Mambo ambayo Yanafanya watu wengi waweke Fikra kwamba huenda dunia ni simulation au huenda hatuna free wills kama tunavyoambiwa case st JFK &Lincoln

Mambo ambayo Yanafanya watu wengi waweke Fikra kwamba huenda dunia ni simulation au huenda hatuna free wills kama tunavyoambiwa case st JFK &Lincoln

40 days ni Numerological metaphor ina maana nyingine..

Na ndo maana Alifunga hizo siku kabla ya kuanza kazi yyote umewahi kujiuliza kwanini alifunga Jangwani..

The bible has alot of symbolism and structural numeral Watu wanazimis interprate..

Umewahi kujiuliza Kwanini..

Haya twende..
  • Yesu alifunga siku 40 Jangwani Akijaribiwa na mwisho wa siku alifanikiwa na akaanza kazi..
  • Wana wa Israel walitembea Miaka 40 jangwani kutoka misri kwenda kaanani nchi ya ahadi huku wakipata majaribu na mwisho walifanikiwa
  • Eliya alifunga siku 40, Jangwani na alipitia majaribu mengi baada ya kukosana na mfalme jezebel ila baadae alirudi kumkabili..
  • Gharika ya Nuhu Mvua ilinyesha Siku 40
  • Wapelelezi walipelekwa kuichunguza Nchi ya Kanani kabla ya kuingi huko walipeleleza Kwa siku 40
  • Kabla ya Goliati kuuliwa na Daudi alikuwa Anaenda kutamba na kutukana Israel kwa siku 40
Bible is settled in symbolic and Numeral approach ngoja niishie hapo kwanza
Sawa haya twende huku nini maana ya 40? Death and rebirth? Yaan 4 imetoka kwenye 4+0=4
 
Ntajikita kwanza kwenye case study ya Mfanano wa kimaisha wa Marais wawili wa marekani walioachana zaidi ya miaka 100,
Ambao una pure surreal Experience na utakuacha mdomo wazi....

Marais hao ni Kati ya Abraham Lincoln (Rais wa 16 wa Marekani) na John fred Kennedy (Rais wa 35 w Marekani)

Unaweza ukajiuliza maswali Je matukio hupangwa au Yalijikuta kufanana tu..
Na kama yalipangwa yalipangwa na nani?

Mfanano huo wa baadhi ya majina, matukio yao na mfanano wa miaka ya matukio yao ambayo yamepishana miaka 100 tu ila tarakimu kuwa sawa unatoa picha kuwa huenda we Live on simulation and we either Not have free wills au yalitokea just kwa bahati tu..

shughuli zao kisiasa

  • Abrahamu lincoln alichaguliwa kwa mara ya kwanza bungeni mwaka (elected for congress) mwaka 1846,
  • Wakati john F kennedy alichaguliwa bungeni (elected in congress) mwaka 1946
  • Abrahamu Licncoln alichaguliwa kuwa Rais wa usa mwaka 1860
  • Wakati JFK alichaguliwa kuwa Rais mwaka 1960

Katika muda waliokuwepo ofisini
  • Secretary wa Lincoln aliitwa Kennedy wakati secretary wa Kennedy aliitwa Lincoln.
Vifo vyao

  • Marais wote waliuawa siku Ya ijumaa,Na wote walipigwa risasi za kichwa
  • Wote waliuawa na Watu kutoka Kusini mwa USA yaani Southern so wote waliuliwa na Southerners
  • John booth ambaye anasemekana alimuua Lincoln alizaliwa mwaka 1839 Lee osward ambaye inasemekana alimuua Kennedy alizaliwa mwaka 1939
  • Lincoln aliuawa kwenye theater inayoitwa Ford , Na Kennedy aliuliwa kwenye Gari iliyotengenezwa na Ford..
  • Limcoln alipopigwa pale theater muuaji alikimbia na kwenda kujificha Warehouse..Ila kennedy aliuliwa kwenye warehouse na muuaji alienda kujificha Kwenye theater.
  • Booth (Aliyemuua Lincoln) na oswald (Aliyemuua Kennedy) wote waliuliwa kabla ya kufikishwa mahakamani..
  • Wote walifuatiwa na Marais kutoka southern huku wote waliowafatia wakiitwa President Johnson (Sir Johnson's) yaani Andrew Johnson na Lyndon Johnson
  • Andrew Johnson aliemfuata Lincoln alizaliwa 1808 na lyndon Johnson aliyemfiata lincoln alizaliwa 1908
Mwisho...Kuhusu Hii case ya Surreal ya Lincoln na JKF..

  • Ni kwamba kabla ya kuuliwa wiki moja kabla Lincoln alikuwa sehemu moja inaitwa Monnroe Maryland ..Huku Na week moja kabla Kennedy kuuliwa alikuwa na mtu anayeiywa Maryland monroe
Interesting...
 
Lucifer=Nyota ya Asubuhi=Venus=Light Bringer

Yesu =Nyota ya Asubuhi =Venus = light bringer

Archangel (Baadhi ya malaika wakuu) =Nyota za Asubuhi...

Lucifer kama Samael au Shetani mnavyoita..

Hapa hasa ndo Walipoanzia kujikita kwenye hilo jina...
Na maneno hayo yalianza kuonekana mwaka 405 AD kwenye Tafsiri ya Biblia ya Lugha ya latin au Latin vulgate baada ya Papa Damasus wa 1 ,Kumwambia Jorome atafsiri na ndiyo ilikuwa Tafsiri ya kwanza Standard ya kilatin...

Isaya 14:12
Latin vulgate origins..


"quomodo cecidisti de caelo Lucifer qui mane oriebaris corruisti in terram qui vulnerabas gentes."

Kwa kiswahili chetu cha mama samia

"Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni,
Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi!
Jinsi ulivyokatwa kabisa,
Ewe uliyewaangusha mataifa!"

Kwa Kingereza cha Anko Charles


"How art thou fallen from heaven, O Lucifer, son of the morning! how art thou cut down to the ground, which didst weaken the nations!"

Najua Wengi mnafahamu kuhusu huu upande wa Isaya naomba niwaletee upande mwingine wa Lucifer..

Yesu mwenyewe Na Confirm kwamba yeye ni Nyota ya asubuhi..

Ufunuo wa Yohana 22:16
"Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzao wa Daudi, ile nyota yenye kung’aa ya asubuhi.

"I Jesus have sent mine angel to testify unto you these things in the churches. I am the root and the offspring of David, and the bright and morning star"

Hold on bado Pia ameahidi kwamba kwa wale watakaofata anachoamuru na wao watapewa uwezo wa kuwa Nyota ya asubuhi (Lucifer- Kwa kilatin)

Ufunuo wa Yohana 2:28


"Nami nitampa ile nyota ya asubuhi."
"And I will give him the morning star"



Tight up your seat belt ,PopCorn and Buckle up bado naendelea..

Unakumbuka mwanzoni nilisema pia kuna group la malaika au viumbe walioko mbinguni ndo linaitwa morning stars (Lucifers)

Ayubu 38:7


"Hapo nyota za asubuhi zilipoimba pamoja,
Na wana wote wa Mungu walipopiga kelele kwa furaha?"

"When the morning stars sang together, and all the sons of God shouted for joy?"

Sasa ilikuaje zikaacha kuimba pamoja Sasa hapo ndo nakusihi urejee kwenye Isaya 14:12 kwamba kuna Mmoja aliasi Ndo huyo mnamuita.. shetani..

Sasa Yesu aliahidi kwenye ufunuo 2:28 kutoa nyota ya Asubuhi (Lucifer) kwa watu watakaomwamini Je mtume petro kipenzi Cha pili cha Yesu akitoka Yohana na Maria magdalena anasemaje kuhusu hilo..
Na nitaweka na Vulagate kabisa ili maana halisi ionekane

2 Petro 1:19


"Nasi tuna lile neno la unabii lililo imara zaidi, ambalo, mkiliangalia, kama taa ing’aayo mahali penye giza, mwafanya vyema, mpaka kutakapopambazuka, na nyota ya asubuhi kuzuka mioyoni mwenu."

"We have also a more sure word of prophecy; whereunto ye do well that ye take heed, as unto a light that shineth in a dark place, until the day dawn, and the Morning star arise in your hearts:"


In Latin Vulgate..405 AD bible..2 petro 1:19

"Et habemus firmiorem propheticum sermonem cui bene facitis adtendentes quasi lucernae lucenti in caliginoso loco donec dies inlucescat et lucifer oriatur in cordibus vestris."...

CC: Fallback Waterbender kazi mlionipa nimemaliza
Mkuu unajua kuwa hata Yesu pia ni lucifer..
Kwanza nianze hapo
zitto junior Rabbon
 
Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni,
Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi!
Jinsi ulivyokatwa kabisa,
Ewe uliyewaangusha mataifa!"

Ufunuo wa Yohana 22:16
"Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzao wa Daudi, ile nyota yenye kung’aa ya asubuhi.
Hayo maneno hapo juu ni neno moja ?

Nyota ya alfajiri mwana wa asubuhi = nyota yenye kung'aa ya asubuhi ?..... haya maneno ni sawa kweli ?

Hebu tuwekee kwa lugha nyingine.

Isa 14:12 How art thou fallen from heaven, O Lucifer, son of the morning! [how] art thou cut down to the ground, which didst weaken the nations!

Rev 22:16 I Jesus have sent mine angel to testify unto you these things in the churches. I am the root and the offspring of David, [and] the bright and morning star.

Lucifer ni mwana wa asubuhi Ila Kristo ni nyota yenye kung'aa ya asubuhi hapo Kuna tofauti kubwa kati yao.

Nadhani lugha ndio tatizo hapa.
 
Hayo ni mafundisho ya Illuminati,

Lucifer lilikuwa Jina la Malaika wa Nuru mkuu kabla ya kuasi, saizi hakuna kitu kama hicho,

Baada ya kuasi hapo hapo akaota pembe na mkia wa mbuzi, anaitwa Shetani, baba wa uongo, muuaji, Jizi, nknk, Hana ukuu wowote mnywa Damu huyo.

Mwandishi wa thread alikuwa Mchungaji, baadae akaasi na kujiunga wa wanaopindisha juu chini maandiko Kwa faida ya baba Yao shetani.

Shikilia sana ulichonacho, asije mtu akakunyanganya.

Alichoandika hapo ni " Mafundisho ya Mashetani" Kuna thread nimeandika inasomeka, "Mafundisho ya Mashetani"- Rabbon.

Anachofanya shetani, anakupa andiko, la Kweli, Kisha anaongeza na uongo, na kufafanua Kwa kupotosha Kwa faida zake.

Ni muhimu kusoma BIBLIA yote, ukaimaliza na KURUDIA Ili ujazwe neno Ili likusaidie kujua Hila za shetani.

UBARIKIWE.
 
Sawa haya twende huku nini maana ya 40? Death and rebirth? Yaan 4 imetoka kwenye 4+0=4
HUjawahi kusikia Mungu anataja vitu kwa namba 3, 7 na 10 (10=1)..(Hizi namba ni katika kuonyesha ukuu wake...Kama msemavyo utatu mtakatifu, Kuumba kwa siku 7 ,Makanisa 7 na vitu vingi saba,saba...na Mapigo 10 etc)

Na awapo na Hasira au akitaka kumfanya mtu kuwa Bora Hutumia Namba 4..

Kama ulivyoichambua Hapo 40 =4+0=4
Uko sawa na uko sawa kuhusu Dealth and rebirth..

Sasa maana halisi ni nini?

Namba 4 in acts kama Foundation ya kila kitu..
Maana yake huwezi kujenga nyumba bila msingi..
Na pia huwezi kuanza kufanya Jambo lolote bila kuanza na foundation yake..

So namba 4 ni foundation ya Everything..

Thats why its called dealth and rebirth, ili uweze kufa lazma uzaliwe kwanza na ili uweze kuzaliwa upya lazma baadhi ya vitu vife kwako..

Lets say unataka kununua Gari zuri Vxr Lakini unamatumizi mabovu lazma uue tabia ya matumizi hayo mabovu ili upate gari yako..

Sasa lets back on Bible matter...

Sasa tukienda kwenye Lugha ya Kihebrania Nne huitwa Arba (אַרְבָּעָה) lakini kwenye kuandikwa kama tunavyoandika 4 wao wanaandika "ד" (dalet).

Si unajua kuwa Dalet ni Herufi ya nne kwa kiebrania..

Sasa Waebrania hawana Romani au Italic Letter na Dalet hupresent namba nne toka zaman..
Lakini Dalet licha ya kumaanisha nne ina maanisha Door (Mlango)..

so the foundation has a door to Enter or Exit..
Na ndo maana Unaona muda mwingi kwenye hayo majaribu waliyokuwa wakipewa hao niliowataja walikuwa na uhuru wakucancel mission au Kuendelea..

So namba 4 present the stable foundation which should be Earned by Very hard ways and pain..
Which can bring you through transition and transformation through dalet itself the door into stability..
So emphasise the solid faoundation into the stability through The door..

Kama una swali karibu
 
Ntajikita kwanza kwenye case study ya Mfanano wa kimaisha wa Marais wawili wa marekani walioachana zaidi ya miaka 100,
Ambao una pure surreal Experience na utakuacha mdomo wazi....

Marais hao ni Kati ya Abraham Lincoln (Rais wa 16 wa Marekani) na John fred Kennedy (Rais wa 35 w Marekani)

Unaweza ukajiuliza maswali Je matukio hupangwa au Yalijikuta kufanana tu..
Na kama yalipangwa yalipangwa na nani?

Mfanano huo wa baadhi ya majina, matukio yao na mfanano wa miaka ya matukio yao ambayo yamepishana miaka 100 tu ila tarakimu kuwa sawa unatoa picha kuwa huenda we Live on simulation and we either Not have free wills au yalitokea just kwa bahati tu..

shughuli zao kisiasa

  • Abrahamu lincoln alichaguliwa kwa mara ya kwanza bungeni mwaka (elected for congress) mwaka 1846,
  • Wakati john F kennedy alichaguliwa bungeni (elected in congress) mwaka 1946
  • Abrahamu Licncoln alichaguliwa kuwa Rais wa usa mwaka 1860
  • Wakati JFK alichaguliwa kuwa Rais mwaka 1960

Katika muda waliokuwepo ofisini
  • Secretary wa Lincoln aliitwa Kennedy wakati secretary wa Kennedy aliitwa Lincoln.
Vifo vyao

  • Marais wote waliuawa siku Ya ijumaa,Na wote walipigwa risasi za kichwa
  • Wote waliuawa na Watu kutoka Kusini mwa USA yaani Southern so wote waliuliwa na Southerners
  • John booth ambaye anasemekana alimuua Lincoln alizaliwa mwaka 1839 Lee osward ambaye inasemekana alimuua Kennedy alizaliwa mwaka 1939
  • Lincoln aliuawa kwenye theater inayoitwa Ford , Na Kennedy aliuliwa kwenye Gari iliyotengenezwa na Ford..
  • Limcoln alipopigwa pale theater muuaji alikimbia na kwenda kujificha Warehouse..Ila kennedy aliuliwa kwenye warehouse na muuaji alienda kujificha Kwenye theater.
  • Booth (Aliyemuua Lincoln) na oswald (Aliyemuua Kennedy) wote waliuliwa kabla ya kufikishwa mahakamani..
  • Wote walifuatiwa na Marais kutoka southern huku wote waliowafatia wakiitwa President Johnson (Sir Johnson's) yaani Andrew Johnson na Lyndon Johnson
  • Andrew Johnson aliemfuata Lincoln alizaliwa 1808 na lyndon Johnson aliyemfiata lincoln alizaliwa 1908
Mwisho...Kuhusu Hii case ya Surreal ya Lincoln na JKF..

  • Ni kwamba kabla ya kuuliwa wiki moja kabla Lincoln alikuwa sehemu moja inaitwa Monnroe Maryland ..Huku Na week moja kabla Kennedy kuuliwa alikuwa na mtu anayeiywa Maryland monroe
Toa pongezi na credit Kwa yule dada wa Instagram...umecopy kila kitu.
 
Hayo ni mafundisho ya Illuminati,

Lucifer lilikuwa Jina la Malaika wa Nuru mkuu kabla ya kuasi, saizi hakuna kitu kama hicho,

Baada ya kuasi hapo hapo akaota pembe na mkia wa mbuzi, anaitwa Shetani, baba wa uongo, muuaji, Jizi, nknk, Hana ukuu wowote mnywa Damu huyo.

Mwandishi wa thread alikuwa Mchungaji, baadae akaasi na kujiunga wa wanaopindisha juu chini maandiko Kwa faida ya baba Yao shetani.

Shikilia sana ulichonacho, asije mtu akakunyanganya.

Alichoandika hapo ni " Mafundisho ya Mashetani" Kuna thread nimeandika inasomeka, "Mafundisho ya Mashetani"- Rabbon.

Anachofanya shetani, anakupa andiko, la Kweli, Kisha anaongeza na uongo, na kufafanua Kwa kupotosha Kwa faida zake.

Ni muhimu kusoma BIBLIA yote, ukaimaliza na KURUDIA Ili ujazwe neno Ili likusaidie kujua Hila za shetani.

UBARIKIWE.
mkuu Rabbon..
Huoni kama wewe ndo unapotisha hakuna mahali
Kuna sehemu shetani aliota mkia Wa mbuzi 🤣🤣🤣..
Labda kama ulikuwa ni utani nitachukulia hivyo..
Nionyeshe sehemu nilipopindisha ili nijifunze mkuu..

Na kingine malaika walioasi wote walifungwa kwa mujibu wa Yuda hao mashetani wanatoka wapi..

YUDA 1:6

"Na malaika wasioilinda enzi yao wenyewe, lakini wakayaacha makao yao yaliyowahusu, amewaweka katika vifungo vya milele chini ya giza kwa hukumu ya siku ile kuu."
 
Hayo maneno hapo juu ni neno moja ?

Nyota ya alfajiri mwana wa asubuhi = nyota yenye kung'aa ya asubuhi ?..... haya maneno ni sawa kweli ?

Hebu tuwekee kwa lugha nyingine.

Isa 14:12 How art thou fallen from heaven, O Lucifer, son of the morning! [how] art thou cut down to the ground, which didst weaken the nations!

Rev 22:16 I Jesus have sent mine angel to testify unto you these things in the churches. I am the root and the offspring of David, [and] the bright and morning star.

Lucifer ni mwana wa asubuhi Ila Kristo ni nyota yenye kung'aa ya asubuhi hapo Kuna tofauti kubwa kati yao.

Nadhani lugha ndio tatizo hapa.
Ndivyo wanavyofanya illuminati, unapewa neno lililopinduliwa Ili kudanganya.

Majina yote mazuri ni ya Yesu, ndiye Mungu,

Ikiwa zipo nyota zenye kung'aa, basi yenye kung'aa kuliko zote ni Yesu,

Mama jusi waliiona nyota ambayo haijawahi onekana tangu Kuumbwa Ulimwengu, na wakati huo shetani akiwa kuzimu,

Sasa iweje Yesu awe huyo?

Yesu Anaitwa Mfalme wa Amani, Baba wa Milele, Mfalme wa Wafalme,Mungu mwenye nguvu.
 
Toa pongezi na credit Kwa yule dada wa Instagram...umecopy kila kitu.
Dada yupi mkuu ili nitoe Pongezi maana Kiukweli hii ni Historia na ipo kila sehemu naweza nikaandika historia kuhusu nyerere lakini kuna watu kibao wanaweza wakaadika pia..

So ni history ambayp ipo kila mahali kuhus LINCOLN NA JFK
nipe jina nimpe credit mkuu mimi sio mchoyo
 
Duuuh, ila ni ngumu sana kutumia case study moja kufia kwenye conclusion
 
Dada yupi mkuu ili nitoe Pongezi maana Kiukweli hii ni Historia na ipo kila sehemu naweza nikaandika historia kuhusu nyerere lakini kuna watu kibao wanaweza wakaadika pia..

So ni history ambayp ipo kila mahali kuhus LINCOLN NA JFK
nipe jina nimpe credit mkuu mimi sio mchoyo
Nikikumbuka ntamuandika ...nimeomba hii zaidi ya mara3
..sijashika jina la page yake.
 
Hayo maneno hapo juu ni neno moja ?

Nyota ya alfajiri mwana wa asubuhi = nyota yenye kung'aa ya asubuhi ?..... haya maneno ni sawa kweli ?

Hebu tuwekee kwa lugha nyingine.

Isa 14:12 How art thou fallen from heaven, O Lucifer, son of the morning! [how] art thou cut down to the ground, which didst weaken the nations!

Rev 22:16 I Jesus have sent mine angel to testify unto you these things in the churches. I am the root and the offspring of David, [and] the bright and morning star.

Lucifer ni mwana wa asubuhi Ila Kristo ni nyota yenye kung'aa ya asubuhi hapo Kuna tofauti kubwa kati yao.

Nadhani lugha ndio tatizo hapa.
Mkuu Nimeweka lugha zaidi ya moja hapo
Neno lucifer linamaanisha morning star kama umesoma Kilatin utakuwa unanielewa zaidi..
Na mara Nyingi wanaiita Venus kama morning star kwa sababu huonekana Asubuhi..

NAfikir nimeweka lugha zote unaweza ukasoma mpaka mwisho hata kwenye petro pia
 
Ndivyo wanavyofanya illuminati, unapewa neno lililopinduliwa Ili kudanganya.

Majina yote mazuri ni ya Yesu, ndiye Mungu,

Ikiwa zipo nyota zenye kung'aa, basi yenye kung'aa kuliko zote ni Yesu,

Mama jusi waliiona nyota ambayo haijawahi onekana tangu Kuumbwa Ulimwengu, na wakati huo shetani akiwa kuzimu,

Sasa iweje Yesu awe huyo?

Anaitwa Mfalme wa Amani, Baba wa Milele, Mfalme wa Wafalme,Mungu mwenye nguvu.
Ningependa zaidi kama tutafanya mjadala kuhusu hilo tufanye mjadala wa kisomi..
Unaouwezo wa kupinga itakavyo..

Kwa sababu sio lazma tufanane upande..
Hata hilo neno lenyewe ilumminate sijui kama unajua hata maana yake
 
Back
Top Bottom