ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Afrika ni moja mkuu.Nimejifunza CCM, CHADEMA, CUF, NCCR ACT na vyama vingine vyote lengo lao ni kujaza matumbo yao tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afrika ni moja mkuu.Nimejifunza CCM, CHADEMA, CUF, NCCR ACT na vyama vingine vyote lengo lao ni kujaza matumbo yao tu.
1.Usaliti ni zero tolerance hasa unaohusiana na hela,
2.Mwana akizingua hakikisha unampa taste of his own medicine, ukisamehe atarudia
3.Usiwe mnyomge
4.Level up, kutokutongoza wadada job seeker
5.Moyo wa ukaksi, maisha hayataki kuchekeana
6.Mapenzi sio mambo ya ku entertain
7.Always weka gap
8.Wajua marafiki wa interest, leechers na wale ambao unajua wanaweza kukusaidia bila condition
9.Kuwa mtu wa solution, hii itakusaidia kupata connection
10.mimi kwanza
Dah kweli mwanawane usikopesheKwa lugha nyepesi na kwa kutumia ufundishaji wa Mwl wa Kiswahili darasa la tano, jinsi ya kufupisha habari mtoa mada anasema;
1. Usikopeshe
2. Mahusiano ni yako, si ya jamii.