Mambo ambayo Yanafanya watu wengi waweke Fikra kwamba huenda dunia ni simulation au huenda hatuna free wills kama tunavyoambiwa case st JFK &Lincoln

Mambo ambayo Yanafanya watu wengi waweke Fikra kwamba huenda dunia ni simulation au huenda hatuna free wills kama tunavyoambiwa case st JFK &Lincoln

Mkuu nahamu Sana kuijua hii elimu maana kuna vitu huwa navionaga nakuwa kama tayari nilishaviona uku nyuma, kwa mfano linaweza tokea tukio au naona kuna tukio litatokea na ninajua litakavyoaanza mpaka kuisha kwake, mara nyingine nakuwa naongea kitu alafu kinatokea
Nina kitu cha ajabu sana katika maisha yangu.
Naweza kuwa nimetulia zangu mahali ghafla kwenye akili likanijia wazo kuwa...itakuwaje jambo flani likitokea hivi?

Au nasikia sautivikisema kitu...kama vile yale maandishi hutokea chini ya tv wakati wa taarifa ya habari.

Huwezi amini hilo jambo litatukia vile vile
 
...Ni Raia, ndio Wakawa Marais. Ni Raia kwanza. Je Marais wawili wa Marekani kati ya Raia Bilioni karibu Name wa Dunia Hawawezi Kuna na Mambo yanayofanana ? Na Kuna Kama Miaka Mia tofauti Yao ??
Leo Mwaka 2023 ni Miaka Mingapi baada Yao.
Imetuongezea lolote ?
Kuna wengine waliotokea kama hao ?
If there is anything between them, Mbona hawakufa Siku Moja wakiwa na Miaka sawasawa ?
Tusipoteze Muda Kwa Marais wa Marekani wa Miaka Mia iliyopita.
So what ...??

Tunayo mengi yanayotusibu !...

Sent from my TECNO BD4j using JamiiForums mobile app
 
shetani anaweza kuwa mungu lakin mungu hawez kuwa shetani
Yaan unamaanisha Shetani ni Mungu Ila Mungu sio Shetani? Au concept yako imekaaje? Kipi kinachomtenganisha Mungu na Shetani? Kipi kinafanya Mungu awe sio Shetani Ila Shetani awe ni Mungu?
 
Yaan unamaanisha Shetani ni Mungu Ila Mungu sio Shetani? Au concept yako imekaaje? Kipi kinachomtenganisha Mungu na Shetani? Kipi kinafanya Mungu awe sio Shetani Ila Shetani awe ni Mungu?
Hakuna kiumbe wa kumpa mungu laana maana kwenye spiritual rank as a soul or Uni mind yeye ndo top, nafsi saba za uwezo anazo yeye kitu ambazo ni kikubwa kuliko yeye ni neno lake mwenyewe
 
Lincoln aliuawa mysteriously. Hakuna aliyejua nani aliyemuua.
Kwa hiyo stage ilibidi ipangwe upya na actors wale.wale.
Lincoln alikuwa na secretary anaitwa Kennedy ambaye alimuonya asiende kwenye theatre.
Kennedy alikuwa na secretary anaitwa Lincoln aliyemuonya asiende Dallas.
Kwa hiyo stage ilikuwa set tena ili kuona kama muuaji atabainika.
Sasa Kennedy ameuawa,hakuna asiyejua nani kamuua Kennedy.
Naweza kuwataja wote waliomuua Kennedy.
But I don't want to get killed myself.
It is believed to be reincarnation,kwamba Kennedy na Lincoln ni mtu mmoja.
 
Hakuna kiumbe wa kumpa mungu laana maana kwenye spiritual rank as a soul or Uni mind yeye ndo top, nafsi saba za uwezo anazo yeye kitu ambazo ni kikubwa kuliko yeye ni neno lake mwenyewe
Hivi unajua Iblisi Shetani aliumbwa na Vito vingapi vya kung'aa, 9 au 12? Imebidi nikuingize ndani ya box
 
Ntajikita kwanza kwenye case study ya Mfanano wa kimaisha wa Marais wawili wa marekani walioachana zaidi ya miaka 100,
Ambao una pure surreal Experience na utakuacha mdomo wazi....

Marais hao ni Kati ya Abraham Lincoln (Rais wa 16 wa Marekani) na John fred Kennedy (Rais wa 35 w Marekani)

Unaweza ukajiuliza maswali Je matukio hupangwa au Yalijikuta kufanana tu..
Na kama yalipangwa yalipangwa na nani?

Mfanano huo wa baadhi ya majina, matukio yao na mfanano wa miaka ya matukio yao ambayo yamepishana miaka 100 tu ila tarakimu kuwa sawa unatoa picha kuwa huenda we Live on simulation and we either Not have free wills au yalitokea just kwa bahati tu..

shughuli zao kisiasa

  • Abrahamu lincoln alichaguliwa kwa mara ya kwanza bungeni mwaka (elected for congress) mwaka 1846,
  • Wakati john F kennedy alichaguliwa bungeni (elected in congress) mwaka 1946
  • Abrahamu Licncoln alichaguliwa kuwa Rais wa usa mwaka 1860
  • Wakati JFK alichaguliwa kuwa Rais mwaka 1960

Katika muda waliokuwepo ofisini
  • Secretary wa Lincoln aliitwa Kennedy wakati secretary wa Kennedy aliitwa Lincoln.
Vifo vyao

  • Marais wote waliuawa siku Ya ijumaa,Na wote walipigwa risasi za kichwa
  • Wote waliuawa na Watu kutoka Kusini mwa USA yaani Southern so wote waliuliwa na Southerners
  • John booth ambaye anasemekana alimuua Lincoln alizaliwa mwaka 1839 Lee osward ambaye inasemekana alimuua Kennedy alizaliwa mwaka 1939
  • Lincoln aliuawa kwenye theater inayoitwa Ford , Na Kennedy aliuliwa kwenye Gari iliyotengenezwa na Ford..
  • Limcoln alipopigwa pale theater muuaji alikimbia na kwenda kujificha Warehouse..Ila kennedy aliuliwa kwenye warehouse na muuaji alienda kujificha Kwenye theater.
  • Booth (Aliyemuua Lincoln) na oswald (Aliyemuua Kennedy) wote waliuliwa kabla ya kufikishwa mahakamani..
  • Wote walifuatiwa na Marais kutoka southern huku wote waliowafatia wakiitwa President Johnson (Sir Johnson's) yaani Andrew Johnson na Lyndon Johnson
  • Andrew Johnson aliemfuata Lincoln alizaliwa 1808 na lyndon Johnson aliyemfiata lincoln alizaliwa 1908
Mwisho...Kuhusu Hii case ya Surreal ya Lincoln na JKF..

  • Ni kwamba kabla ya kuuliwa wiki moja kabla Lincoln alikuwa sehemu moja inaitwa Monnroe Maryland ..Huku Na week moja kabla Kennedy kuuliwa alikuwa na mtu anayeiywa Maryland monroe
Ndio mara nyingi nawaeleza watu mbona kama nina kumbukumbu kwamba nilishawahi kuishi kabla ya miaka hii na mara nyingi naweza fika ugenini lakini nikawa na kumbukumbu kwamba upande huu kuna mto na unakuta ni kweli
 
Hii dunia before christo ilikuwa yake yeye ndo alikuwa Mungu wa hii dunia
Kwa hio baada ya kuja Kristo akaenda kumtoa pale juu akakaa Kristo? Kwa hio who is who Kristo or Lucifer au ni kiumbe yule yule Ila majina ni tofauti? Hii inafikirisha sana usije ukabomoa ubongo Mzee think out of the box
 
okay, the perfection of universe it is its imperfection.
fallen angles ndo elites leaders,huyo mnae muita shetani napenda kumtania kumuita lord of fallens ndo top manyota, japokuwa inasemekana kuna viumbe sio binadam lakin havipatan na lucifer.
quantumly creation and destruction ndo rule,
ukumbuke yehova ana nafsi saba ukiitoa moja hawi tena mkamilifu,
spirit of the lord and lord him self are different things
Safi sana umeandika Perfectly kasoro kitu kimoja tu..
Lucifer..
Umesahau hata Yesu naye alikuwa lucifer na anafahamika kama lucifer kwa lugha ya Kilatin or greek kama sijasahau
 
shetani sio jina ni utambulisho wa mlaaniwa, lucifer ni mlaaniwa shetani kwa Mungu Yehova lucifer its just a son, michaelbrother ni kakitu kadogo sana
Akasome angeology and demonology vyote viko aligned in the same line kikubwa ni kwamba Hayo wanaoambiwa ni viumbe sio actually viumbe ni Nguvu..
Mfano Michael..
Mikael (mika-el)
Gabriel (Gabri -El) means Nguvu ya Mungu Gabor vs El
 
Kwa hio baada ya kuja Kristo akaenda kumtoa pale juu akakaa Kristo? Kwa hio who is who Kristo or Lucifer au ni kiumbe yule yule Ila majina ni tofauti? Hii inafikirisha sana usije ukabomoa ubongo Mzee think out of the box
Mkuu Lucifer ni cheo kama Farao..
Tu kuna mafarao wengi sana..
Na yesu alichukua Cheo cha lucifer..
I can proove that
 
Back
Top Bottom