Mambo makubwa mawili yanayomsumbua Tundu Lissu wiki hii!!

Mambo makubwa mawili yanayomsumbua Tundu Lissu wiki hii!!

Dr wa Manesi

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2024
Posts
997
Reaction score
1,220
1. Taarifa aliyoitoa Makonda kwa waandishi wa habari kwenye utoaji wa ripoti yake ya miezi 6. Katika kujibu tuhuma anazorushiwa na Tundu Lissu, Makonda alijikuta akitueleza ni vipi Kuna vikao vilikuwa vinaendelea baina yake na viongozi wa chadema Huku Tundu Lissu wakimuacha kwa makusudi kwa sababu ya hofu ya uropokaji wake usiozingatia 'muktadha'.
Tundu Lissu huko aliko, "dah! Kumbe kina Mbowe na Slaa ndivyo walivyokuwa wananifanya?!!!! Siamini"!

2. Kauli ya Mbowe aliyoitoa juzi kwa waandishi wa habari kuwa kwa Sasa chadema ni imara kuliko jana au juzi. Hilo limemstua sana Tundu Lissu, huko aliko anajiuliza;
"Imekuaje mwamba amestukia mbinu zangu nini?!!"

AnaWatupia jicho 'kumberu' maswahiba wake chamani anaopanga nao mambo mbalimbali na kujiuliza kimya kimya, "au hawa jamaa ni masnitch nini wanaenda kuyamwaga kwa mwamba tukishaongea?!!"

Kwakweli wiki hii TL sijui kama amewhi kupata usingizi.......
 
1. Taarifa aliyoitoa Makonda kwa waandishi wa habari kwenye utoaji wa ripoti yake ya miezi 6. Katika kujibu tuhuma anazorushiwa na Tundu Lissu, Makonda alijikuta akitueleza ni vipi Kuna vikao vilikuwa vinaendelea baina yake na viongozi wa chadema Huku Tundu Lissu wakimuacha kwa makusudi kwa sababu ya hofu ya uropokaji wake usiozingatia 'muktadha'.
Tundu Lissu huko aliko, "dah! Kumbe kina Mbowe na Slaa ndivyo walivyokuwa wananifanya?!!!! Siamini"!

2. Kauli ya Mbowe aliyoitoa juzi kwa waandishi wa habari kuwa kwa Sasa chadema ni imara kuliko jana au juzi. Hilo limemstua sana Tundu Lissu, huko aliko anajiuliza;
"Imekuaje mwamba amestukia mbinu zangu nini?!!"

AnaWatupia jicho 'kumberu' maswahiba wake chamani anaopanga nao mambo mbalimbali na kujiuliza kimya kimya, "au hawa jamaa ni masnitch nini wanaenda kuyamwaga kwa mwamba tukishaongea?!!"

Kwakweli wiki hii TL sijui kama amewhi kupata usingizi.......
Anza na ya kwako yaliyokusumbua wiki hii
 
Siyo wewe ndiyo unasumbuka na Mambo ya wengine mkuu?
 
1. Taarifa aliyoitoa Makonda kwa waandishi wa habari kwenye utoaji wa ripoti yake ya miezi 6. Katika kujibu tuhuma anazorushiwa na Tundu Lissu, Makonda alijikuta akitueleza ni vipi Kuna vikao vilikuwa vinaendelea baina yake na viongozi wa chadema Huku Tundu Lissu wakimuacha kwa makusudi kwa sababu ya hofu ya uropokaji wake usiozingatia 'muktadha'.
Tundu Lissu huko aliko, "dah! Kumbe kina Mbowe na Slaa ndivyo walivyokuwa wananifanya?!!!! Siamini"!

2. Kauli ya Mbowe aliyoitoa juzi kwa waandishi wa habari kuwa kwa Sasa chadema ni imara kuliko jana au juzi. Hilo limemstua sana Tundu Lissu, huko aliko anajiuliza;
"Imekuaje mwamba amestukia mbinu zangu nini?!!"

AnaWatupia jicho 'kumberu' maswahiba wake chamani anaopanga nao mambo mbalimbali na kujiuliza kimya kimya, "au hawa jamaa ni masnitch nini wanaenda kuyamwaga kwa mwamba tukishaongea?!!"

Kwakweli wiki hii TL sijui kama amewhi kupata usingizi.......

Hope we ndo unasumbuka, simba yupo njiani kuelekea Mara hujamsikia tu? Yani simba asumbuliwe na MaK? Hahaha you're joking brother, wakati anapambana Bulyanhulu na Mkapa anasweat Mak alikua anatoka kamasi kolomije anachunga kondoo watatu wa baba yake. Acheni kuchafua records za watu kwa vijistori, watu wamepambana kuandika majina yao jamani
 
1. Taarifa aliyoitoa Makonda kwa waandishi wa habari kwenye utoaji wa ripoti yake ya miezi 6. Katika kujibu tuhuma anazorushiwa na Tundu Lissu, Makonda alijikuta akitueleza ni vipi Kuna vikao vilikuwa vinaendelea baina yake na viongozi wa chadema Huku Tundu Lissu wakimuacha kwa makusudi kwa sababu ya hofu ya uropokaji wake usiozingatia 'muktadha'.
Tundu Lissu huko aliko, "dah! Kumbe kina Mbowe na Slaa ndivyo walivyokuwa wananifanya?!!!! Siamini"!

2. Kauli ya Mbowe aliyoitoa juzi kwa waandishi wa habari kuwa kwa Sasa chadema ni imara kuliko jana au juzi. Hilo limemstua sana Tundu Lissu, huko aliko anajiuliza;
"Imekuaje mwamba amestukia mbinu zangu nini?!!"

AnaWatupia jicho 'kumberu' maswahiba wake chamani anaopanga nao mambo mbalimbali na kujiuliza kimya kimya, "au hawa jamaa ni masnitch nini wanaenda kuyamwaga kwa mwamba tukishaongea?!!"

Kwakweli wiki hii TL sijui kama amewhi kupata usingizi.......
YAANI LISSU ANACHANGANYIKIWA MPAKA ANAWAAMBIA WATU MANENO YA HOVYO ETI WATACHUNWA NGOZI WANAOGOPA MABOMU JAMAA KACHIZIKA KABISA
 
Mihangaiko isiyo na faida Wala matumaini ya watanzania wenzangu walioamua kuwa haters wa Mama Samia Huku wakishindwa ktk Kila walipangalo.
Kuna tofuti gani ya wao na wewe ambaye ni hater kwao ambao mambo yao hayakuhusu?
 
1. Taarifa aliyoitoa Makonda kwa waandishi wa habari kwenye utoaji wa ripoti yake ya miezi 6. Katika kujibu tuhuma anazorushiwa na Tundu Lissu, Makonda alijikuta akitueleza ni vipi Kuna vikao vilikuwa vinaendelea baina yake na viongozi wa chadema Huku Tundu Lissu wakimuacha kwa makusudi kwa sababu ya hofu ya uropokaji wake usiozingatia 'muktadha'.
Tundu Lissu huko aliko, "dah! Kumbe kina Mbowe na Slaa ndivyo walivyokuwa wananifanya?!!!! Siamini"!

2. Kauli ya Mbowe aliyoitoa juzi kwa waandishi wa habari kuwa kwa Sasa chadema ni imara kuliko jana au juzi. Hilo limemstua sana Tundu Lissu, huko aliko anajiuliza;
"Imekuaje mwamba amestukia mbinu zangu nini?!!"

AnaWatupia jicho 'kumberu' maswahiba wake chamani anaopanga nao mambo mbalimbali na kujiuliza kimya kimya, "au hawa jamaa ni masnitch nini wanaenda kuyamwaga kwa mwamba tukishaongea?!!"

Kwakweli wiki hii TL sijui kama amewhi kupata usingizi.......
Tujuze jinsia yako kwanza
 
Back
Top Bottom