Mambo ambayo Yanafanya watu wengi waweke Fikra kwamba huenda dunia ni simulation au huenda hatuna free wills kama tunavyoambiwa case st JFK &Lincoln

Huyu Dogo anaandika Sana na Mimi Ni shabiki yake pia.

Ameandika na kuviongea vitu fikirishi Sana Dizasta Vina
 
Swali zuri. Nilivyosoma tu mada ndilo swali lililokuja kichwani.
HIli nimelijibu kuwa kitu kinachowapa upekee ni kwamba hawakuwa Raia wa kawaida tu walikuwa Ni Marais wa Marekani

Nakupa Ruksa niletee marais wote Dunia nzima wwnye mfanano huo
 
Huyu Dogo anaandika Sana na Mimi Ni shabiki yake pia.

Ameandika na kuviongea vitu fikirishi Sana Dizasta Vina
Namkubali sana jmaa Kuna moja mpya katoa Haina wiki nyingi sana inaitwa wachezaji wa Timu

huyu jamaa ni Narrative Lyrical God..Nimeanza kumsikiliza Tangu 2021 na sijajuta kumjua Ni philisophical Brain
 
Mkuu mbona unapinga jumla jumla bila kujishughulisha na mjadala husika?
Je tukisema wewe ni muongo kwasababu unaandika yanayotoka kwenye fikra yako tutakuwa tunakosea?
DR Mambo Jambo anatupa maelezo yaliyoshiba na rejea za vitabu mbalimbali wewe unaweka porojo.
 
Tupe na ya Yesu nayo maana kuna wadau wanasema simulation yake yule aliembebea msalaba ndie aliesulubiwa Ila yeye mwenyewe alijichanganya na umati akaingia mitini ili kuikwepa misumali
Unamsemea simon mkrene ww
Au sio mkuu?!
 
Dr uko very deep, natamani sana kujua vzr haya mambo unaweza kunisaidia pa kuanzia 🙏
 
Kama shetani anaweza Kuwa mungu, unataka kumaanisha mungu ndio shetani
kweni Shetani kaumbwa na nan?
Alafu evils spirit haziwakilishi giza bali giza ni sehemu tu ya ulimwengu in nature.
True creator of everything hes both dark and light( creation and destruction is perfection or the perfection of the system it is its imperfection(stefano from gaia).

Nilipenda movie ya marvel the Endgame character ya thanos iliwashinda, yale mawe au spirits stones mungu yehova anazo 7

Mungu Yehova ana nafsi saba ukitoa ya yake zinabaki sita maana yake akipoteza moja kati ya nafsi hizo ni shida na hawez kupoteza.
Lucifer kuna kitu anabeba kutoka mbinguni Wajuzi wanaita funguo bali ni code tu, Mungu alikiitaji hicho kwa gharama yoyote so kumtoa mwanae sio kwajili ya watu tu pia na Funguo
 
HIyo Movie inaitwaje mkuu..
Naona kama nimeipenda mandhari yake..
Maana ni kweli Yehova ana 7 spirit ambazo ndo wakristo huiita Seven Arch angel..
Hebu fanya kunipa jina
 
Kwa hiyo Lucifer kamuibia mungu kitu chako
 
kitu changu? uliondoka nafunguo toka mbinguni na kasha pukonywa na kristo miaka mingi
Nilikuwa namaanisha Lucifer alitoroka na funguo za Mungu, baadaye kabisa yesu akazurudisha .

Hizo funguo ni codes AU ni funguo za kawaida , na hizo funguo Zina Kazi Gani mpaka Lucifer atokomee naz
 
Dah kuna sehemu nafeli ukiona had robot zinaanza kujioji nani kawatengeneza ni moja ya kujitambua ila haiwez mfanya mtengezaji akasquiz hahaha
 
Nilikuwa namaanisha Lucifer alitoroka na funguo za Mungu, baadaye kabisa yesu akazurudisha .

Hizo funguo ni codes AU ni funguo za kawaida , na hizo funguo Zina Kazi Gani mpaka Lucifer atokomee naz
Inasemekana ni funguo, yani mamlaka ya kuzimu na mauti, sasa wenda kiwakilish chake ni kitu halisi ndo maana kikaitwa funguo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…