TANZANIAN NINJA
JF-Expert Member
- Apr 19, 2018
- 456
- 534
Wewe ni Liar 💯
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haa haa haa ha una matumizi na namba 4Namba 4 mkuu haina madhara?
Kama una fact unaweza ikosoa usemeWewe ni Liar 💯
Msitari wa pili ndiyo malengo yake km ulivyosema.Kuna mengine sijaelewa anual intercose na ana marinda" ndio nini maana yake
Yote kwa yote naona unatetea ushoga ila umeona uambatanishe na bra braa zingine ili watu wasielewe ni kitu gani unataka kuelezea, anyway kiufupi tu ni kwamba bro usihangaike wewe kama ni kufumuliwa fumuliwa tu tena fumu fumu mduku ni wako aibu ni kwako laana ni kwako, sis wengine tunafanya kukuzuia tu kama msaada na kama upendo ila kama utakaidi wewe liwa tu mkuu
Tatito sina muda wa kuandika essey kutetea kitu kisicho niingizia pesa. Nitajibu hivi hivi kisha wewe mwenye muda tafakari na utafute madesa zaidiKama una fact unaweza ikosoa useme
Nimepita TEMEKE kuna lami .kila hatua wanamkumbuka JPM.
Watu waliamini amekopa sana ila hawahoji kakopa nini bali ametufanyia nini.sasa hivi watu wanahoji hii inayokopwa inajenga nini?
Aya poa ..thanks for telling me nothingTatito sina muda wa kuandika essey kutetea kitu kisicho niingizia pesa. Nitajibu hivi hivi kisha wewe mwenye muda tafakari na utafute madesa zaidi
Hongera kwa kwa kupata sifuriAya poa ..thanks for telling me nothing