Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mengi ni kukwepa Kodi!Kibiashara nini kinaweza kusababisha kampuni kubwa kama tigo kubadilisha jina mara nyingi hivyo(mara nne)?
Zipi faida na hasara kibiashara kufanya hivyo?
Kivipi?
Unaenda kama muwekezaji, inabidi kwanza kabla kuwekeza ujiridhishe na mazingira ya biashara kama ni rafiki.Hivi nikibadilisha jina, madeni yangu yanafutika ?
Kwanini mkuuSheria zetu za uwekezaji zakipumbavu sana na viongozi wetu wapumbavu sana
Bado ipo na ndiyo inayo tumika na ninafikiri unapewa zaidi ya miaka mitanoUnaenda kama muwekezaji, inabidi kwanza kabla kuwekeza ujiridhishe na mazingira ya biashara kama ni rafiki.
Katika majadiliano wanakuhakikishia kwamba mazingira ni rafiki na sheria ipo ambayo itakupa muda wa kutosha. Let's utapewa miaka mitano ambapo kuna aina ya kodi hautazilipa na baadhi majukumu ya kimkataba hautayafanya mpaka baada ya miaka hiyo mitano na utakaporidhika.
Mnakubaliana na kazi inaanza, unapomaliza miaka mitano mnarudi mezani ili kupeana mirejesho, hapo ndipo unaelezea kutoridhishwa na mambo kadhaa wa kadha na kuwaelezea dhamira yako ya kutoendelea na biashara nchini mwao na hivyo umeamua kuiuza kampuni kwa muwekezaji mwingine.
Anapokuja 'muwekezaji' mwingine 'aliyeuziwa' kampuni yeye anaanza na kubadilisha jina na CEO. Halafu na yeye anakuja kuongeea na nyinyi na nyie mnamhakikishia mazingira rafiki na uwepo wa sheria ile ya miaka mitano bure, na yeye anaanza kazi, ikifika mitano 'anauza' kampuni.
Sijui ile sheria bado ingalipoau laah
Kulikuwa na ile sheria kuwa kampuni mpya haitolipa kodi kwa miaka 2, watu wana pita nayo mkuu,Kibiashara nini kinaweza kusababisha kampuni kubwa kama tigo kubadilisha jina mara nyingi hivyo(mara nne)?
Zipi faida na hasara kibiashara kufanya hivyo?
Sasa mkuu ndio pale wanaposema ni rahisi kufanikiwa ukiwa TanzaniaBado ipo na ndiyo inayo tumika na ninafikiri unapewa zaidi ya miaka mitano
KODI.Kibiashara nini kinaweza kusababisha kampuni kubwa kama tigo kubadilisha jina mara nyingi hivyo(mara nne)?
Zipi faida na hasara kibiashara kufanya hivyo?
Hii ni kwa kampuni yoyote au?? Mfano hizi biashara ndogndgo mbona wanasumbuliwa sana na tra why wasituie gape hilo lakiseriaBado ipo na ndiyo inayo tumika na ninafikiri unapewa zaidi ya miaka mitano
We ni shoga niniNi ukwepaji kodi tu, na kuna agenda ya ushoga pia
Ni kweliMengi ni kukwepa Kodi!
Yanabaki kama yalivyoHivi nikibadilisha jina, madeni yangu yanafutika ?
Ni kwa foreign Investment mkuuHii ni kwa kampuni yoyote au?? Mfano hizi biashara ndogndgo mbona wanasumbuliwa sana na tra why wasituie gape hilo lakiseria