Mambo ambayo Yanafanya watu wengi waweke Fikra kwamba huenda dunia ni simulation au huenda hatuna free wills kama tunavyoambiwa case st JFK &Lincoln

Mambo ambayo Yanafanya watu wengi waweke Fikra kwamba huenda dunia ni simulation au huenda hatuna free wills kama tunavyoambiwa case st JFK &Lincoln

Neno kuumba maana yake ni kutengeneza..
Dhambi haikuumbwa wala kutengenezwa..
Baraka haikuumbwa wala kutengenezwa..
Kuna kitu kinaitwa condition au state..
Ni tofauti na kitu kilicho umbwa mungu anasema kuumba hizo Duality..
NA hizo duality ndo state of been..
Au condition of been..

soma tena hiyo Ni amri ilitoka kufanya sensa na alipomaliza alipeleka hesabu pia..


Hapana soma tena Laana ni tofauti na Roho mbaya..
Kama maneno ni roho inayoweza kumshambulia mtu why laana isiwe roho Kama yalivyo maneno mengine ?

Umeongelea Amri ila Biblia inaonyesha alishawishiwa na kushawishi Mara nyingi ni manipulation na nilichokiona hapo kulikuwa like of influence Kama ilivyo asili yake shetani.

Kuumba inaweza kuwa kutamaka Kama alivyofanya kwa Kila jamabo
Kutamka ni kuumba na Kama neno ni roho inayounbwa kwa neno, Bila Shaka no laana ndiyo iliyozungumziwa.
 
corrupted by money and the collective mission of humanity on Earth has been kidnapped by money.
Corrupted by money
Issue ni corrupted wisdom kwa kuzidanganya nafsi zao ila mwisho wa siku

Beliefs, Value and attitude naziangalia Kama ngao kudrive purpose ya mtu na ni core inputs katika life ya binadamu
Hizo zinaleta idea nzima ya wewe ulivyo na unavyoyajadili mambo

Personal reality affects personality
 
Corrupted by money
Issue ni corrupted wisdom kwa kuzidanganya nafsi zao ila mwisho wa siku

Beliefs, Value and attitude naziangalia Kama ngao kudrive purpose ya mtu na ni core inputs katika life ya binadamu
Hizo zinaleta idea nzima ya wewe ulivyo na unavyoyajadili mambo

Personal reality affects personality
Your personality affects your personal reality? Where did you learn that from son?
 
nilichokiona hapo kulikuwa like of influence Kama ilivyo asili yake shetani
That means you know who is Satan out of the Bible or you're forced to think from within the box I mean the box the Bible? Wake up son

Do you want to be like a caged monkey given banana to eat as a reward so that he can dance to a certain song played by his own master's?
 
That means you know who is Satan out of the Bible or you're forced to think from within the box I mean the box the Bible? Wake up son

Do you want to be like a caged monkey given banana to eat as a reward so that he can dance to a certain song played by his own master's?
Do you think you're awaken being ?
Nakueleza kilicho andikwa wewe unaleta pigo za monkey in a cage ajabu Sana kutaka nitumie perspective zako ktk kufikiri kwangu
 
Do you think you're awaken being ?
Nakueleza kilicho andikwa wewe unaleta pigo za monkey in a cage ajabu Sana kutaka nitumie perspective zako ktk kufikiri kwangu
Some sort of awakening being but why do you ask something? You know what I mean your masters play the same song and you dance on the same song but you don't ask why am I dancing the same song over and over again like a caged monkey do? Waiting for banana as your reward?
 
Some sort of awakening being but why do you ask something? You know what I mean your masters play the same song and you dance on the same song but you don't ask why am I dancing the same song over and over again like a caged monkey do? Waiting for banana as your reward?
Ujiulize swali Hilo Hilo
Kwanini unajibariki na kujiona kuliko kuonwa na kubarikiwa
Na hujaona hiyo n cage kwa nyani anayejipigia makofi ?
 
Ntajikita kwanza kwenye case study ya Mfanano wa kimaisha wa Marais wawili wa marekani walioachana zaidi ya miaka 100,
Ambao una pure surreal Experience na utakuacha mdomo wazi....

Marais hao ni Kati ya Abraham Lincoln (Rais wa 16 wa Marekani) na John fred Kennedy (Rais wa 35 w Marekani)

Unaweza ukajiuliza maswali Je matukio hupangwa au Yalijikuta kufanana tu..
Na kama yalipangwa yalipangwa na nani?

Mfanano huo wa baadhi ya majina, matukio yao na mfanano wa miaka ya matukio yao ambayo yamepishana miaka 100 tu ila tarakimu kuwa sawa unatoa picha kuwa huenda we Live on simulation and we either Not have free wills au yalitokea just kwa bahati tu..

shughuli zao kisiasa

  • Abrahamu lincoln alichaguliwa kwa mara ya kwanza bungeni mwaka (elected for congress) mwaka 1846,
  • Wakati john F kennedy alichaguliwa bungeni (elected in congress) mwaka 1946
  • Abrahamu Licncoln alichaguliwa kuwa Rais wa usa mwaka 1860
  • Wakati JFK alichaguliwa kuwa Rais mwaka 1960

Katika muda waliokuwepo ofisini
  • Secretary wa Lincoln aliitwa Kennedy wakati secretary wa Kennedy aliitwa Lincoln.
Vifo vyao

  • Marais wote waliuawa siku Ya ijumaa,Na wote walipigwa risasi za kichwa
  • Wote waliuawa na Watu kutoka Kusini mwa USA yaani Southern so wote waliuliwa na Southerners
  • John booth ambaye anasemekana alimuua Lincoln alizaliwa mwaka 1839 Lee osward ambaye inasemekana alimuua Kennedy alizaliwa mwaka 1939
  • Lincoln aliuawa kwenye theater inayoitwa Ford , Na Kennedy aliuliwa kwenye Gari iliyotengenezwa na Ford..
  • Limcoln alipopigwa pale theater muuaji alikimbia na kwenda kujificha Warehouse..Ila kennedy aliuliwa kwenye warehouse na muuaji alienda kujificha Kwenye theater.
  • Booth (Aliyemuua Lincoln) na oswald (Aliyemuua Kennedy) wote waliuliwa kabla ya kufikishwa mahakamani..
  • Wote walifuatiwa na Marais kutoka southern huku wote waliowafatia wakiitwa President Johnson (Sir Johnson's) yaani Andrew Johnson na Lyndon Johnson
  • Andrew Johnson aliemfuata Lincoln alizaliwa 1808 na lyndon Johnson aliyemfiata lincoln alizaliwa 1908
Mwisho...Kuhusu Hii case ya Surreal ya Lincoln na JKF..

  • Ni kwamba kabla ya kuuliwa wiki moja kabla Lincoln alikuwa sehemu moja inaitwa Monnroe Maryland ..Huku Na week moja kabla Kennedy kuuliwa alikuwa na mtu anayeiywa Maryland monroe
Ya kweli haya????
 
Ujiulize swali Hilo Hilo
Kwanini unajibariki na kujiona kuliko kuonwa na kubarikiwa
Na hujaona hiyo n cage kwa nyani anayejipigia makofi ?
Come again say what? You're a caged monkey not me, understood? Your thinking tank is from within the Bible (the box) not out of the Bible (the box), where is Satan and where is GOD out of the Bible (the box)? You're framed to think like that, copy that son?
 
Back
Top Bottom