Mambo ambayo wabongo wengi wanaamini lakini ni uongo

Uko sahihi

Wabongo walishamezeshwa kwamba Tzn ni Tajiri sana Afrika 😁😁
 
Acha kutishia watu kuhusu kitu ambacho Kiko scientific...hizo shuhuda ni propaganda...hamna mwanaume ambae hapigi Puchu...anayesema hivyo ni uongo tu...kingine wanaume hao hao ndo wanatembeza shoo Kali tu... hamna relationship ya ushoga na Puchu ushoga ni sexual orientation na Puchu ni sexual activity...Kama unabisha fanya research uachane na story za vijiwe vya kahawa
 
Umejuaje kama ni uongo?
 
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…