The redemeer
JF-Expert Member
- Jan 28, 2025
- 1,497
- 2,681
MAMBO AMBAYO WANAUME WENGI HAWAYAPENDI:
Katika Mambo haya Hakuna yametofautiana kutokana na Aina ya maisha mnayoishi na mumeo lakini wanaume wengi wapo hivi.
1__.MWANAMUME HAPENDI KUFOKEWA:
2__ MWANAMUME HAPENDI KUULIZWA MASWALI MENGI KWA WAKATI MMOJA:
3__ MWANAMUME ANAHITAJI MUDA WA KUKAA KIMYA; USIMLAZIMISHE KUONGEA:
4__ MWANAMUME HAPENDI MKE MWENYE KIHERE-HERE:
5__ MWANAMUME HAPENDI MKE WAKE AWE NA MARAFIKI WEEENGIII; KIBAYA ZAIDI SANA ETI NI MARAFIKI WA KIUME: Wanaume wengi wana WIVU; (NA HIYO NI ASILI YAO)
6__ MWANAMUME HAPENDI KUNYANYASIKA:
Wanaume semeni kama ni uongo☺️
Katika Mambo haya Hakuna yametofautiana kutokana na Aina ya maisha mnayoishi na mumeo lakini wanaume wengi wapo hivi.
1__.MWANAMUME HAPENDI KUFOKEWA:
2__ MWANAMUME HAPENDI KUULIZWA MASWALI MENGI KWA WAKATI MMOJA:
3__ MWANAMUME ANAHITAJI MUDA WA KUKAA KIMYA; USIMLAZIMISHE KUONGEA:
4__ MWANAMUME HAPENDI MKE MWENYE KIHERE-HERE:
5__ MWANAMUME HAPENDI MKE WAKE AWE NA MARAFIKI WEEENGIII; KIBAYA ZAIDI SANA ETI NI MARAFIKI WA KIUME: Wanaume wengi wana WIVU; (NA HIYO NI ASILI YAO)
6__ MWANAMUME HAPENDI KUNYANYASIKA:
Wanaume semeni kama ni uongo☺️