Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimerud sokoni Babu mkweo haelewek kabisa ๐๐Vipi Mkwe wetu hajaanza kusumbua?
Au ametulia kama sisi Wazee wake ๐
Sawa Babu nitakuja naeHahaha ............pole Mjukuu, uje naye Likizo ili tumweke kitimoto
Haiwezekani uteseke wakati Babu yenu nipo ๐ค
Shida sio ushauri, shida ni tone unayotumia kumshauri mme wakoKutokusikiliza, hii kitu ni common sana kwa wanaume wengi sijui kwanini.
Mke akikuambia au kushauri jambo walaaaa hauna muda kabisa, uko tayari kumsikiliza na kufanyia kazi ushauri wa stranger ila sio mke.
Grahams uko wapi nije, sina salio la kukupigia nakufata.
Ukifanya hivyo si atakuona malaya au unapenda sanaHili jambo Kwa sehemu kubwa linachangia Wanaume wengi kutoka nje na kumkinai mpenzi wake.
Unakuta Mke muda wote haoneshi kwamba ama hamu ya mb**"oo hadi umuanze.
Wakati huko nje, kabla hata hujapumzika unakuta Bibie ameshatoa bunduki kwenye zipi na kuanza kuimba nayo.
Saa ngapi usimtupie viwili vya haraka haraka ๐
Unaonekana romantic Sana Na unayajua mapenzi Na Marhaba mkeo anafaidi sanaMnyoe mkeo mavuzi Kila yanapokuwa ni raha sana, ukimaliza na yeye anakunyoa halafu mnapasha kwa kupasuana alooooh! Ni raha sana
Maisha yamekaza, bado mume na mke mkaziane teeeenah! Ili iwe nini?!! Ni mwendo wa kustorika, kufurahi, kucheka, kucheza na kuchezeana Kila mpatapo nafasi japo mara moja au mbili kwa mwezi sio vibaya.Unaonekana romantic Sana Na unayajua mapenzi Na Marhaba mkeo anafaidi sana
Sasa kama nimejifunza kwenye kitchen part au group la wanawake jeee iii kuongeza ujuzuNi somo zuri nami naongezea,hii ni kwa pande zote,kuleta ndugu kuja kuishi kwenu bila kujadiliana na mmeo au mkeo,kubadili dini mmoja wenu bila kumshirikisha mwenzie,kuanza staili mpya ya sex ghafla utokapo safari
Ina maana ukiolwewa mwanzon inabidi ujiachie uoneshe kila unachojua ili baadae asikuulize umejifunzia wapiUmeandika sahihi kabisa;
Suala la ndugu, limekuwa likichangia migogoro Kwa baadhi ya familia. Hatukatai ndugu kutembeleana, lakini kabla hawajaja, vyema mkajadiliana na Mkeo/Mumeo.
Hilo la kubadiri Dini, ni jambo zito sana. Nafikiri kuna haja, mkafanya mazungumzo marefu kuhusu hatma ya watoto wenu kwenye suala la Imani, inapotokea mmoja wa wanandoa akaamua kubadirisha Dini.
Hilo la ku-practice style mpya mara baada ya kutoka safari, linaweza kuuza mgogoro Mkubwa zaidi unless yatolewe maelezo ya kutosha, ikiwemo na picha mnato za wapi alipojifunzia
hapana ukipata ujuzi mpya mjulishe na source ya huo ujuziIna maana ukiolwewa mwanzon inabidi ujiachie uoneshe kila unachojua ili baadae asikuulize umejifunzia wapi
Vyema mwanzoni uoneshe utundu wote, sio baada ya miaka 5 ya Ndoa/mahusiano ndiyo unaonesha ufundi mpyaIna maana ukiolwewa mwanzon inabidi ujiachie uoneshe kila unachojua ili baadae asikuulize umejifunzia wapi