Mambo ambayo Yanafanya watu wengi waweke Fikra kwamba huenda dunia ni simulation au huenda hatuna free wills kama tunavyoambiwa case st JFK &Lincoln

Mambo ambayo Yanafanya watu wengi waweke Fikra kwamba huenda dunia ni simulation au huenda hatuna free wills kama tunavyoambiwa case st JFK &Lincoln

MKuu hizi Agnosticism na ignosticism nilijifunza sana na vitabu ninavyo si chini ya 15 na ndo ilinipelekaga kujifunza kuhusu ANUNAKI na pia kuhusu Atheist...

hIi kwa mtu ambaye hayuko tayari kuupokea Ukweli asije akajaribu kugusa kusoma hizo vitu wengi wanachanganyikiwa..
Mkuu kama hizo nondo unazosema ni soft copy nakuomba nitumie nipate vitu vipyaaa
 
Ntakupa vichache kavisome:-

  • Tafuta God Dillusion cha Richard Dawkins
  • In God we doubt cha John Humphrys
  • Misquoting Jesus "The story behind who change the bible and why" cha Bart Ehrman
  • Soma Agnosticism cha Robin Le Poidevin..
  • Letter to christian nation cha sam harris
Soma the epic of gilgamesh (Hii ili uonee kuwa hata Vitu vingi kwenye biblia kama stories wametoa humu ns kilikuwepo kabla hata ya Musa)

Na kuhusu Anunaki I recomend soma Anunaki series books vya Maximillien de Lafayette

Kama (The Anunnaki and Ulema-Anunnaki the Vault of Forbidden Knowledge and the Universe’s Greatest Secrets kitabu cha tatu na pia Kingine ni learn To speak anunaki)

ila the best Kuhusu Anunaki soma hiki cha gerald clack "THE ANUNAKI OF NIBIRU "the man kind forgoten creater "

Hiki ni kizuri kina story yote Kuanzia walivyokuja Jwenye hii sayari miaka 6000 iliyopita wakaumba mtu n.k..

Mkuu viko vingi sana ila hivyo kwa leo..
Maana vitabu its almost Miaka saba nasomaga hivi vitabu mwanzoni vilikuwa vinanipa doubt sana ila kadri navyosoma ndo vilinifungua kuwa napata reasoning ya vitu..

nakuongeea..
Book of the dead (Humu kuna Amri kumi za mungu Ambazo ziliandikwa miaka kibao kabla ya Musa kuzaliwa)

Emerald Tablets..

Cc:- passion_amo1
Mkuu Dr mambo jambo nakuomba kama ni soft copy nitumie plz
 
Ntajikita kwanza kwenye case study ya Mfanano wa kimaisha wa Marais wawili wa marekani walioachana zaidi ya miaka 100,
Ambao una pure surreal Experience na utakuacha mdomo wazi....

Marais hao ni Kati ya Abraham Lincoln (Rais wa 16 wa Marekani) na John fred Kennedy (Rais wa 35 w Marekani)

Unaweza ukajiuliza maswali Je matukio hupangwa au Yalijikuta kufanana tu..
Na kama yalipangwa yalipangwa na nani?

Mfanano huo wa baadhi ya majina, matukio yao na mfanano wa miaka ya matukio yao ambayo yamepishana miaka 100 tu ila tarakimu kuwa sawa unatoa picha kuwa huenda we Live on simulation and we either Not have free wills au yalitokea just kwa bahati tu..

shughuli zao kisiasa

  • Abrahamu lincoln alichaguliwa kwa mara ya kwanza bungeni mwaka (elected for congress) mwaka 1846,
  • Wakati john F kennedy alichaguliwa bungeni (elected in congress) mwaka 1946
  • Abrahamu Licncoln alichaguliwa kuwa Rais wa usa mwaka 1860
  • Wakati JFK alichaguliwa kuwa Rais mwaka 1960

Katika muda waliokuwepo ofisini
  • Secretary wa Lincoln aliitwa Kennedy wakati secretary wa Kennedy aliitwa Lincoln.
Vifo vyao

  • Marais wote waliuawa siku Ya ijumaa,Na wote walipigwa risasi za kichwa
  • Wote waliuawa na Watu kutoka Kusini mwa USA yaani Southern so wote waliuliwa na Southerners
  • John booth ambaye anasemekana alimuua Lincoln alizaliwa mwaka 1839 Lee osward ambaye inasemekana alimuua Kennedy alizaliwa mwaka 1939
  • Lincoln aliuawa kwenye theater inayoitwa Ford , Na Kennedy aliuliwa kwenye Gari iliyotengenezwa na Ford..
  • Limcoln alipopigwa pale theater muuaji alikimbia na kwenda kujificha Warehouse..Ila kennedy aliuliwa kwenye warehouse na muuaji alienda kujificha Kwenye theater.
  • Booth (Aliyemuua Lincoln) na oswald (Aliyemuua Kennedy) wote waliuliwa kabla ya kufikishwa mahakamani..
  • Wote walifuatiwa na Marais kutoka southern huku wote waliowafatia wakiitwa President Johnson (Sir Johnson's) yaani Andrew Johnson na Lyndon Johnson
  • Andrew Johnson aliemfuata Lincoln alizaliwa 1808 na lyndon Johnson aliyemfiata lincoln alizaliwa 1908
Mwisho...Kuhusu Hii case ya Surreal ya Lincoln na JKF..

  • Ni kwamba kabla ya kuuliwa wiki moja kabla Lincoln alikuwa sehemu moja inaitwa Monnroe Maryland ..Huku Na week moja kabla Kennedy kuuliwa alikuwa na mtu anayeiywa Maryland monroe
Kiranga tunaomba maoni yako mkuu! Hii mada inakufaa sana.
 
Nilichoelewa hapa Ni bkessings for those who obey the order and punishment for those who rebel
#Ruksa kunisahihisha



Nimeaoma passage hii nilichokiongelea kuwa DVD alikengeuka na kujifanyia alichokiona sawa machoni pake
1 Mambo ya Nyakati 21:6-8.


Nilichoelewa hapa roho ( neno ) ambayo ni laana iliyoachiliwa juu yake ndiyo iliyokuwa ikimtesa Huku DVD akibarikiwa na kutengwa ( Annointed )


Ruksa kunipa darasa
Kilichofanya akupe hivyo vifungu ni Ili ujue kwann amesema Mungu &Shetani anaweza akawa ni kiumbe mmoja isipokuwa anafanya mambo tofaut kulingana mazingr na ndio maana kaanza na real object eg kisu,

Ili iwe rahisi kuelewa kwamba kisu kilekile ila kinafanya vitu viwili vyenye impacts tofaut, na ndio maana baadae akaja kwenye maandiko kuonyesha the same God anafanya vitu viwili tofauti light & Darkness, akaja Tena Kwa Saul from the same sorce inatoka roho njema na roho mbaya .
 
Kiranga tunaomba maoni yako mkuu! Hii mada inakufaa sana.
Ukitaka habari za ulimwengu kuonekana kama uko simulated zama kwenye constants of nature huko kwenye strong and weak nuclear force, soma cosmology na cosmogony.

Soma.

John D. Barrow katika "The Constants of Nature: From Alpha to Omega - The Numbers That Encode The Deepest Secrets of The Universe"

Martin Rees katika "Just Six Numbers : The Deep Forces That Shape the Universe.


Soma Nick Bostrom "The Anthropic Bias: Observation Selection Effects in Science and Philosophy"


Soma Michael Talbot "The Holographic Universe :The Revolutionary Theory of Reality"

Soma Philip Goff "Why? The Purpose of the Universe"

Kwa sasa nakisoma hiki cha mwisho, kimeelezea vizuri hayo mambo ya simulation in a very deep way.

Nime attach vitabu kwa atakayependa kusoma.
 

Attachments

Kilichofanya akupe hivyo vifungu ni Ili ujue kwann amesema Mungu &Shetani anaweza akawa ni kiumbe mmoja isipokuwa anafanya mambo tofaut kulingana mazingr na ndio maana kaanza na real object eg kisu,

Ili iwe rahisi kuelewa kwamba kisu kilekile ila kinafanya vitu viwili vyenye impacts tofaut, na ndio maana baadae akaja kwenye maandiko kuonyesha the same God anafanya vitu viwili tofauti light & Darkness, akaja Tena Kwa Saul from the same sorce inatoka roho njema na roho mbaya .
Mkuu unastahili tuzo kwa kujua kuelewesha
👏👏👏👏
 
Ukitaka habari za ulimwengu kuonekana kama uko simulated zama kwenye constants of nature juko kwenye strong and weak nuclear force, soma

John D. Barrow katika "The Constants of Nature: From Alpha to Omega - The Numbers That Encode The Deepest Secrets of The Universe"

Martin Rees katika "Just Six Numbers : The Deep Forces That Shape the Universe.


Soma Nick Bostrom "The Anthropic Bias: Observation Selection Effects in Science and Philosophy"


Soma Michael Talbot "The Holographic Universe :The Revolutionary Theory of Reality"

Soma Philip Goff "Why? The Purpose of the Universe"

Kwa sasa nakisoma hiki cha mwisho, kimeelezea vizuri hayo mambo ya simulation in a very deep way.
Naomba niseme shukrani sana hiki kitabu nilikitafuta sana na mara ya mwisho Nilikiona amazon kinauzwa bei ya kutosha..

Shukrani sana mkuu Hatimaye nimekipata
Shukrani snaa
Na martin rees ndo mwandishi wangu pendwa the best cosmologist na astrophysicist..
 
Ukitaka habari za ulimwengu kuonekana kama uko simulated zama kwenye constants of nature juko kwenye strong and weak nuclear force, soma

John D. Barrow katika "The Constants of Nature: From Alpha to Omega - The Numbers That Encode The Deepest Secrets of The Universe"

Martin Rees katika "Just Six Numbers : The Deep Forces That Shape the Universe.


Soma Nick Bostrom "The Anthropic Bias: Observation Selection Effects in Science and Philosophy"


Soma Michael Talbot "The Holographic Universe :The Revolutionary Theory of Reality"

Soma Philip Goff "Why? The Purpose of the Universe"

Kwa sasa nakisoma hiki cha mwisho, kimeelezea vizuri hayo mambo ya simulation in a very deep way.
Jaribu kupitia pia kuna kitab martin rees kaandika kuhus Numerology ni kizuri kuhusu maswala ya Universe probability
 
Ni swali ambalo huwa linaniumiza Mpaka leo kuliwaza!
Huwa nakuja kwenye baadhi ya Hypothesis..
Maybe ANUNAKI kama baadhi ya vitabu vinavyosema or Maybe Mungu mwenyewe au maybe Shetani or May some kind of Group...

But kinachoumiza ni kwamba Once you know the Theories and Hypethetical Thought za Simulation Huwa hazina jibu hata ukijaribu kuzipuuza vipi
Binafsi hii imeshawahi nitokea Ila kwa upande wa mahusiano, Ma Ex wangu takribani wanne wote wamezaliwa tarehe moja na mwaka huo huo mmoja mpaka huwa nikikaa naona kama muujiza hivi lakini ndio ishatokea hivyo.
 
Unataka kitabu gani viko vingi sana
* Tafuta God Dillusion cha Richard Dawkins
  • In God we doubt cha John Humphrys
  • Misquoting Jesus "The story behind who change the bible and why" cha Bart Ehrman
  • Soma Agnosticism cha Robin Le Poidevin..
  • Letter to christian nation cha sam harris

Soma the epic of gilgamesh (Hii ili uonee kuwa hata Vitu vingi kwenye biblia kama stories wametoa humu ns kilikuwepo kabla hata ya Musa)

Na kuhusu Anunaki I recomend soma Anunaki series books vya Maximillien de Lafayette

Kama (The Anunnaki and Ulema-Anunnaki the Vault of Forbidden Knowledge and the Universe’s Greatest Secrets kitabu cha tatu na pia Kingine ni learn To speak anunaki)


Hizo ulizoorodhesha hapo zote naomba mkuu.
 
Binafsi hii imeshawahi nitokea Ila kwa upande wa mahusiano, Ma Ex wangu takribani wanne wote wamezaliwa tarehe moja na mwaka huo huo mmoja mpaka huwa nikikaa naona kama muujiza hivi lakini ndio ishatokea hivyo.
Hahahahaha inabidi ukawaoe wote , maana naona pia wanaweza kufa siku moja wote.
 
Back
Top Bottom