Mambo madogo ambayo Wanandoa ama Wapenzi wanaoishi Pamoja wakifanya yanaweza kuzalisha migogoro kwenye mahusiano

Mambo madogo ambayo Wanandoa ama Wapenzi wanaoishi Pamoja wakifanya yanaweza kuzalisha migogoro kwenye mahusiano

Vizuri kama hujawahi kupewa hizo huduma.

Kuna baadhi ya Wanaume wenzetu kutokana na Usasa, wanaenda Saluni kunyolewa juu hadi Chini, lakini pia baadhi ya nyumba ndogo katika kumteka Baba wa watu anamfanyia hiyo huduma.

Mzee wa watu akirudi nyumba kubwa, hali ya mgogoro unakuwa zaidi ya Israel na Palestine 🙌
Naomba sana nisifikie level hiyo
 
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la wandoa wapya ama Wapenzi waliokuwa wakiishi pamoja Kwa muda mrefu kuingia Kwenye migogoro na hatimaye Ndoa zao kuvunjika ama wakati mwingine uchumba wao wa muda mrefu kuvunjika.

Tukiwa kama Wazazi ama watu tulioishi na kupitia mahusiano tunaweza kuwa na cha kuwafunza Vijana wetu wanaotarajia kuingia Kwenye maisha ya Ndoa ama Wapenzi wapya ili kuwasaidia kupunguza migogoro isiyo ya lazima kwenye maisha yao ya mahusiano.

Kwa maoni yangu, yafuatayo hapa chini ni baadhi ya mambo madogo dogo ambayo ukifanya yanaweza kuzalisha migogoro isiyo ya lazima Kwa wapenzi ama Wanandoa watarajiwa;

Mosi, Kutokula Chakula kilichoandaliwa na Mke wako/Mpenzi wako.
Kuna baadhi ya Wanaume wenzetu, kupitia mizunguko waifanyayo Mchana kutwa, huwapelekea wakati mwingine kula huko huko, hivyo wanapokuwa wamerudi nyumbani kwao kushindwa kula chakula kilichoandaliwa na Mke/Mpenzi wake. Jambo hili halina afya kabisa kwenye maisha yenu ya Ndoa na mapenzi, hata kama ulilazimika kula huko Mtaani, hakikisha unaacha sehemu ya kula chakula alichokuandalia Mkeo/mpenzi wako.

Pili, Kunyoa mavuzi kabla ya kusafiri ama ukiwa huko huko safarini.
Kufanya hivyo kuna mjengea mwenzako taswira ya kuhisi kwamba uendapo unaenda kuchekupa ama ukiwa huko huko safarini ulichepuka ndiyo maana umerudi umeshanyolewa huko Ikulu ndogo.

Tatu, Kupunguza ghafla idadi ya round Kwa Mkeo ama Mpenzi wako mara baada ya kurudi kutoka safari, hii moja Kwa moja mpenzi wako atahisi ulipotoka umetumika sana, hivyo nguvu wamekumaliza.

Nne, Kutoa manii(shahawa) kidogo mara baada ya kurudi safari yako ya kikazi.
Unapokuwa haujashiriki ngono muda mrefu iwe Siku 3,4 ama Wiki ukikutana na Mkeo/mpenzi wako lazima utakojoa manii nzito nzito, iwapo utakuwa umetumika Siku kadhaa nyuma kabla ya kurudi nyumbani, Mkeo anaweza kujua hivyo kuzalisha migogoro isiyo ya lazima.
Ndiyo maana Wazee wenu badala ya kunywa soda tunaagiza Korosho ama Karanga mbichi ili kufukia mashimo mashimo ya njiani.

Tano, Kuchati na simu muda mwingi wa Usiku unapokuwa nyumbani na familia.
Hii hata kama Mkeo/Mpenzi wako hana D mbili lakini atahisi unamchepuko wako unaochati nao muda huo.

Sita, kwenda kuangalia Mpira kwenye Mabaa wakati nyumbani umefunga DStv/Azam Tv.
Hata kama hajawahi kukwambia, lakini jambo hili lazima linamkera mwenzako, na kuna Siku litawaletea migogoro isiyo ya lazima.

Saba, Kucheza Vikoba ama kukopa Mikopo mbalimbali pasipo kumshirikisha Mume wako.
wapo baadhi ya Wanandoa/Wapenzi wanakopa fedha/Vyombo pasipo kumshirikisha Mume wake, Mume anakuja kujua baada ya Mke kufatwa na kudaiwa yeye akiwepo ama wakati mwingine kutumia fedha aliyoachiwa ya Matumizi kulipa madeni kisha familia kushindwa kula Siku hiyo.

Haya ni baadhi ya mambo madogo dogo ambayo yanamkera mwenzi wako na wakati mwingine ndiyo chanzo cha migogoro mingi katika Ndoa na maisha mengi ya mahusiano.

Yapo mengine mengi ambayo mnahisi yatakuwa ndiyo chanzo cha hiyo migogoro katika mahusiano yetu.

Tunaweza kusaidiana kushea ili kuwasaidia Wanandoa wapya ama Wapenzi watarajiwa.
Makubwa ni.yapi? Maana kama kutoa manii kidogo wakati wa tendo ni jambo dogo
 
Makubwa ni.yapi? Maana kama kutoa manii kidogo wakati wa tendo ni jambo dogo
Nimesema madogo Kwa maana, Wanaume hupenda kuchulia vitu vingi katika uzito usiostahili.

Mfano hiyo ya kurudi safari na kujinyoa huko huko, ama kabla hujasafiri unaamua kujinyoa.

Sisi Wanaume tunaweza kuchukulia kama jambo Dogo/la kawaida, lakini Kwa Mpenzi wako/Mke likawa kubwa tofauti na tungeweza kudhani
 
Kuoa adhabu. Unaanza kua kama mwanafunzi tena.
Kuoa Kunahitaji maturity kubwa.

Ukikubali Kuoa ama kuolewa, unakuwa umekubali kutoa nusu ya Uhuru wako Kwa mwenzio.

Ulikuwa unarudi nyumbani saa 6 za Usiku, ukishaoa utalazimika kurudi saa 4 usiku ama saa 3.

Kwahiyo kuna hitaji kujitoa ili kufurahia maisha ya Ndoa na mwenza wako
 
Kuoa Kunahitaji maturity kubwa.

Ukikubali Kuoa ama kuolewa, unakuwa umekubali kutoa nusu ya Uhuru wako Kwa mwenzio.

Ulikuwa unarudi nyumbani saa 6 za Usiku, ukishaoa utalazimika kurudi saa 4 usiku ama saa 3.

Kwahiyo kuna hutaji kujitoa ili kufurahia maisha ya Ndoa na mwenza wako
Kha mimi sitaweza
 
Mke onesha hamu (nyegge) za kutaka kutombwa na mumeo sio kumuachia jukumu mwanaume kila mtombano mwanzilishi awe mume tu hainogei na Haina mvuto. Ujue mborlo inadinda sana kunapokuwa na hamasa
Hili jambo Kwa sehemu kubwa linachangia Wanaume wengi kutoka nje na kumkinai mpenzi wake.

Unakuta Mke muda wote haoneshi kwamba ama hamu ya mb**"oo hadi umuanze.

Wakati huko nje, kabla hata hujapumzika unakuta Bibie ameshatoa bunduki kwenye zipi na kuanza kuimba nayo.

Saa ngapi usimtupie viwili vya haraka haraka 🙌
 
Kha mimi sitaweza
Umri ukisogea sogea na kufika walau 47 hivi unaweza kufanya maamuzi ya Kuoa wakati huo.

Kwasasa wanasema yanini ufuge ng'ombe wakati Maziwa yanapatikana
 
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na wimbi kubwa la wandoa wapya ama Wapenzi waliokuwa wakiishi pamoja Kwa muda mrefu kuingia Kwenye migogoro na hatimaye Ndoa zao kuvunjika ama wakati mwingine uchumba wao wa muda mrefu kuvunjika.

Tukiwa kama Wazazi ama watu tulioishi na kupitia mahusiano tunaweza kuwa na cha kuwafunza Vijana wetu wanaotarajia kuingia Kwenye maisha ya Ndoa ama Wapenzi wapya ili kuwasaidia kupunguza migogoro isiyo ya lazima kwenye maisha yao ya mahusiano.

Kwa maoni yangu, yafuatayo hapa chini ni baadhi ya mambo madogo dogo ambayo ukifanya yanaweza kuzalisha migogoro isiyo ya lazima Kwa wapenzi ama Wanandoa watarajiwa;

Mosi, Kutokula Chakula kilichoandaliwa na Mke wako/Mpenzi wako.
Kuna baadhi ya Wanaume wenzetu, kupitia mizunguko waifanyayo Mchana kutwa, huwapelekea wakati mwingine kula huko huko, hivyo wanapokuwa wamerudi nyumbani kwao kushindwa kula chakula kilichoandaliwa na Mke/Mpenzi wake. Jambo hili halina afya kabisa kwenye maisha yenu ya Ndoa na mapenzi, hata kama ulilazimika kula huko Mtaani, hakikisha unaacha sehemu ya kula chakula alichokuandalia Mkeo/mpenzi wako.

Pili, Kunyoa mavuzi kabla ya kusafiri ama ukiwa huko huko safarini.
Kufanya hivyo kuna mjengea mwenzako taswira ya kuhisi kwamba uendapo unaenda kuchekupa ama ukiwa huko huko safarini ulichepuka ndiyo maana umerudi umeshanyolewa huko Ikulu ndogo.

Tatu, Kupunguza ghafla idadi ya round Kwa Mkeo ama Mpenzi wako mara baada ya kurudi kutoka safari, hii moja Kwa moja mpenzi wako atahisi ulipotoka umetumika sana, hivyo nguvu wamekumaliza.

Nne, Kutoa manii(shahawa) kidogo mara baada ya kurudi safari yako ya kikazi.
Unapokuwa haujashiriki ngono muda mrefu iwe Siku 3,4 ama Wiki ukikutana na Mkeo/mpenzi wako lazima utakojoa manii nzito nzito, iwapo utakuwa umetumika Siku kadhaa nyuma kabla ya kurudi nyumbani, Mkeo anaweza kujua hivyo kuzalisha migogoro isiyo ya lazima.
Ndiyo maana Wazee wenu badala ya kunywa soda tunaagiza Korosho ama Karanga mbichi ili kufukia mashimo mashimo ya njiani.

Tano, Kuchati na simu muda mwingi wa Usiku unapokuwa nyumbani na familia.
Hii hata kama Mkeo/Mpenzi wako hana D mbili lakini atahisi unamchepuko wako unaochati nao muda huo.

Sita, kwenda kuangalia Mpira kwenye Mabaa wakati nyumbani umefunga DStv/Azam Tv.
Hata kama hajawahi kukwambia, lakini jambo hili lazima linamkera mwenzako, na kuna Siku litawaletea migogoro isiyo ya lazima.

Saba, Kucheza Vikoba ama kukopa Mikopo mbalimbali pasipo kumshirikisha Mume wako.
wapo baadhi ya Wanandoa/Wapenzi wanakopa fedha/Vyombo pasipo kumshirikisha Mume wake, Mume anakuja kujua baada ya Mke kufatwa na kudaiwa yeye akiwepo ama wakati mwingine kutumia fedha aliyoachiwa ya Matumizi kulipa madeni kisha familia kushindwa kula Siku hiyo.

Haya ni baadhi ya mambo madogo dogo ambayo yanamkera mwenzi wako na wakati mwingine ndiyo chanzo cha migogoro mingi katika Ndoa na maisha mengi ya mahusiano.

Yapo mengine mengi ambayo mnahisi yatakuwa ndiyo chanzo cha hiyo migogoro katika mahusiano yetu.

Tunaweza kusaidiana kushea ili kuwasaidia Wanandoa wapya ama Wapenzi watarajiwa.
Namba moja weka hii: Kukosa pesa!
 
Kutokusikiliza, hii kitu ni common sana kwa wanaume wengi sijui kwanini.

Mke akikuambia au kushauri jambo walaaaa hauna muda kabisa, uko tayari kumsikiliza na kufanyia kazi ushauri wa stranger ila sio mke.

Grahams uko wapi nije, sina salio la kukupigia nakufata.
Kusikiliza ni jambo lingine, kufanyia kazi ni jambo lingine. Atleast mtu awe na uwezo wa kuskiliza
 
Kabisa, mdau inaonesha bado anakula kula Ujana kidogo
Nishaumaliza ujana, nakula raha za ndoa uzeeni ni burudani.......kuhitilafiana mara moja moja kupo tu. Mnayasolve mnayamaliza mnatafuta hotel moja tulivu mnaenda mnapasuana weeeeeh kisha mnarejea nyumbani na bashasha kulea wajukuu 😃
 
Back
Top Bottom