi hudhani ni wa 90 hivi , katika vitu napinga ni unene na kitambi😅😅
😄😄😄 sema totoz nazo zinazeesha mkuu , nina mpango wa kugonga miaka mitano bila totozi kabisa.Kweli ukijiweka fresh
Mbona hizi toto za 2000 utatamba Nazo tu
Wakikuona wa 2000 mwenzao🤣
Haaa! Me ndo anasa yangu, haya maua yapo mengi Wacha yatuuwe tu😄😄😄 sema totoz nazo zinazeesha mkuu , nina mpango wa kugonga miaka mitano bila totozi kabisa.
Sema nimetania ila hatuja pishana sana, sema ndio hivyo nilipata mtoto mapema asee , kijana wangu wa kwanza now ana 18😊 katimiza juzi tu ina raha yake na karaha pia.Haaa! Me ndo anasa yangu, haya maua yapo mengi Wacha yatuuwe tu