Mambo gani ya fedheha umewahi kufanya kwasababu ya kufulia (kukosa Hela)?

Mambo gani ya fedheha umewahi kufanya kwasababu ya kufulia (kukosa Hela)?

Home hamna kitu na Nina Moto na mke jioni nikapata jero nikanunua vidagaa SASA inshu ikaja gas imeisha, mkaa hakuna SASA alternative ni kupika kuni hapo kuni nazo sjui napata wapi. Hapo ni Saa mbili usku mchana na asubuhi sjala Ila mtoto alikologewa uji Tu.
Basi wakati narudi home na kmfuko changu cha dagaa nikapita mahali nikaona limeza lipo road nikaona linafaa Kwa kuni nikabeba huyooo daaah mara nakutana na jamaa mmoja akanisimamisha akanambia meza Ile ni yake na mjomba ake huwa wanafanyia biashara kwaiyo Mimi ni mwizi akampigia simu HUYO mjomba wake kumpa taarifa ya wizi Yule mjomba wake akamwambia tukutane pale nilipoichukua Ile meza kweli tukarudi mpk pale halafu ni barabarani nashukuru kulikuwa na kagiza basi tumesubiri were Yule mjomba mtu akapiga simu nikapewa niongee naye akawa ananiambia niseme Mimi ni mwizi au nipelekwe polisi bs nikakili ndivyo nimeiba bs ye akasema kapata emergency kwahiyo hiyo meza ipelekwe kwake nikabebeshwa tena mpk Kwa HUYO mjomba wake kesi ikawa imeisha yaani stasahau sema ni zamani sana
Na nilipotoka hapo kwenye kesi ulikuwa usku WA Saa nne nikaanza tena kutafuta kuni nikaotaokota vimiti njiani nikaenda navyo basi ndo vikapikwa vike vidagaa tena nikipofika skuonyesha hali ya Kupatwa na tatzo nilikuwa kimya Tu uzuri mi ni mkimya Sana kwahiyo ni mgumu kujua Nina tatzo ni skuwahi mwambia kabisa Yule mdada maana pia tulishaachana Napo Kwa matukio mazto Sana sana ya kutisha.
 
Na nilipotoka hapo kwenye kesi ulikuwa usku WA Saa nne nikaanza tena kutafuta kuni nikaotaokota vimiti njiani nikaenda navyo basi ndo vikapikwa vike vidagaa tena nikipofika skuonyesha hali ya Kupatwa na tatzo nilikuwa kimya Tu uzuri mi ni mkimya Sana kwahiyo ni mgumu kujua Nina tatzo ni skuwahi mwambia kabisa Yule mdada maana pia tulishaachana Napo Kwa matukio mazto Sana sana ya kutisha.
Pole Sana
 
Wengne hatuna cha kusema maana had hiv sasa tunahis bado tuyapitia. Ila ukwel ni kuwa ukikoswa ela tambua utashushwa utu wako, heshima itapotea ata kwa unaowazidi watakuchukulia ww ni mtoto kwao
 
Nikiwa mdogo kabisa- ugali na mboga ya chumvi Kama chakula Cha usiku- alafu eti asubuhi niende darasani nikasome- kwa nini usifeli sasa- ujanani- nikajifunza sigara- unapita kwenye mabaa na hotel kubwa- unaokota vipisi vya sigara unaenda malizia kuvuta- vingine unasokota upya unavuta
 
Na nilipotoka hapo kwenye kesi ulikuwa usku WA Saa nne nikaanza tena kutafuta kuni nikaotaokota vimiti njiani nikaenda navyo basi ndo vikapikwa vike vidagaa tena nikipofika skuonyesha hali ya Kupatwa na tatzo nilikuwa kimya Tu uzuri mi ni mkimya Sana kwahiyo ni mgumu kujua Nina tatzo ni skuwahi mwambia kabisa Yule mdada maana pia tulishaachana Napo Kwa matukio mazto Sana sana ya kutisha.
Dah story yako imenihuzunisha na bado ufike nyumbani ukute mwanamke ana mdomo hatari aanze tena kukupigia kelele.
Ukipata nafasi uje utuhadithie pia hayo matukio mengine.
 
SOMA HUU UZI UJIONEE MWENYE WE 👇🏿

 
Na nilipotoka hapo kwenye kesi ulikuwa usku WA Saa nne nikaanza tena kutafuta kuni nikaotaokota vimiti njiani nikaenda navyo basi ndo vikapikwa vike vidagaa tena nikipofika skuonyesha hali ya Kupatwa na tatzo nilikuwa kimya Tu uzuri mi ni mkimya Sana kwahiyo ni mgumu kujua Nina tatzo ni skuwahi mwambia kabisa Yule mdada maana pia tulishaachana Napo Kwa matukio mazto Sana sana ya kutisha.
Tukio gan ww
 
SOMA HUU UZI UJIONEE MWENYE WE [emoji1541]

WW ND ULIINGIA CHAKIKE WALE WAKIKUWA TEETH [emoji1787][emoji28][emoji23]
USALAMA WA TAIFA TISS
MAMBO YA NNJE NA ULIKUWA UNAPELEKWA SOMALIA KAMA SLEEPER AGENT


AKILI ZAKO NDOGO NDO ZIKAKUGHARIMU



SASA HIVYI UTAKUTA UNALILIA UMASKINI
SHIT
 
WW ND ULIINGIA CHAKIKE WALE WAKIKUWA TEETH [emoji1787][emoji28][emoji23]
USALAMA WA TAIFA TISS
MAMBO YA NNJE NA ULIKUWA UNAPELEKWA SOMALIA KAMA SLEEPER AGENT


AKILI ZAKO NDOGO NDO ZIKAKUGHARIMU



SASA HIVYI UTAKUTA UNALILIA UMASKINI
SHIT
yaani TISS hawafanyi kazi zao kizembe ivyo
 
Back
Top Bottom