MAMBO AMBAYO WANAUME WENGI HAWAYAPENDI:

MAMBO AMBAYO WANAUME WENGI HAWAYAPENDI:

The redemeer

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2025
Posts
1,497
Reaction score
2,681
MAMBO AMBAYO WANAUME WENGI HAWAYAPENDI:

Katika Mambo haya Hakuna yametofautiana kutokana na Aina ya maisha mnayoishi na mumeo lakini wanaume wengi wapo hivi.

1__.MWANAMUME HAPENDI KUFOKEWA:



2__ MWANAMUME HAPENDI KUULIZWA MASWALI MENGI KWA WAKATI MMOJA:

3__ MWANAMUME ANAHITAJI MUDA WA KUKAA KIMYA; USIMLAZIMISHE KUONGEA:

4__ MWANAMUME HAPENDI MKE MWENYE KIHERE-HERE:

5__ MWANAMUME HAPENDI MKE WAKE AWE NA MARAFIKI WEEENGIII; KIBAYA ZAIDI SANA ETI NI MARAFIKI WA KIUME: Wanaume wengi wana WIVU; (NA HIYO NI ASILI YAO)

6__ MWANAMUME HAPENDI KUNYANYASIKA:

Wanaume semeni kama ni uongo☺️
 
MAMBO AMBAYO WANAUME WENGI HAWAYAPENDI:

Katika Mambo haya Hakuna yametofautiana kutokana na Aina ya maisha mnayoishi na mumeo lakini wanaume wengi wapo hivi.

1__.MWANAMUME HAPENDI KUFOKEWA:



2__ MWANAMUME HAPENDI KUULIZWA MASWALI MENGI KWA WAKATI MMOJA:

3__ MWANAMUME ANAHITAJI MUDA WA KUKAA KIMYA; USIMLAZIMISHE KUONGEA:

4__ MWANAMUME HAPENDI MKE MWENYE KIHERE-HERE:

5__ MWANAMUME HAPENDI MKE WAKE AWE NA MARAFIKI WEEENGIII; KIBAYA ZAIDI SANA ETI NI MARAFIKI WA KIUME: Wanaume wengi wana WIVU; (NA HIYO NI ASILI YAO)

6__ MWANAMUME HAPENDI KUNYANYASIKA:

Wanaume semeni kama ni uongo☺️
Kweli,kweli jamaa ni jembe tuu!
 
Back
Top Bottom