Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
Hata namba 2 piaNamba 1 na 3.
Labda Kwa Wanawake
HII ni kwa KE maana ndiyo ananeemeka navyo1. Ukipata mpenzi mnaependana sana.
2. Ukipata mtoto wako wa kwanza.
3. Ukifunga ndoa
Je, tukisema "nyeto ya mara ya kwanza"??HII ni kwa KE maana ndiyo ananeemeka navyo
Kausha damu unazan utapata furaha.Hapo kwenye namba 1 na 3 labda kwa wadada kwa miaka hii ila sisi wanaume sidhani kama hiyo kitu bado ipo kwa wanaume wengi. Hawa viumbe wamekuwa mafreemason so ni ngumu kupata furaha kupitia wao siku hizi.
Ni furaha aisee au kupata kaz yenye mshahara mkubwa.kupiga dili nono lenye 7 figures
KabisaNikipata kibunda baaaasi, inatosha. Hayo mengine yote yataingia humo
Factskupiga dili nono lenye 7 figures
Labda ukifunga ndoa na mtu hampendani.Namba 3 ni kwa wanawake,sisi kwetu ni gereza kubwa sana.
Wanaume tuipuuzie hiyo no 3 ,
Bado kidogo sana, siku zimekaribia.