BodGanleonid
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 3,021
- 4,330
Bro ni kheri ukaacha ku-reply maana unajichanganya sana.Huwezi mpenda MUNGU kama hajataka umpende. Haipo hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro ni kheri ukaacha ku-reply maana unajichanganya sana.Huwezi mpenda MUNGU kama hajataka umpende. Haipo hiyo
Dah umempasulia ukweli wenyewe,,jamaa amereply kitoto sana.Hii comment nimethitisha we ni mtoto sio kila mzee mwenye uhitaji alichezea maisha, na sio kila mwenye maisha magumu ni mvivu, kwa inavyoonekana unajichukulia ni perfect maisha hayako hivyo sisi ni binadamu tunateleza na tuna mapungufu
Kuna watu waliweka saving kubwa kipindi Cha ujana, ghafla wameingia uzee magonjwa hayo wamejikuta wametumia ela nyingi alafu baada ya mda wanafilisika, Sasa wakikutana na mtu mwenye akili ndogo kama wewe utaishia kuwalaumu kwamba hawakusave ela
Personal attack.Wapi nimesema usimsaidie Mzazi?
Mbona unawaza mambo yako kichwani alafu unanilisha mimi, Acha uongo.
Embu nukuu hiyo sehemu niliyosema usimsaidie Mzazi.
Jitahidi ukiwa kwenye mijadala uwe na Utulivu wa Akili ndipo utoe hoja zako.
Kuliko unavyoendekeza mihemko ya kihisia. Alafu kama ni MTU mzima ndio haileti picha nzuri, mihemko Kwa Watu wazima ni aibu na mara nyingi huwadhalilisha.
Kama hukuelewa ungeuliza