Kwa hiyo hivi Sasa funguo ziko Mahali salama?, Isije Tena Lucifer akaziiba , maana Lucifer anaonekana ni mjanja mjanja Sana,Inasemekana ni funguo, yani mamlaka ya kuzimu na mauti, sasa wenda kiwakilish chake ni kitu halisi ndo maana kikaitwa funguo
😂😂 na mbinguni lucifer ni staff mda wote anatimba na anabonga na mkula na kawana pembeni.Kwa hiyo hivi Sasa funguo ziko Mahali salama?, Isije Tena Lucifer akaziiba , maana Lucifer anaonekana ni mjanja mjanja Sana,
Lucifer anatumia company Gani kwenda mbinguni, I mean NASA, cosmos, Blue virgin, space X?😂😂 na mbinguni lucifer ni staff mda wote anatimba na anabonga na mkula na kawana pembeni.
ayoub
portalLucifer anatumia company Gani kwenda mbinguni, I mean NASA, cosmos, Blue virgin, space X?
Portal?.portal
Hii pdf drive mbona inafanya Kazi AU , kuna baadhi ya vitabu wamezuia hatuwezi Ku download?Hii haiwezi kufikia Pdfdrive aisee ilikuwa poa sana hakuna kitabu utakosa pale..
Hii inabaki kuwa The Former big library books sahzi unaweza kuviona ila huwezi kuvichukua..
PDF Drive - Search and download PDF files for free.
PDF Drive is your search engine for PDF files. As of today we have 75,036,752 eBooks for you to download for free. No annoying ads, no download limits, enjoy it and don't forget to bookmark and share the love!www.pdfdrive.com
Haifanyi kazi kabisa hiyo mkuu Siku hiziHii pdf drive mbona inafanya Kazi AU , kuna baadhi ya vitabu wamezuia hatuwezi Ku download?
Na vitabu hivyo walivyo vizuia ni vipi ?
Mbona Mimi nina download TuHaifanyi kazi kabisa hiyo mkuu Siku hizi
Acha bhna kweli?Mbona Mimi nina download Tu
Acha bhna kweli?
Bhasi itakuwa imerudishwa kitabu gani umedownload?
kama mungu humchagua amtakae na lucifer ni hivyo hivyoPortal?.
Kama Una contact za Lucifer ni PM please, ninashida nae
Okay, kwa hiyo mungu ni mbaguzi?,kama mungu humchagua amtakae na lucifer ni hivyo hivyo
Kama wasomaji na wachangiaji wa huu uzi hawajui namna ya kuchimba facts wanaweza kujikuta katikati ya mihemkoNtajikita kwanza kwenye case study ya Mfanano wa kimaisha wa Marais wawili wa marekani walioachana zaidi ya miaka 100,
Ambao una pure surreal Experience na utakuacha mdomo wazi....
Marais hao ni Kati ya Abraham Lincoln (Rais wa 16 wa Marekani) na John fred Kennedy (Rais wa 35 w Marekani)
Unaweza ukajiuliza maswali Je matukio hupangwa au Yalijikuta kufanana tu..
Na kama yalipangwa yalipangwa na nani?
Mfanano huo wa baadhi ya majina, matukio yao na mfanano wa miaka ya matukio yao ambayo yamepishana miaka 100 tu ila tarakimu kuwa sawa unatoa picha kuwa huenda we Live on simulation and we either Not have free wills au yalitokea just kwa bahati tu..
shughuli zao kisiasa
- Abrahamu lincoln alichaguliwa kwa mara ya kwanza bungeni mwaka (elected for congress) mwaka 1846,
- Wakati john F kennedy alichaguliwa bungeni (elected in congress) mwaka 1946
- Abrahamu Licncoln alichaguliwa kuwa Rais wa usa mwaka 1860
- Wakati JFK alichaguliwa kuwa Rais mwaka 1960
Katika muda waliokuwepo ofisini
Vifo vyao
- Secretary wa Lincoln aliitwa Kennedy wakati secretary wa Kennedy aliitwa Lincoln.
Mwisho...Kuhusu Hii case ya Surreal ya Lincoln na JKF..
- Marais wote waliuawa siku Ya ijumaa,Na wote walipigwa risasi za kichwa
- Wote waliuawa na Watu kutoka Kusini mwa USA yaani Southern so wote waliuliwa na Southerners
- John booth ambaye anasemekana alimuua Lincoln alizaliwa mwaka 1839 Lee osward ambaye inasemekana alimuua Kennedy alizaliwa mwaka 1939
- Lincoln aliuawa kwenye theater inayoitwa Ford , Na Kennedy aliuliwa kwenye Gari iliyotengenezwa na Ford..
- Limcoln alipopigwa pale theater muuaji alikimbia na kwenda kujificha Warehouse..Ila kennedy aliuliwa kwenye warehouse na muuaji alienda kujificha Kwenye theater.
- Booth (Aliyemuua Lincoln) na oswald (Aliyemuua Kennedy) wote waliuliwa kabla ya kufikishwa mahakamani..
- Wote walifuatiwa na Marais kutoka southern huku wote waliowafatia wakiitwa President Johnson (Sir Johnson's) yaani Andrew Johnson na Lyndon Johnson
- Andrew Johnson aliemfuata Lincoln alizaliwa 1808 na lyndon Johnson aliyemfiata lincoln alizaliwa 1908
- Ni kwamba kabla ya kuuliwa wiki moja kabla Lincoln alikuwa sehemu moja inaitwa Monnroe Maryland ..Huku Na week moja kabla Kennedy kuuliwa alikuwa na mtu anayeiywa Maryland monroe
🤣🤣🤣Okay, kwa hiyo mungu ni mbaguzi?,
Na kwanini matendo ya Lucifer yafanane na ya Mungu?.
Sawa inawezekana maana haiwezekan matukio had namba vifanane.Hao sio Raia wa kawaida mkuu Hao very High profile citizen
Kuna watu watasema Mungu anajua ya Kesho (future), Je Esau alikuja kumuasi Mungu ? Mpaka ipelekee Mungu amchukie akiwa bado tumboni.🤣🤣🤣
Akikujibu Niambie mkuu!..
Warumi 9:11-13
"kwa maana kabla hawajazaliwa wale watoto, wala hawajatenda neno jema wala baya, ili lisimame kusudi la Mungu la kuchagua, si kwa sababu ya matendo, bali kwa sababu ya nia yake aitaye
aliambiwa hivi, Mkubwa atamtumikia mdogo.
Kama ilivyoandikwa, Nimempenda Yakobo, bali Esau nimemchukia."
Kamchukia Mtu Tangu akiwa Tumboni 🤣🤣
Kama uumbaji uliishia hapo, hakuna kiumbe bora nawakipekee ajie ubwaa kama lucifer,Okay, kwa hiyo mungu ni mbaguzi?,
Na kwanini matendo ya Lucifer yafanane na ya Mungu?.
Hiki 👆 Nini (nawakipekee ajie ubwaa kama lucifer)Kama uumbaji uliishia hapo, hakuna kiumbe bora nawakipekee ajie ubwaa kama lucifer,
Kuhusu ubaguzi, ni swala la uongozi tu kila sehemu muwakilishi ni mmoja tu