Mambo gani umejifunza 2024?

Mambo gani umejifunza 2024?

Yaani kweli mkuu...
Daaah kupambana tuu japo si vyema kupambana ili kuwa prove watu kitu fulani
Kama mwanaume, nia ya kupata mafanikio ni kuongeza heshima na thamani yako.
Binafsi, nashindana na mzee wangu. Pale alipokosea mi ndo narekebisha. Lengo ni kuhakikisha natimiza hata nusu ya malengo yake aliyoshindwa. Naamini mimi ni new version of him.

Pili, mahaters zangu wakubwa ni maex zangu mpaka sasa. Sababu kubwa ni tamaa zao. Najua bado wanani stalk kuhakikisha kama walifanya uamuzi sahihi au la. Lengo langu wapate majibu ya maswali yao.
 
Nimeelewa kwanini watu wanaogopa kutaja umri wao halisi.

Muda ni kitu cha thamani mno, tumia muda wako vizuri kufanya vitu vya maana kwako usije ishi kwa majuto.

Wengi wetu tupo hai lakini hatuishi.

Hatujitahidi hata kujaribu kuishi kwa malengo,

Huu ulimwengu wa kibepari unatutaka tuwe watumiaji tu, na sio waundaji/watengenezaji.

Haswa sisi watu wa 2000s kazi tunayo.
Kama wanavyosema kuwa you're what you eat, basi people around us wana influence ktk maisha hapa inaweza kuwa positive or negative sasa basi jaribu kupata marafiki wapya, jifunze mambo mapya na tembelea sehem mpya. Huwezi kuwa unataka kuwa labda rubani ila unashinda kwenye banda la fundi maiko anaeshona shati la kijani lilodariziwa na njano shingoni na analiashona kwa week nzima na bado haliishi halafu utegemee matokeo chanya.
 
hapo pa the so-called 'marafiki', dah..!! kubabake sina hamu kilichonikuta mwaka huu..!!

Nimeamini hawa raia tunawaita 'rafiki' zetu wana uwezo hata kutuzika tukiwa hai na kuja kulia msibani..!!

Nimejifunza tuna watu tu 'tunaofahamiana' nao ndiyo wametuzunguka, kumpata the so-called RAFIKI kwenye haya maisha siyo rahisi kama nilivyodhani, ptuuuuh'..!🙌

sihitaji marafiki - Fid Q ft. Yvonne Mwale..!!
Mimi ni rafiki yako bana
 
hapo pa the so-called 'marafiki', dah..!! kubabake sina hamu kilichonikuta mwaka huu..!!

Nimeamini hawa raia tunawaita 'rafiki' zetu wana uwezo hata kutuzika tukiwa hai na kuja kulia msibani..!!

Nimejifunza tuna watu tu 'tunaofahamiana' nao ndiyo wametuzunguka, kumpata the so-called RAFIKI kwenye haya maisha siyo rahisi kama nilivyodhani, ptuuuuh'..![emoji119]

sihitaji marafiki - Fid Q ft. Yvonne Mwale..!!
kweli marafikiii ni kua nao makini sana, yani ptuuuuh[emoji25] mbakasya!
 
Back
Top Bottom