Mambo gani ya fedheha umewahi kufanya kwasababu ya kufulia (kukosa Hela)?

Na nilipotoka hapo kwenye kesi ulikuwa usku WA Saa nne nikaanza tena kutafuta kuni nikaotaokota vimiti njiani nikaenda navyo basi ndo vikapikwa vike vidagaa tena nikipofika skuonyesha hali ya Kupatwa na tatzo nilikuwa kimya Tu uzuri mi ni mkimya Sana kwahiyo ni mgumu kujua Nina tatzo ni skuwahi mwambia kabisa Yule mdada maana pia tulishaachana Napo Kwa matukio mazto Sana sana ya kutisha.
 
Pole Sana
 
Wengne hatuna cha kusema maana had hiv sasa tunahis bado tuyapitia. Ila ukwel ni kuwa ukikoswa ela tambua utashushwa utu wako, heshima itapotea ata kwa unaowazidi watakuchukulia ww ni mtoto kwao
 
Nikiwa mdogo kabisa- ugali na mboga ya chumvi Kama chakula Cha usiku- alafu eti asubuhi niende darasani nikasome- kwa nini usifeli sasa- ujanani- nikajifunza sigara- unapita kwenye mabaa na hotel kubwa- unaokota vipisi vya sigara unaenda malizia kuvuta- vingine unasokota upya unavuta
 
Dah story yako imenihuzunisha na bado ufike nyumbani ukute mwanamke ana mdomo hatari aanze tena kukupigia kelele.
Ukipata nafasi uje utuhadithie pia hayo matukio mengine.
 
SOMA HUU UZI UJIONEE MWENYE WE 👇🏿

 
Tukio gan ww
 
WW ND ULIINGIA CHAKIKE WALE WAKIKUWA TEETH [emoji1787][emoji28][emoji23]
USALAMA WA TAIFA TISS
MAMBO YA NNJE NA ULIKUWA UNAPELEKWA SOMALIA KAMA SLEEPER AGENT


AKILI ZAKO NDOGO NDO ZIKAKUGHARIMU



SASA HIVYI UTAKUTA UNALILIA UMASKINI
SHIT
 
WW ND ULIINGIA CHAKIKE WALE WAKIKUWA TEETH [emoji1787][emoji28][emoji23]
USALAMA WA TAIFA TISS
MAMBO YA NNJE NA ULIKUWA UNAPELEKWA SOMALIA KAMA SLEEPER AGENT


AKILI ZAKO NDOGO NDO ZIKAKUGHARIMU



SASA HIVYI UTAKUTA UNALILIA UMASKINI
SHIT
yaani TISS hawafanyi kazi zao kizembe ivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…