Mambo matano aliyosema Rais Samia jana yaliyonisikitisha

3. Unaijuwa mikiki ya kariakoo au unaisikia tu?
. Halafu wewe unawajuwa wasaidizi wa Rais kuliko Rais mwenyewe?
 
Hata mimi nimesikitika
 
Kama ulimsikiliza alisema jana kwamba kidata mpaka baadhi ya watumishi wa ikulu na viongozi wa serikali walikuwa hawampendi itafakari vizuri hyo kauli.
Kuna jambo Moja ambalo liliniaminisha JPM was right about this guy...Ule ulikuwa uonevu wa mchana Kwa mfanya biashara mmoja aliomfanyia
 
Tatizo letu Kwa sasa Tanzania ni Rais ni mkweli sana na anapenda kufanya good governance, wakati watanzania hawajazoea kusikia ukweli, wala hawajazoea kuwa good citizens...Tumepewa right president at a wrong time and to the wrong people
The right president should be one who takes action. Sio rais anakuwa anatoa mipasho kama vile yupo kwenye kikao cha familia yake.

Yani president una mandate yote hiyo unaufahamu ukweli na una admit in public kuufahamu uozo wote huo still you just keep on watching it unfold?

Ingekuwa ni the right president saa hii watu wangekuwa jela, mahakamani na walishafilisiwa mali za umma walizoiba.

So sir please, we have the wrong president. Samia does not fit the office. She ain't fit for the job.
 
Nikimkumbuka JPM na Leo Samiah Wana kitu fulani in common!!wanaongozwa kuongoza nchi!!

Yaani Kuna utashi mwingine unaamua wazungmzaje waharibu vipi wakurupukaje wateuaje hata waleje na wote wanaowangoza kuongoza wanawaingiza chaka Ili wapoteze upili was mihula yao!!!

Yaani ipo dhahiri kabisa kwamba wanaowaongoza kuongoza wanataka waharibu Ili wasipate muhula was pili wa uawamu zao!!

MAONI HURU KUTOKANA NA FIKRA HURU!!
 
Tatizo letu Kwa sasa Tanzania ni Rais ni mkweli sana na anapenda kufanya good governance, wakati watanzania hawajazoea kusikia ukweli, wala hawajazoea kuwa good citizens...Tumepewa right president at a wrong time and to the wrong people
Uko sawa kichwani Mkuu? πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…