Mambo ambayo Yanafanya watu wengi waweke Fikra kwamba huenda dunia ni simulation au huenda hatuna free wills kama tunavyoambiwa case st JFK &Lincoln

Mambo ambayo Yanafanya watu wengi waweke Fikra kwamba huenda dunia ni simulation au huenda hatuna free wills kama tunavyoambiwa case st JFK &Lincoln

Inasemekana ni funguo, yani mamlaka ya kuzimu na mauti, sasa wenda kiwakilish chake ni kitu halisi ndo maana kikaitwa funguo
Kwa hiyo hivi Sasa funguo ziko Mahali salama?, Isije Tena Lucifer akaziiba , maana Lucifer anaonekana ni mjanja mjanja Sana,
 
Kwa hiyo hivi Sasa funguo ziko Mahali salama?, Isije Tena Lucifer akaziiba , maana Lucifer anaonekana ni mjanja mjanja Sana,
😂😂 na mbinguni lucifer ni staff mda wote anatimba na anabonga na mkula na kawana pembeni.
ayoub
 
😂😂 na mbinguni lucifer ni staff mda wote anatimba na anabonga na mkula na kawana pembeni.
ayoub
Lucifer anatumia company Gani kwenda mbinguni, I mean NASA, cosmos, Blue virgin, space X?
 
Hii haiwezi kufikia Pdfdrive aisee ilikuwa poa sana hakuna kitabu utakosa pale..
Hii inabaki kuwa The Former big library books sahzi unaweza kuviona ila huwezi kuvichukua..
Hii pdf drive mbona inafanya Kazi AU , kuna baadhi ya vitabu wamezuia hatuwezi Ku download?
Na vitabu hivyo walivyo vizuia ni vipi ?
 
Kwa miaka 100 kutokea kwa mfanano wa matukio si jambo la kushangaza, kwasababu ni kama imepitia mchujo mpaka kutokea best coincidence zinazofanana. Hata sisi Tanzania basda ya miaka 100 kunaweza kutokea matukio sawa kulingana na uhalisia wa mazingira na utekelezaji wake.
 
Basi itakuwa wamerudisha aisee maana Nimejaribu kwa miaka miwili sasa tangu 2022 ilikuwa haipakui kabisa..

Nb: sofia ni kitabu kizuri sana kwa ajili ya Philosophy Hongera sana Mkuu..
Nimekisoma sana hicho nakuhakikushia MB Zako hazijaenda Bure
CC: Blender
 
Ntajikita kwanza kwenye case study ya Mfanano wa kimaisha wa Marais wawili wa marekani walioachana zaidi ya miaka 100,
Ambao una pure surreal Experience na utakuacha mdomo wazi....

Marais hao ni Kati ya Abraham Lincoln (Rais wa 16 wa Marekani) na John fred Kennedy (Rais wa 35 w Marekani)

Unaweza ukajiuliza maswali Je matukio hupangwa au Yalijikuta kufanana tu..
Na kama yalipangwa yalipangwa na nani?

Mfanano huo wa baadhi ya majina, matukio yao na mfanano wa miaka ya matukio yao ambayo yamepishana miaka 100 tu ila tarakimu kuwa sawa unatoa picha kuwa huenda we Live on simulation and we either Not have free wills au yalitokea just kwa bahati tu..

shughuli zao kisiasa

  • Abrahamu lincoln alichaguliwa kwa mara ya kwanza bungeni mwaka (elected for congress) mwaka 1846,
  • Wakati john F kennedy alichaguliwa bungeni (elected in congress) mwaka 1946
  • Abrahamu Licncoln alichaguliwa kuwa Rais wa usa mwaka 1860
  • Wakati JFK alichaguliwa kuwa Rais mwaka 1960

Katika muda waliokuwepo ofisini
  • Secretary wa Lincoln aliitwa Kennedy wakati secretary wa Kennedy aliitwa Lincoln.
Vifo vyao

  • Marais wote waliuawa siku Ya ijumaa,Na wote walipigwa risasi za kichwa
  • Wote waliuawa na Watu kutoka Kusini mwa USA yaani Southern so wote waliuliwa na Southerners
  • John booth ambaye anasemekana alimuua Lincoln alizaliwa mwaka 1839 Lee osward ambaye inasemekana alimuua Kennedy alizaliwa mwaka 1939
  • Lincoln aliuawa kwenye theater inayoitwa Ford , Na Kennedy aliuliwa kwenye Gari iliyotengenezwa na Ford..
  • Limcoln alipopigwa pale theater muuaji alikimbia na kwenda kujificha Warehouse..Ila kennedy aliuliwa kwenye warehouse na muuaji alienda kujificha Kwenye theater.
  • Booth (Aliyemuua Lincoln) na oswald (Aliyemuua Kennedy) wote waliuliwa kabla ya kufikishwa mahakamani..
  • Wote walifuatiwa na Marais kutoka southern huku wote waliowafatia wakiitwa President Johnson (Sir Johnson's) yaani Andrew Johnson na Lyndon Johnson
  • Andrew Johnson aliemfuata Lincoln alizaliwa 1808 na lyndon Johnson aliyemfiata lincoln alizaliwa 1908
Mwisho...Kuhusu Hii case ya Surreal ya Lincoln na JKF..

  • Ni kwamba kabla ya kuuliwa wiki moja kabla Lincoln alikuwa sehemu moja inaitwa Monnroe Maryland ..Huku Na week moja kabla Kennedy kuuliwa alikuwa na mtu anayeiywa Maryland monroe
Kama wasomaji na wachangiaji wa huu uzi hawajui namna ya kuchimba facts wanaweza kujikuta katikati ya mihemko
 
Okay, kwa hiyo mungu ni mbaguzi?,
Na kwanini matendo ya Lucifer yafanane na ya Mungu?.
🤣🤣🤣
Akikujibu Niambie mkuu!..

Warumi 9:11-13

"kwa maana kabla hawajazaliwa wale watoto, wala hawajatenda neno jema wala baya, ili lisimame kusudi la Mungu la kuchagua, si kwa sababu ya matendo, bali kwa sababu ya nia yake aitaye

aliambiwa hivi, Mkubwa atamtumikia mdogo.

Kama ilivyoandikwa, Nimempenda Yakobo, bali Esau nimemchukia."


Kamchukia Mtu Tangu akiwa Tumboni 🤣🤣
 
🤣🤣🤣
Akikujibu Niambie mkuu!..

Warumi 9:11-13

"kwa maana kabla hawajazaliwa wale watoto, wala hawajatenda neno jema wala baya, ili lisimame kusudi la Mungu la kuchagua, si kwa sababu ya matendo, bali kwa sababu ya nia yake aitaye

aliambiwa hivi, Mkubwa atamtumikia mdogo.

Kama ilivyoandikwa, Nimempenda Yakobo, bali Esau nimemchukia."


Kamchukia Mtu Tangu akiwa Tumboni 🤣🤣
Kuna watu watasema Mungu anajua ya Kesho (future), Je Esau alikuja kumuasi Mungu ? Mpaka ipelekee Mungu amchukie akiwa bado tumboni.

yupi Kati ya yakobo na Esau aliyekuja kumuasi Mungu?.
 
Okay, kwa hiyo mungu ni mbaguzi?,
Na kwanini matendo ya Lucifer yafanane na ya Mungu?.
Kama uumbaji uliishia hapo, hakuna kiumbe bora nawakipekee ajie ubwaa kama lucifer,
Kuhusu ubaguzi, ni swala la uongozi tu kila sehemu muwakilishi ni mmoja tu
 
Kama uumbaji uliishia hapo, hakuna kiumbe bora nawakipekee ajie ubwaa kama lucifer,
Kuhusu ubaguzi, ni swala la uongozi tu kila sehemu muwakilishi ni mmoja tu
Hiki 👆 Nini (nawakipekee ajie ubwaa kama lucifer)
 
Back
Top Bottom