Mambo madogo ambayo Wanandoa ama Wapenzi wanaoishi Pamoja wakifanya yanaweza kuzalisha migogoro kwenye mahusiano

Mambo madogo ambayo Wanandoa ama Wapenzi wanaoishi Pamoja wakifanya yanaweza kuzalisha migogoro kwenye mahusiano

Ukifanya hivyo si atakuona malaya au unapenda sana
Hapana siwezi kumwona Malaya, kwanza tukiwa chumbani ningependa uoneshe tabia za kimalaya ili kunogesha tendo

Hivi unadhani tunapenda kupewa missionary position tu Kila wakati

Unashindwa hata kulamba Koni Kwa kuleta ulokole wako chumbani 😜
 
Sasa kama nimejifunza kwenye kitchen part au group la wanawake jeee iii kuongeza ujuzu
Utahitajika ushahidi wa kina kuonesha kweli ulijifunzia huko, ikiwezekana tumfahamu na huyo somo wako huko kwenye kitchen party

Otherwise itaonekana Kuna Mwanaume una-cheat naye ambaye amekufundisha hayo
 
Vyema mwanzoni uoneshe utundu wote, sio baada ya miaka 5 ya Ndoa/mahusiano ndiyo unaonesha ufundi mpya

Vinginevyo utatakiwa kutoa ushahidi wapi ulipojifunzia, otherwise tuone history kwenye google search yako kwamba nawe ni mdau wa kutazama picha za pilau 😜
hapana kumbuka kuna mbinu moya huha kika wakati,kuna utube,vitabu mbalimbali,maongezi na mashosti so ujuzi mpya ukiupata mjulishe mwenzio,ila muhimu ni kujenga trust na mwenzio
 
Vyema mwanzoni uoneshe utundu wote, sio baada ya miaka 5 ya Ndoa/mahusiano ndiyo unaonesha ufundi mpya

Vinginevyo utatakiwa kutoa ushahidi wapi ulipojifunzia, otherwise tuone history kwenye google search yako kwamba nawe ni mdau wa kutazama picha za pilau 😜
Babu tunaepuka lile swali la Nani kakufundisha
 
Vyema mwanzoni uoneshe utundu wote, sio baada ya miaka 5 ya Ndoa/mahusiano ndiyo unaonesha ufundi mpya

Vinginevyo utatakiwa kutoa ushahidi wapi ulipojifunzia, otherwise tuone history kwenye google search yako kwamba nawe ni mdau wa kutazama picha za pilau 😜
😂😂😂😂😂😂Heeee mpaka ushahidi Tena kama nimebuni Jee Kwa akili zangu maana Sio vyote unafundishwa
 
Utahitajika ushahidi wa kina kuonesha kweli ulijifunzia huko, ikiwezekana tumfahamu na huyo somo wako huko kwenye kitchen party

Otherwise itaonekana Kuna Mwanaume una-cheat naye ambaye amekufundisha hayo
Duuuuu babuuu kweliii ndoa Zina mengii
 
Duuuuu babuuu kweliii ndoa Zina mengii
Of course ndoa Zina mambo mengi, lakini kikubwa uaminifu

Kwahiyo haya yote yanafanyika ili kumfanya mwenza wako asiwe na wasiwasi na wewe hata kama itakuwa amesafiri kikazi Kwa miezi 6 ama Mwaka mzima
 
😂😂😂😂😂😂Heeee mpaka ushahidi Tena kama nimebuni Jee Kwa akili zangu maana Sio vyote unafundishwa
Dereva asiye mzoefu na magari lazima atakuwa anaonekana ni learner.

Sasa wewe pamoja na kusema umejifundisha mwenyewe, lakini ukiangaliwa na mwenza wako unaonekana na experience ya miaka 3 😜😅😅🙌

Unadhani ataamini kwamba umejifundisha 😜
 
Mungu baba wa mbinguni awashauri
Yaani uache Ushauri wa Mkeo ambaye mnalala naye Kitanda kimoja, ndiyo usubiri wa Mungu Baba??

Nafikiri muhimu ni kuupokea huo Ushauri wa Mkeo/Mumeo kisha mnafanya maamuzi pamoja

Kuna baadhi ya Wanawake utasema wanakismart, akikushauri jambo na ukaenda kulitekeleza. Unakuta unafanikiwa kuliko ulivyotegemea.
 
Number 4, umenikumbusha mbali, jamaa yangu alisafiri kama wiki 2, sasa huko alikuwa na mpango wa kando, siku ya kurudi njiani alikuwa anakula korosho na karanga.
Kufika nyumbani kupiga show, kumbe wife wake nae mafia wakati anataka kumwaga mke kachomoa akazikinga shahawa na mkono, kazinusa msala
 
Number 4, umenikumbusha mbali, jamaa yangu alisafiri kama wiki 2, sasa huko alikuwa na mpango wa kando, siku ya kurudi njiani alikuwa anakula korosho na karanga.
Kufika nyumbani kupiga show, kumbe wife wake nae mafia wakati anataka kumwaga mke kachomoa akazikinga shahawa na mkono, kazinusa msala
Alitakiwa kula Karanga mbichi/Nazi pamoja na Korosho Siku mbili kabla hajarudi nyumbani.

Lakini awe anakunywa Maji mengi

Ukikutana na Mke mafia, lazima afanye hiyo kitu ya kuichomoa na kukagua wingi wa shahawa.

Hizo kesi wasiokuwa nazo ni wale wenye mitala inayojulikana

Lakini sisi wa Parokia ya mtakatifu Petro, hizo kesi tutaendelea kupambana nazo hadi tunafika miaka 85 ya kushindwa kupiga mzigo kabisa 😜
 
Njia ya kuziongeza haraka ni utumie kama juice, hasa ya ndizi, korosha, Amond na maziwa, ukitaka kuua zaidi parachichi na punje kadhaa za swaumu
 
Yaani uache Ushauri wa Mkeo ambaye mnalala naye Kitanda kimoja, ndiyo usubiri wa Mungu Baba??

Nafikiri muhimu ni kuupokea huo Ushauri wa Mkeo/Mumeo kisha mnafanya maamuzi pamoja

Kuna baadhi ya Wanawake utasema wanakismart, akikushauri jambo na ukaenda kulitekeleza. Unakuta unafanikiwa kuliko ulivyotegemea.
Tuonane kuna kitu nikushauri 😹
 
hapana kumbuka kuna mbinu moya huha kika wakati,kuna utube,vitabu mbalimbali,maongezi na mashosti so ujuzi mpya ukiupata mjulishe mwenzio,ila muhimu ni kujenga trust na mwenzio
Sio Wanandoa wote wamejenga mazoea na urafiki kati yao, Kuna wengine ndani ya ndoa akija na style mpya eti ooh Mke wangu naomba ukae Mbuzi kagoma

Utaulizwa umejifunzia wapi, ukifanya mchezo talaka inawahusu 🙌
 
Njia ya kuziongeza haraka ni utumie kama juice, hasa ya ndizi, korosha, Amond na maziwa, ukitaka kuua zaidi parachichi na punje kadhaa za swaumu
Kumbe hii mbinu ikitumika, hata Sisi Wazee tunaweza kuurejea Ujana kidogo sio 😜
 
Back
Top Bottom