Sir Khan
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 5,730
- 11,576
Jamaa chuma ilikuwa inampiga chenga ila mke aliponea chupuchupu kwenye ghala la nafaka.But he never killed even a rat using his gun!!
Alitaka kuua mke.
Chezea mtu anayekoroma weye!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa chuma ilikuwa inampiga chenga ila mke aliponea chupuchupu kwenye ghala la nafaka.But he never killed even a rat using his gun!!
Alitaka kuua mke.
Chezea mtu anayekoroma weye!
Hahaaa....kwenye kukoroma hapo umenichekesha, anakoroma mpaka geto linatikisika!But he never killed even a rat using his gun!!
Alitaka kuua mke.
Chezea mtu anayekoroma weye!
Huyo alihofia ufailure wa dingi yake tu...mi napenda ule uchapakazi wake tuJamaa alikuwa na misifa balaa na kijiji chote kilikuwa kinamuogopa tangu akiwa chalii.
mmeanza kukitafsiri?Mambo Huangamia (kwa Kiingereza "Things Fall Apart") ni riwaya iliyoandikwa na Chinua Achebe. Ilitolewa mwaka wa 1958 . Hadithi ya riwaya hii imefuatiwa na Hakuna Starehe Tena (1960) na
Mshale wa Mungu (1964).
Mkondo wa hadithi
Mhusika mkuu anaitwa Okonkwo , tajiri katika kijiji cha Umuofia . Huyo Okonkwo hufuata mila na desturi za Kiigbo vizuri sana ili kumshinda babake ambaye ni mduni. Katika kufuata hizo mila alifika hatua ya kumuua mwana wake wa kambo na wanakijiji wakakubali. Siku moja lakini Okonkwo kwa bahati mbaya alimuua mwanakijiji mwingine na sasa akahukumiwa kuondoka kijijini kwake kwa miaka saba zinavyoamuru mila za kijiji. Huko uhamishoni Okonkwo alikutana na wamisionari Wazungu, akasikitika sana kugundua mwana wake mwenyewe aliacha mila za Kiigbo na kukubali dini ya Ukristo. Okonkwo akirudi kijijini baadaye akakuta hata maisha ya kijijini yameathiriwa na hiyo dini mpya. Akaanza kuupigia vita Ukristo, hatimaye lakini aliona kuwa haiwezekani kurudi kwa maisha ya kimila akajiua kwa kujinyonga.
Haahaaa....mila za kiafrika mmh!jamaa walikuwa wanafanya ujinga sana.
Walikuwa na msitu wao ambao walikuwa wanatupa uko mapacha na Albino na kulikuwa wamejaa mizimu wengi ukiingia lazima ufe,sasa walipokuja wamisionari wakaomba sehemu ya kujenga kanisa wazee wa kijiji wakawapa ile sehemu ya msitu wakiamini jamaa watakufa hapohapo maana yale ni makazi ya mizimu.
Wamisionari wakafyeka na kujenga kanisa wiki ikapita,mwezi ukapita hadi mwaka hakuna mmisionari aliyekufa,wanakijiji wakaona miungu yao ni chamtoto mbele ya Mungu wa wamisionari wakaanza kujiunga church.
Kitu Ngoswe kitovu cha uzembe[emoji39]Mbona na sisi tunao wazuri tu kama Emmanuel Mbogo,Kehizilahabi,Mbunda Msokile,Shaban Robert,Shafi A Shafi na wengine wengi.
Sema hawa wa nchi nyingine hasa za magharibi wamepata exposure kimataifa na wanatumia lugha ya kimataifa-english.
Binafsi naona wamebarikiwa kwenye masuala ya sanaa ndiyo maana hata movie zao huwezi kuzilinganisha na zetu.
ukimcheki vizuri kiundani utagundua Okonkwo alikuwa muoga wa kutupwaHuyo alihofia ufailure wa dingi yake tu...mi napenda ule uchapakazi wake tu
ahahaha, Mazoea alianguka kwenye mtego wa mwanadamu wa dar.Kitu Ngoswe kitovu cha uzembe[emoji39]
😀😀😀😀😀😀😀 noma noma mzee baba.Huyu Chief si yupo kule kwenye A MAN OF THE PEOPLE alimAmber Rutty demu wa ODILI SAMALU
Wabongo mnapenda kujiliza lizaOmg!....mbona hela kidogo hivoo?....na bado nikifika pale kwa kuwa nanunua vingi ntalia lia anipunguzie nichukue kwa buku tano tano[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ndio mkuu coz naenda kununua vingiWabongo mnapenda kujiliza liza
Sasa ushakubali bei ndogo still unataka uende ukamlalie?
[emoji23] [emoji23]..mazoea alikuwa anawaza dushee tu mda uleahahaha, Mazoea alianguka kwenye mtego wa mwanadamu wa dar.
Bila shaka we utakuwa mangiNdio mkuu coz naenda kununua vingi
Watu wa hivo ni waoga wa kufa mtuukimcheki vizuri kiundani utagundua Okonkwo alikuwa muoga wa kutupwa
Aaaaah....mmachame mkuuBila shaka we utakuwa mangi
kamzee Mitomingi ngengemkeni kalishitukia mchezo kakachoma karatasi za sensa,kana bahati sana Magufuli alikuwa hajawa Rais kangenyea debe.[emoji23] [emoji23]..mazoea alikuwa anawaza dushee tu mda ule
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106] [emoji106]kamzee Mitomingi ngengemkeni kalishitukia mchezo kakachoma karatasi za sensa,kana bahati sana Magufuli alikuwa hajawa Rais kangenyea debe.