Mambo gani hupelekea kampuni kubwa kubadilisha jina mara kwa mara?

Mambo gani hupelekea kampuni kubwa kubadilisha jina mara kwa mara?

Kibiashara nini kinaweza kusababisha kampuni kubwa kama tigo kubadilisha jina mara nyingi hivyo(mara nne)?

Zipi faida na hasara kibiashara kufanya hivyo?

Nijuavyo tigo haijabadili jina mara nne, pengine mara mbili; Mfano, Buzzy ilikuwa ni promotion brand watu wakafikiri ni jina limebadilia.
Sababu za kubadilisha jina kwa kampuni kubwa zaweza kuwa;

1. Kampuni kuuzwa kwa mmiliki mpya
2. Kampuni kujiunga kwenye chain ya Biashara (kama kwa mahotel, 4seasons, Hyatt, nk nk)
3.Kampuni kuweka jina linalo reflect biashara ya kipindi hicho (kuifanya ionekane mpya)
4. Kampuni kupata fursa ya kujadili upya kodi za uwekezaji
 
K
Mengi ni kukwepa Kodi!
Kibiashara nini kinaweza kusababisha kampuni kubwa kama tigo kubadilisha jina mara nyingi hivyo(mara nne)?

Zipi faida na hasara kibiashara kufanya hivyo?
Usiangalie faida ya kampuni angalia faida kwa nchi, Nchi inanufaika vip? Na wapewa huduma wananufaika vip na kubadili Jina.? Au ndiyo Jina tofauti huduma zile zile.
 
Wanao cheza kamari ndiyo hupokea matangazo mengi.

Hili nimeliona kwa marafiki zangu wengi.
 
Wabadilishe na baadhi ya vifurushi kama HALICHACHI.

Wakae kibiashara zaidi kama Vodacom, Tanzania.
 
Back
Top Bottom