Ngoja niviquote....vya kiswahili sivitaki[emoji23] [emoji23] [emoji23]library lazima vipo tu
tafuta na hizi chuma
SEASON OF WAITING
HIS EXCELLENCY THE HEAD OF STATE
A MAN OF THE PEOPLE(kama haujakisoma)
Kama unapenda na vya kiswahili tafuta hizi chuma
USIKU UTAKAPOKWISHA
MFADHILI(jiandae kulia)
VUTA N'KUVUTE
hii iko poa kaandika jamaa anaitwa Dan SafoHis Excellency head of state
Balad of the land lordA man of the people, beautiful one are not yet born, three suitors one husband,song of lawino and song of ocol, Mau mau war, building the national, balud of the land lord,eat more...........
Hahahahaha Onkonkwo bhanaNakumvuka kwa mbali hii kitabu Luna sehemu nadhani ndo wamissionary walipofika na inteprter wao conversation yao ilikua hivi
Interpreter :and God send his son Jesus
Cjui ndo okonko :if he had son Jesus then what the name of his wife
Watu wakadata baada ya kuambiwa Mungu hana mke
Ayi Kwei ArmahOoh thanx....kila kitabu cha Ghana cha rais mla rushwa sijui ndo The beautiful ....ni nani mwandishi?
jamaa kasoma oxford university sijui ndo walimfundisha haya matusi!Ila nakikubali kinoma yaani...eti Cunt, mara vagina....Amah ana mitusi
Chinua AchebeA man of the people ni cha ngungi wa thiongo sijui??
jamaa alikuwa hapendi kudharauliwa na suti zake za msaada.Yaap mume wa Wangeci akijisifia title deed yake ya nusu heka
Ok mkuu asanteChinua Achebe
Nenda Posta pale haukosi kitu andaa pesa yako tuOw!...asante sana kwa kunipa jina la huyu mwandishi...hivi nikivitaka hivi vitabu vyote nafanyaje, hata pa kuvinunua hapa Dar?
Amah ana matusi balaa kwenye kile kitabu, sema ni kitamu nacho wakina princess na mama yao wanakunywa imported beer not local ones!
Pale nyuma ya Hyatt?Nenda Posta pale haukosi kitu andaa pesa yako tu
Yaani unataja vitabu na mashairiA man of the people, beautiful one are not yet born, three suitors one husband,song of lawino and song of ocol, Mau mau war, building the national, balud of the land lord,eat more...........
watoto wa mama ntilie nakikubaliMfalme jua, zawadi ya ushindi, watoto wa mama ntilie, malenga wapya, kusadikika, lazima ufe joram, tutaludi na roho zetu,dar es salam usiku, mkono unanuka damu, nunda na vitabu vingine vingi vya kiswahili vilivyo niburudisha.
Usiku utakapokwisha nakikubali kinomalibrary lazima vipo tu
tafuta na hizi chuma
SEASON OF WAITING
HIS EXCELLENCY THE HEAD OF STATE
A MAN OF THE PEOPLE(kama haujakisoma)
Kama unapenda na vya kiswahili tafuta hizi chuma
USIKU UTAKAPOKWISHA
MFADHILI(jiandae kulia)
VUTA N'KUVUTE
hapo kwenye kujinyonga alipuyanga sanaAaah Okonkwo alikuwa anajichosha tu, hata hakufaidi jasho lake mara aue akawa excel for good 7 solid years kwa sifa na mihasira yake...bora Unoka ni failure but kala bata na madeni juu[emoji23] [emoji23]
Kajifia hana presha, sasa okonkwo eti kajinyonga[emoji15] [emoji23]
Haaahaaa...umenifurahisha[emoji23] [emoji23] [emoji23]jamaa kasoma oxfore university sijui ndo walimfundisha haya matusi!
huwa napenda pale the man kapanda basi kapitiwa na usingizi anatoka udenda watu wote wameshuka yeye kalala tu,basi konda anamjia juu
"you son of the bitch an article of no commercial value do you think this bus belongs to your grandfather?do you want to shit in this bus?
basi the man anaamka kutoka usingizini hajakaa sawa udenda unatoka jamaa anapangusa kwa mkono(kama kitoto) konda anawaka "country man,don't you have handkerchief too?
Jamaa yako anatoka bila kuongea kitu anafika mbele dereva wa tax anataka kumgonga kwa sababu ya kuzubaa halafu anageuka nyuma na kumpa jamaa yako tusi"moron of a frog,your mother's rotten cunt"
Jamaa yako kimya.
three suitors noma sanaA man of the people, beautiful one are not yet born, three suitors one husband,song of lawino and song of ocol, Mau mau war, building the national, balud of the land lord,eat more...........
Fala sana lile jamaa....eti kisa ukristo umeingia kijijini[emoji23] [emoji23] ....lishazoea kuua lile!hapo kwenye kujinyonga alipuyanga sana
DANNY B SAFO KOROhii iko poa kaandika jamaa anaitwa Dan Safo
Huyu jamaa sijawahi kuona kitabu chake kingine,kama unakijua kishushe Mkuu