Uchaguzi 2020 Mambo Kumi niliyoyasikia leo kwa mara ya kwanza kuhusu Tanzania kutoka kwa Tundu Lissu akiwa Mbarali


Kitabu Freedom and Unit ni mkusanyiko wa makala na hotuba mbalimbali za Julius Nyerere tangu miaka ya 1950s mpaka miaka ya 1960s mwanzoni.

Si kitabu kilichoandikwa kwa minajili ya hoja ya mtoa hoja.
 
mada apa ni kuhusu izo mbuga na airport so my point ni kwama

heck no

mada sio mbuga na airport

mada ni ujenzi wa miundombinu usioleta maendeleo ya watu, unaotumiwa kukanyaga watu, na usiofuata sheria na taratibu za zabuni na uwazi kwenye miamala ya fedha za umma pamoja na mamlaka ya mapato inavyotumika kupora mali za raia na kuua.
 
Halafu wale wenzetu wa UVCCM watasema haya ni matusi makubwa wametukanwa kufuatana na lugha yao ya mtaa wa Lumumba.
 

Msijisahaulishe jamani Magufuli alikuwa Kagera na maelfu walifurika katika viwanja vya Gymkhana
 


wewe tangia lini ushawahi ona maendeleo ya watu ambayo hayajaanzia na maendeleo ya vitu? ukitaka ajira nyingi, jenga miradi mipya watu waajiriwe, ukitaka mishahara iwe na hadhi then thibiti wafanya biashara! as simple as that. unataka rocket economics uelewe ama?
 
stakehigh bahati mbaya mpumbavu hajitambui ila wengine ndiyo wanakiona kuwa yeye ni mpumbavu. Yeye nadhani ni mjanja. Pole sana kwa kuandika utumbo
 
Enyi mamlaka za rohoni na mwilini tunaomba mumlinde kwa nguvu zote kijana wenu Lisu na mamlaka ya kuliongoza taifa hili mumpe yeye maana amestahili.
 
stakehigh bahati mbaya mpumbavu hajitambui ila wengine ndiyo wanakiona kuwa yeye ni mpumbavu. Yeye nadhani ni mjanja. Pole sana kwa kuandika utumbo


ivi hamnaga namna ingine ya kufikisha idea zenu bila kuita mtu mjinga ama mpumbavu?
alafu what i said ni fact, and i can assure you kuna watu wameshajiandaa kua chama kikuu cha upinzani, meanwhile mkiwa mnajipendekeza kwa maalim seif alafu wao wakina hawana shobo na nyie!

hakuna marefu yasio na ncha walisema wahenga
 
Kwa hiyo hayo mambo kumi aliyoongea ndio mnahitaji wanayohitaji watanzania akichaguliwa kuwa Raisi?

Na hizo ndizo sera za Chadema aalizowaambia Wana Mbarali?
Zote naona porojo tu hamna sera hata Moja Hapo kawapotezea muda tu watu wa mbalali
kumbe hela za kuajiri vijana wetu waliomaliza vyuo mjomba na mpwa wanazifuja
 
Hamjui mlicho nacho mpaka mkipoteze.
Pamoja na hiyo kelele hatoboi 2020 ni JPM tena.
 
Sera za nini?hii inaitwa operation fukua makaburi..mpaka Magu aseme poo..na jana Tunduma Lissu amesema mtu atakayechezea uchaguzi The Hague inamuhusu..sasa itakuwa wanalaumiana kwa nini mlishindwa kumuuwa...
 
We k kweli ndo umejibu nn hapo sasa.. mleta mada kasema lisu alisema tazara nayo ni sgr... Tazara ni 1067mm thats mean sio sgr... Mimi nimeuliza.
Acha mnduku mnduku msukule ni waliokuzaa
Acha Kupanic msukule wa lumumba ww... Hapo si umeeleweshwa maana ya sgr sa unataka nn zaidi..... 1067mm ndio nini we mnduku.... Ndio shida ya shule za kata ng'ombe ww
Hizo 1067 ni urefu Dar to Tunduma...... Ile ina 2,000km long mlamba makalio ww ili tu upate cheo
 
Reactions: PNC

Kuna tofauti kati ya fasihi Andishi na Simulizi. Sera za vyama zimeandikwa na kuchambuliwa kwenye vitabu. Ukiachilia mbali kwamba sio wote wanaweza kupata vitabu hivyo lakini pia sio wote wanaoweza kusoma wakaelewa.

Tundu LISU anatumia muda wake mwingi wa kampeni kunadi sera zake kwa njia ya UHALISIA " Realities " .Jambo hili linawakera sana CCM kwa sababu anachofanya ni kama mwalimu anavyofundisha darasani.

Anaanza kueleza tatizo kwa kulitaja ..Kwa mfano ugomvi wa wakulima na wafugaji. Baada ya hapo anaeleza chanzo cha tatizo hilo..Mfano" Ardhi kubwa kumilikiwa na viongozi wakubwa au kampuni kadhaa na hapa anawataja kwa majina.

Baada ya hapo anaeleza jinsi walivyopata ardhi hiyo,kama ni kwa minajili ya vyeo vyao au kuuziwa isivyo halali au halali. Pia hueleza faida au hasara ya watu hao kujimilikisha ardhi hiyo.

Mwisho anarudi kwenye suluhisho kwa mujibu wa SERA za Chadema au kwa mujibu wa sheria za nchi ili kuonyesha UDHAIFU na kutowajibika kwa viongozi waliopo.

Huu ni uwasilishaji BORA kabisa wa SERA mpya na ambazo wananchi hawajazizoea au kuzielewa vizuri.

CCM na Tume (CCM) hawakutegemea kuona uwasilishaji huu. Walitamani awe anasoma kama ilivyoandikwa kwenye kitabu. Lakini pia walipenda waone uwasilishaji huo uwe kama alivyofanya Lowasa(2015) ,Dr Slaa(2010) au Freeman Mbowe (2005) ambao walikua wanazisema juu juu bila mifano hai inayowagusa wananchi wa eneo husika.

Hongera Tundu Lissu! shikilia hapohapo watu wanakuelewa sana na pia unawavuruga watu wa Lumumba. Hawana uwezo wa kujibu hoja zako,wanaishia kuandika "Magufuli 5 Tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…