Mambo matano aliyosema Rais Samia jana yaliyonisikitisha

Mambo matano aliyosema Rais Samia jana yaliyonisikitisha

Tatizo watanzania wote ni wezi na janjajanja Hata umuweke nani akifika pale anageuka na kuwa fisi, au atakutana na mafisi og wamfungue akili, na aki resist sana anakuwa adui wa kila mtu. Kwa kifupi uzalendo wetu ni hasi(-) kabisa na si ziro.

Kama kuna wezi vyombo vya Uchunguzi vina kazi gani? Sema nao wako kazini katika ulaji Hata kama ukiwapa kazi wataishia ku neutralize tu kesi.

Kwa mtazamo wangu hii nchi baada ya miaka 15 itakuwa inamilikiwa na familia chache ambazo zinakwapua Mali za Taifa.
 
Kariakoo pagumu sana na ndo maana Machinga wataondolewa ili kodi idakwe vizuri

Wachina ni maadui wengine
 
Tatizo watanzania wote ni wezi na janjajanja Hata umuweke nani akifika pale anageuka na kuwa fisi, au atakutana na mafisi og wamfungue akili, na aki resist sana anakuwa adui wa kila mtu. Kwa kifupi uzalendo wetu ni hasi(-) kabisa na si ziro.

Kama kuna wezi vyombo vya Uchunguzi vina kazi gani? Sema nao wako kazini katika ulaji Hata kama ukiwapa kazi wataishia ku neutralize tu kesi.

Kwa mtazamo wangu hii nchi baada ya miaka 15 itakuwa inamilikiwa na familia chache ambazo zinakwapua Mali za Taifa.
Wewe ni mtanzania?
 
Wakati Rais Samiah akiwaapisha Viongozi Jana , Kuna mambo matano aliyasema kwenye hotuba yake ambayo yalinisikitisha.

1. Jambo la kwanza Rais kadai mikopo inaifanya Tanzania inyayasike

Nimehuzunika Rais anapokiri ya kwamba mikopo tunayokopa inatufanya tunyanyasike. Huyu ni udhaifu mkubwa wa Rais wa Nchi kukiri hadharani ya kwamba anapoenda kukopa huko nje huwa ananyanyasika. Kwa maana nyingine Rais amekiri kwamba hii mikopo Ina masharti magumu kabla ya kukopa na hata baada ya kukopa yanayoifanya nchi inyanyasike Kama alivyosema Rais.

Pia kwenye muktadha huo, Rais kadai tunakopa nje na kunyanyasika kwa sababu watu hawalipi Kodi. Kwa maana nyingine Rais alikuwa anajua Kodi hazilipwi ila akawa anafidia kwa kukopa mikopo huko kwa wanyanyasaji, Sasa unyanyasaji umekidhiri kaamua kudai Kodi ilipwe.

Swali langu kwa Rais kwanini unakubali nchi inyanyasike kwa mikopo mnayokopa?. Na hayo manyanyaso ni yepi tuyajue, isije kuwa Kuna masharti magumu yanayoingilia uhuru wa Taifa wa kiuchumi, kisiasa, kisheria na hata kitamaduni. Tuweke wazi kwenye hili.

2. Jambo la pili Rais kadai Pale Kariakoo kuna siasa nyingi.
Rais amedai ya kwamba alituma wajumbe wake kwa Siri kule kariakoo na kugundua ya kwamba Kuna wafanyabiashara wengi walikuwa wanafungua maduka au kuingia kwenye mgomo bila ya kujua sababu ya mgomo.

Nimeshangaa kwa kauli hii ya Rais. Maana mwaka Jana wafanyabiashara wa Kariakoo walifanya mgomo na mwisho wanafanya kikao na Waziri Mkuu pamoja na Waziri wa Fedha, na walieleza sababu nyingi Sana za kwanini wanagoma Tena live kwenye vyombo vya habari.

Inakuwaje Tena hao hao wafanyabiashara ndani ya muda mfupi wadai hawajui kwanini wanagoma? Ok, tufanye hawajui wanachogomea, ni kwanini Serikali ilisitisha baadhi ya kanuni kwa muda? Kama vile matumizi ya EFD na Faini ya kutotumia receipt kwa wafanya biashara wa Kariakoo?. Ina maana Rais pamoja na kupata taarifa ya wafanyabiashara kutojua wanagomea nini bado aliendelea na kusimamisha kanuni?.

Naona Kama Rais amejichanganya au anatuchanganya kwenye hili eneo, au yeye ndio analeta siasa kwa kudai wanaogoma hapo kariakoo hawajui sababu kwanini wanagoma na bado serikali ikasimamisha kanuni hapo kariakoo.

Swali langu ni kwamba je wale wafanyabiashara hawakuwa na sababu za kugoma? Na ni kwanini Serikali imeukubali kutii baadhi ya malalamiko ya watu ambao inajua hawajui wanachogomea?.

3. Jambo la tatu, Rais kaingiza mambo ya jinsia kwenye kazi za Serikali
Wakati anamtambulisha Waziri mpya wa viwanda na biashara, Ndugu Suleiman Jaffo, Rais kadai amaemua kumteua Jaffo maana pale kariakoo Kuna mikikimikiki mingi ambayo Dr Ashatu Kijaji asingeiweza kwa sababu ni mwanamke. Nikajiuliza kwanini alimteua kwenye nafasi hiyo Kama alijua kwa mikiki iliyopo kwa Waziri mwanamke hataiweza?.

Rais akaendela kudai ya kwamba ameamua kumteua Dr Ashatu Kijaji kuwa Waziri wa Mazingira na Muungano, ili ashughurikie mambo ya nishati ya gesi ya kupikia. Akadai amemteua yeye pamoja na Naibu Katibu Mkuu mawanamke maalim kwaajili ya kushughulikia gesi ya kupikia. Na akadai kwasababu wao ni wanawake amewateua makusudi na wakishindwa atashangaa wanashindwaje na wao ni wanawake.

Swali langu la msingi ni je Kuna Wizara zinazowafaa wanawake tu? na Kuna Wizara zinazowafaa wanaume tu?. Na Kama zipo ni Wizara zipi hizo?. Na kwanini Rais anazijua na bado amateua jinsia tofauti kwenye Wizara husika?

4. Jambo la nne Rais kadai kuwa Wafanyakazi wa TRA walifanya sherehe Kidata alipohamishwa TRA
Rais kwenye hotuba yake kadai kwamba taarifa za kuhamishiwa zilipofika TRA, wafanyakazi wengi walifurahia Sana na kuamua kufanya sherehe. Kwa maana nyingine Kidata alikuwa very strict kwenye kazi yake lakini bado Rais akamuondoa.

Kwenye muktadha huo huo Rais kadai Kidata hakuoendwa na TRA na pia hakuoendwa na Ikulu maana alikuwa mchapa kazi Sana na amenyooka. Sasa ikamwa najiuliza Kama una Kamishna mkuu wa TRA anayejituma na kusimamia taratibu, inakuwaje unamtoa hapo?. Unadai atakuwa mshauri wako, kwanini awe mshauri wako ilhali alikuwa anasimamia taratibu na anajua kazi?.

Swali langu ni kwamba Kama Kidata alikuwa amenyooka mpaka kuchukiwa na Ikulu pamoja na wengine , inakuwaje Rais kamtoa? Rais anahitaji mtu wa aina gani mwingine?. Kama Kidata hakuwa Mtendaji mzuri kwanini Rais adanganye?.

5. Jambo la mwisho, Rais kamuomba Kamishna Mkuu wa TRA kutoshirikiana na TRA kuiba
Kwenye hili Rais kakosea Sana kuliweka alivyoliweka. Maana kauli yake ni kwamba anathibitisha ya kwamba TRA Kuna wezi. Sasa Kama kiongozi wa nchi unajua Kuna wezi ndani ya TRA kwanini huchukui hatua?. Na kwanini umewaacha wezi qanaendelea kuiba na Wala huwa kamati mpaka unamshauri Kamishna mpya wa TRA asishirikiane na wezi waliopo ndani ya TRA.

Swali langu ni kwamba hawa wezi ndani ya TRA ni akina nani?

By Econonist.
Nitatolea maelezo la Kidata: Sehemu yeyote ambapo Boss hapewi ushirikiano na Watumishi wenzake ,lazima ufanisi utakuwa chini bila kujalisha Yuko strict au laa maana watafanya kukuharibia so Rais Yuko sahihi.

Kwa sababu utachukuliwa una mahusiano mabaya na Wafanyakazi wenzako,Mawaziri, wafanyabiashara Sasa hapo hakuna wa kukutetea.Kukbuoa hata nyie Machadema mkifanya sherehe Jiwe alipokufa.

Kuhusu la wizi TRA,kwani nani hajui kwmaba TRA Huwa wanadokoa? Kw ai ni mara ya kwanza jambo hili kuzungumzwa na Rais? Mambo Marais wote waliopira wamewahi lizu gumza? Wewe hapo hujui kwmaba TRA wanachukua Rushwa Kwa wafanyabiashara aidha wamalizane au makadirio ya chini nk..TRA hawana tofauti na Traffick police na madereva.

Mengine uliyoongea hayana msingi,Rais Yuko sawa.Mfano la Kijaji sio tuu unauliza halina maana ila majibu yake ni simple tuu.Wakati Kijaji anakuwa Waziri wa Biashara mambo ya siasa za migomo hapo Kariakoo hazikuwepo so kuna shida gani Rais kumtoa wakati ameshindwa mikiki mikiki ya Kariakoo?
 
Moja ya kosa kubwa watawala wetu wanalifanya isipokuwa kikwete hakufanya sana haya ni kuchagua askari type kwenda kuongiza taasisi.

Kidata alikuwa na attitude ya uaskari katokea kitengo wao wanaendeshwa na amri tuu hakuna strategic business thinkingna kila alilokuwa akilifanya alikuwa anatumia nguvu hivyo wadau wengi hawakumkubali.

Issue ya kariakoo inatawaliwa zaidi na maboss wa yanga na other cartels wanaopambania consolidation ya kuleta mizigo kwa gharama ndogo kwa mfanyabiashara na huku tra inataka kodi kubwa toka kwa mtu aliyeletewa mzigo kwa gharama ndogo za njia ya mkato
 
mambo bado! uongozi mkubwa wa nchi unahitaji hekima sana,shida aliingia kwa pupa bado hakuwa anastahili kuwa pale,pale ni pazito.
na manyanyaso zaidi yataongezeka maana anawaamini watu wa nje kuliko watu wake wa ndani ndio maana kila siku ndegeni,hii sio solution ni tatizo analitafuta.. she have to empower her own people. viongozi wengi wa Africa wanakosea kwenye hili serikali hazina dira za kuinua kiuchumi watu wao.
 
Nitatolea maelezo la Kidata: Sehemu yeyote ambapo Boss hapewi ushirikiano na Watumishi wenzake ,lazima ufanisi utakuwa chini bila kujalisha Yuko strict au laa maana watafanya kukuharibia so Rais Yuko sahihi.

Kwa sababu utachukuliwa una mahusiano mabaya na Wafanyakazi wenzako,Mawaziri, wafanyabiashara Sasa hapo hakuna wa kukutetea.Kukbuoa hata nyie Machadema mkifanya sherehe Jiwe alipokufa.

Kuhusu la wizi TRA,kwani nani hajui kwmaba TRA Huwa wanadokoa? Kw ai ni mara ya kwanza jambo hili kuzungumzwa na Rais? Mambo Marais wote waliopira wamewahi lizu gumza? Wewe hapo hujui kwmaba TRA wanachukua Rushwa Kwa wafanyabiashara aidha wamalizane au makadirio ya chini nk..TRA hawana tofauti na Traffick police na madereva.

Mengine uliyoongea hayana msingi,Rais Yuko sawa.Mfano la Kijaji sio tuu unauliza halina maana ila majibu yake ni simple tuu.Wakati Kijaji anakuwa Waziri wa Biashara mambo ya siasa za migomo hapo Kariakoo hazikuwepo so kuna shida gani Rais kumtoa wakati ameshindwa mikiki mikiki ya Kariakoo?
Sasa hapo unatetea Nini dogo?

Wazandelendo tunasikitishwa na hotuba ya mama ambaye amekosa mwelekeo, imepelekea tunaathirika na na huu utawala

We vipi? Ni mtanzania mwenzetu??
 
Wakati Rais Samiah akiwaapisha Viongozi Jana , Kuna mambo matano aliyasema kwenye hotuba yake ambayo yalinisikitisha.

1. Jambo la kwanza Rais kadai mikopo inaifanya Tanzania inyayasike

Nimehuzunika Rais anapokiri ya kwamba mikopo tunayokopa inatufanya tunyanyasike. Huyu ni udhaifu mkubwa wa Rais wa Nchi kukiri hadharani ya kwamba anapoenda kukopa huko nje huwa ananyanyasika. Kwa maana nyingine Rais amekiri kwamba hii mikopo Ina masharti magumu kabla ya kukopa na hata baada ya kukopa yanayoifanya nchi inyanyasike Kama alivyosema Rais.

Pia kwenye muktadha huo, Rais kadai tunakopa nje na kunyanyasika kwa sababu watu hawalipi Kodi. Kwa maana nyingine Rais alikuwa anajua Kodi hazilipwi ila akawa anafidia kwa kukopa mikopo huko kwa wanyanyasaji, Sasa unyanyasaji umekidhiri kaamua kudai Kodi ilipwe.

Swali langu kwa Rais kwanini unakubali nchi inyanyasike kwa mikopo mnayokopa?. Na hayo manyanyaso ni yepi tuyajue, isije kuwa Kuna masharti magumu yanayoingilia uhuru wa Taifa wa kiuchumi, kisiasa, kisheria na hata kitamaduni. Tuweke wazi kwenye hili.

2. Jambo la pili Rais kadai Pale Kariakoo kuna siasa nyingi.
Rais amedai ya kwamba alituma wajumbe wake kwa Siri kule kariakoo na kugundua ya kwamba Kuna wafanyabiashara wengi walikuwa wanafungua maduka au kuingia kwenye mgomo bila ya kujua sababu ya mgomo.

Nimeshangaa kwa kauli hii ya Rais. Maana mwaka Jana wafanyabiashara wa Kariakoo walifanya mgomo na mwisho wanafanya kikao na Waziri Mkuu pamoja na Waziri wa Fedha, na walieleza sababu nyingi Sana za kwanini wanagoma Tena live kwenye vyombo vya habari.

Inakuwaje Tena hao hao wafanyabiashara ndani ya muda mfupi wadai hawajui kwanini wanagoma? Ok, tufanye hawajui wanachogomea, ni kwanini Serikali ilisitisha baadhi ya kanuni kwa muda? Kama vile matumizi ya EFD na Faini ya kutotumia receipt kwa wafanya biashara wa Kariakoo?. Ina maana Rais pamoja na kupata taarifa ya wafanyabiashara kutojua wanagomea nini bado aliendelea na kusimamisha kanuni?.

Naona Kama Rais amejichanganya au anatuchanganya kwenye hili eneo, au yeye ndio analeta siasa kwa kudai wanaogoma hapo kariakoo hawajui sababu kwanini wanagoma na bado serikali ikasimamisha kanuni hapo kariakoo.

Swali langu ni kwamba je wale wafanyabiashara hawakuwa na sababu za kugoma? Na ni kwanini Serikali imeukubali kutii baadhi ya malalamiko ya watu ambao inajua hawajui wanachogomea?.

3. Jambo la tatu, Rais kaingiza mambo ya jinsia kwenye kazi za Serikali
Wakati anamtambulisha Waziri mpya wa viwanda na biashara, Ndugu Suleiman Jaffo, Rais kadai amaemua kumteua Jaffo maana pale kariakoo Kuna mikikimikiki mingi ambayo Dr Ashatu Kijaji asingeiweza kwa sababu ni mwanamke. Nikajiuliza kwanini alimteua kwenye nafasi hiyo Kama alijua kwa mikiki iliyopo kwa Waziri mwanamke hataiweza?.

Rais akaendela kudai ya kwamba ameamua kumteua Dr Ashatu Kijaji kuwa Waziri wa Mazingira na Muungano, ili ashughurikie mambo ya nishati ya gesi ya kupikia. Akadai amemteua yeye pamoja na Naibu Katibu Mkuu mawanamke maalim kwaajili ya kushughulikia gesi ya kupikia. Na akadai kwasababu wao ni wanawake amewateua makusudi na wakishindwa atashangaa wanashindwaje na wao ni wanawake.

Swali langu la msingi ni je Kuna Wizara zinazowafaa wanawake tu? na Kuna Wizara zinazowafaa wanaume tu?. Na Kama zipo ni Wizara zipi hizo?. Na kwanini Rais anazijua na bado amateua jinsia tofauti kwenye Wizara husika?

4. Jambo la nne Rais kadai kuwa Wafanyakazi wa TRA walifanya sherehe Kidata alipohamishwa TRA
Rais kwenye hotuba yake kadai kwamba taarifa za kuhamishiwa zilipofika TRA, wafanyakazi wengi walifurahia Sana na kuamua kufanya sherehe. Kwa maana nyingine Kidata alikuwa very strict kwenye kazi yake lakini bado Rais akamuondoa.

Kwenye muktadha huo huo Rais kadai Kidata hakuoendwa na TRA na pia hakuoendwa na Ikulu maana alikuwa mchapa kazi Sana na amenyooka. Sasa ikamwa najiuliza Kama una Kamishna mkuu wa TRA anayejituma na kusimamia taratibu, inakuwaje unamtoa hapo?. Unadai atakuwa mshauri wako, kwanini awe mshauri wako ilhali alikuwa anasimamia taratibu na anajua kazi?.

Swali langu ni kwamba Kama Kidata alikuwa amenyooka mpaka kuchukiwa na Ikulu pamoja na wengine , inakuwaje Rais kamtoa? Rais anahitaji mtu wa aina gani mwingine?. Kama Kidata hakuwa Mtendaji mzuri kwanini Rais adanganye?.

5. Jambo la mwisho, Rais kamuomba Kamishna Mkuu wa TRA kutoshirikiana na TRA kuiba
Kwenye hili Rais kakosea Sana kuliweka alivyoliweka. Maana kauli yake ni kwamba anathibitisha ya kwamba TRA Kuna wezi. Sasa Kama kiongozi wa nchi unajua Kuna wezi ndani ya TRA kwanini huchukui hatua?. Na kwanini umewaacha wezi qanaendelea kuiba na Wala huwa kamati mpaka unamshauri Kamishna mpya wa TRA asishirikiane na wezi waliopo ndani ya TRA.

Swali langu ni kwamba hawa wezi ndani ya TRA ni akina nani?

By Econonist.
👏👏👏👏👏
 
Wakati Rais Samiah akiwaapisha Viongozi Jana , Kuna mambo matano aliyasema kwenye hotuba yake ambayo yalinisikitisha.

1. Jambo la kwanza Rais kadai mikopo inaifanya Tanzania inyayasike

Nimehuzunika Rais anapokiri ya kwamba mikopo tunayokopa inatufanya tunyanyasike. Huyu ni udhaifu mkubwa wa Rais wa Nchi kukiri hadharani ya kwamba anapoenda kukopa huko nje huwa ananyanyasika. Kwa maana nyingine Rais amekiri kwamba hii mikopo Ina masharti magumu kabla ya kukopa na hata baada ya kukopa yanayoifanya nchi inyanyasike Kama alivyosema Rais.

Pia kwenye muktadha huo, Rais kadai tunakopa nje na kunyanyasika kwa sababu watu hawalipi Kodi. Kwa maana nyingine Rais alikuwa anajua Kodi hazilipwi ila akawa anafidia kwa kukopa mikopo huko kwa wanyanyasaji, Sasa unyanyasaji umekidhiri kaamua kudai Kodi ilipwe.

Swali langu kwa Rais kwanini unakubali nchi inyanyasike kwa mikopo mnayokopa?. Na hayo manyanyaso ni yepi tuyajue, isije kuwa Kuna masharti magumu yanayoingilia uhuru wa Taifa wa kiuchumi, kisiasa, kisheria na hata kitamaduni. Tuweke wazi kwenye hili.

2. Jambo la pili Rais kadai Pale Kariakoo kuna siasa nyingi.
Rais amedai ya kwamba alituma wajumbe wake kwa Siri kule kariakoo na kugundua ya kwamba Kuna wafanyabiashara wengi walikuwa wanafungua maduka au kuingia kwenye mgomo bila ya kujua sababu ya mgomo.

Nimeshangaa kwa kauli hii ya Rais. Maana mwaka Jana wafanyabiashara wa Kariakoo walifanya mgomo na mwisho wanafanya kikao na Waziri Mkuu pamoja na Waziri wa Fedha, na walieleza sababu nyingi Sana za kwanini wanagoma Tena live kwenye vyombo vya habari.

Inakuwaje Tena hao hao wafanyabiashara ndani ya muda mfupi wadai hawajui kwanini wanagoma? Ok, tufanye hawajui wanachogomea, ni kwanini Serikali ilisitisha baadhi ya kanuni kwa muda? Kama vile matumizi ya EFD na Faini ya kutotumia receipt kwa wafanya biashara wa Kariakoo?. Ina maana Rais pamoja na kupata taarifa ya wafanyabiashara kutojua wanagomea nini bado aliendelea na kusimamisha kanuni?.

Naona Kama Rais amejichanganya au anatuchanganya kwenye hili eneo, au yeye ndio analeta siasa kwa kudai wanaogoma hapo kariakoo hawajui sababu kwanini wanagoma na bado serikali ikasimamisha kanuni hapo kariakoo.

Swali langu ni kwamba je wale wafanyabiashara hawakuwa na sababu za kugoma? Na ni kwanini Serikali imeukubali kutii baadhi ya malalamiko ya watu ambao inajua hawajui wanachogomea?.

3. Jambo la tatu, Rais kaingiza mambo ya jinsia kwenye kazi za Serikali
Wakati anamtambulisha Waziri mpya wa viwanda na biashara, Ndugu Suleiman Jaffo, Rais kadai amaemua kumteua Jaffo maana pale kariakoo Kuna mikikimikiki mingi ambayo Dr Ashatu Kijaji asingeiweza kwa sababu ni mwanamke. Nikajiuliza kwanini alimteua kwenye nafasi hiyo Kama alijua kwa mikiki iliyopo kwa Waziri mwanamke hataiweza?.

Rais akaendela kudai ya kwamba ameamua kumteua Dr Ashatu Kijaji kuwa Waziri wa Mazingira na Muungano, ili ashughurikie mambo ya nishati ya gesi ya kupikia. Akadai amemteua yeye pamoja na Naibu Katibu Mkuu mawanamke maalim kwaajili ya kushughulikia gesi ya kupikia. Na akadai kwasababu wao ni wanawake amewateua makusudi na wakishindwa atashangaa wanashindwaje na wao ni wanawake.

Swali langu la msingi ni je Kuna Wizara zinazowafaa wanawake tu? na Kuna Wizara zinazowafaa wanaume tu?. Na Kama zipo ni Wizara zipi hizo?. Na kwanini Rais anazijua na bado amateua jinsia tofauti kwenye Wizara husika?

4. Jambo la nne Rais kadai kuwa Wafanyakazi wa TRA walifanya sherehe Kidata alipohamishwa TRA
Rais kwenye hotuba yake kadai kwamba taarifa za kuhamishiwa zilipofika TRA, wafanyakazi wengi walifurahia Sana na kuamua kufanya sherehe. Kwa maana nyingine Kidata alikuwa very strict kwenye kazi yake lakini bado Rais akamuondoa.

Kwenye muktadha huo huo Rais kadai Kidata hakuoendwa na TRA na pia hakuoendwa na Ikulu maana alikuwa mchapa kazi Sana na amenyooka. Sasa ikamwa najiuliza Kama una Kamishna mkuu wa TRA anayejituma na kusimamia taratibu, inakuwaje unamtoa hapo?. Unadai atakuwa mshauri wako, kwanini awe mshauri wako ilhali alikuwa anasimamia taratibu na anajua kazi?.

Swali langu ni kwamba Kama Kidata alikuwa amenyooka mpaka kuchukiwa na Ikulu pamoja na wengine , inakuwaje Rais kamtoa? Rais anahitaji mtu wa aina gani mwingine?. Kama Kidata hakuwa Mtendaji mzuri kwanini Rais adanganye?.

5. Jambo la mwisho, Rais kamuomba Kamishna Mkuu wa TRA kutoshirikiana na TRA kuiba
Kwenye hili Rais kakosea Sana kuliweka alivyoliweka. Maana kauli yake ni kwamba anathibitisha ya kwamba TRA Kuna wezi. Sasa Kama kiongozi wa nchi unajua Kuna wezi ndani ya TRA kwanini huchukui hatua?. Na kwanini umewaacha wezi qanaendelea kuiba na Wala huwa kamati mpaka unamshauri Kamishna mpya wa TRA asishirikiane na wezi waliopo ndani ya TRA.

Swali langu ni kwamba hawa wezi ndani ya TRA ni akina nani?

By Econonist.
Actually Mimi nimependa alivyoweka vitu wazi

Ukopaji ni sign ya deficiencies ndio maana Manyanyaso lazima yawepo…. Tunakopa because it is inevitable,

Mengine yote ni very relevant na anajua chanzo

Kidata kapndolewa most likely itakua ji ile Barua ya zile balozi kubwa kuandika waraka kwa waziri wamambo ya nje

Tulichoona jana ni kwamba rais ameweka bayana kwamba wengi wetu sio wasafi na ni selfish hivyo walionyooka Kama kidata wataendelea kupata tabu

Nini solution: tuanze na maadili upya na tuanze na genZ na watoto wapya ili kuleta taifa salama
 
Nitatolea maelezo la Kidata: Sehemu yeyote ambapo Boss hapewi ushirikiano na Watumishi wenzake ,lazima ufanisi utakuwa chini bila kujalisha Yuko strict au laa maana watafanya kukuharibia so Rais Yuko sahihi.

Kwa sababu utachukuliwa una mahusiano mabaya na Wafanyakazi wenzako,Mawaziri, wafanyabiashara Sasa hapo hakuna wa kukutetea.Kukbuoa hata nyie Machadema mkifanya sherehe Jiwe alipokufa.

Kuhusu la wizi TRA,kwani nani hajui kwmaba TRA Huwa wanadokoa? Kw ai ni mara ya kwanza jambo hili kuzungumzwa na Rais? Mambo Marais wote waliopira wamewahi lizu gumza? Wewe hapo hujui kwmaba TRA wanachukua Rushwa Kwa wafanyabiashara aidha wamalizane au makadirio ya chini nk..TRA hawana tofauti na Traffick police na madereva.

Mengine uliyoongea hayana msingi,Rais Yuko sawa.Mfano la Kijaji sio tuu unauliza halina maana ila majibu yake ni simple tuu.Wakati Kijaji anakuwa Waziri wa Biashara mambo ya siasa za migomo hapo Kariakoo hazikuwepo so kuna shida gani Rais kumtoa wakati ameshindwa mikiki mikiki ya Kariakoo?
Hakuna hoja ya maana umejibu kumtetea huyo dhaifu!
 
3. Jambo la tatu, Rais kaingiza mambo ya jinsia kwenye kazi za Serikali
Wakati anamtambulisha Waziri mpya wa viwanda na biashara, Ndugu Suleiman Jaffo, Rais kadai amaemua kumteua Jaffo maana pale kariakoo Kuna mikikimikiki mingi ambayo Dr Ashatu Kijaji asingeiweza kwa sababu ni mwanamke. Nikajiuliza kwanini alimteua kwenye nafasi hiyo Kama alijua kwa mikiki iliyopo kwa Waziri mwanamke hataiweza?.
Na kwa maana hii hii, anajibainisha yeye mwenyewe kwamba mikiki ya uongozi wa nchi imemshinda kwa sababu ya jinsia yake!
 
5. Jambo la mwisho, Rais kamuomba Kamishna Mkuu wa TRA kutoshirikiana na TRA kuiba
Kwenye hili Rais kakosea Sana kuliweka alivyoliweka. Maana kauli yake ni kwamba anathibitisha ya kwamba TRA Kuna wezi. Sasa Kama kiongozi wa nchi unajua Kuna wezi ndani ya TRA kwanini huchukui hatua?. Na kwanini umewaacha wezi qanaendelea kuiba na Wala huwa kamati mpaka unamshauri Kamishna mpya wa TRA asishirikiane na wezi waliopo ndani ya TRA.
EEEEeeeenHEEEEeeeee!
Sijui huyo Kamishna mpya hapo TRA anakwenda kufanya kazi gani sasa.
Kwanza anasimamia wafanya kazi wezi
Pili, atakapojaribu kuwabana wasiibe, watam'data', kama walivyomfanya huyo Kidata. Watasherehekea na huyu mpya atakapo ondolewa kama atabania!
 
nimesikitika sana na kuumia mno kwa kutokujua kwako kuwa kama taifa / nchi tumepata hasara kuwa nae kama rais
Hakuna alichokifanya JPM ambacho hatakimalizia Rais Samia katika muda huu kuelekea 2025.

Samia hana makeke ya maongezi ya jukwaani, jana nimekatiza pale BP karibu na bandarini ni kama Ulaya yaani.

Pale mida ya jioni ulikuwa ukifika saa kumi na moja na gari kwa upande wa kule kurasini inabidi usubiri saa nzima mpaka magari yanayotoka mjini yapunguzwe na trafiki, leo hii ni mwendo wa dakika moja tu umeshakatiza mahali pale!.

Samia apewe heshima yake anafanya yale yale ambayo angeyafanya hayati JPM angekuwa hai mpaka muda huu.
 
Mnamuonea tu mama wa watu ila pale TRA kuna mapapa mpaka magufuli aliwashindwa tena watu wazito kutoka serikalini na wafanyabiashara wakubwa na wanalindwa na mfumo wengine ni viongozi wastaafu wa CCM na serikali washaingia mpaka ikulu unadhani hyo vita mama anaiweza acheni kumuandama mambo sio rahisi kama unavyodhani.
Acha uongo Magufuli hajawahi kushindwa na mfanyakazi wake yoyote katika nchi hii

Aliondoa mfumo wa bank account akaweka control namba
 
Back
Top Bottom