stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Vizuri sana hua unanyonga wewe au wewe ndio hua unachomwa yeye ananyonga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vizuri sana hua unanyonga wewe au wewe ndio hua unachomwa yeye ananyonga?
yesVizuri sana hua unanyonga wewe au wewe ndio hua unachomwa yeye ananyonga?
Hujajibu kitu hapo
Chai#MadiniNaPatron
Punguza ujuaji nimeitoa X hii
Hujajibu kitu hapo
ohhHujajibu kitu hapo
Unanyonga au unachoma?
yesUnanyonga au unachoma?
Basi saway
yes
Kula like hiyo mkuuBongo kwenu kukiwa na geti tu umeshakuwa wa kishua
5. Kuhusu kwangwaru unaongea kama kuku aliyekatwa kichwa1 - sio kweli, nimrod ni baba mkubwa. Ushua ulikuwepo Ila baadae wazazi wake hawakua sawa na nimrod. So ushua ulitoweka na hata sasa wazazi hawapo sawa na mtoto
2 - beef ilikuwepo, sio chin bees tu hata na ola na damas pia. Mkishakua pamoja mkitengana lazima maneno yaanze. Kuhusu nyimbo za game na kamatia chini, huo ni uongo.
3 - Nahreel maisha hayajawahi kumshinda, ni Aika kukata tamaa na muziki tu lakini sio maisha kama maisha. Moyoni sio tobo lao, wimbo uliokua tobo lao ni "chelewa(bokodo)", moyoni ilikuja kuboost tu
4 - wimbo uliomtoa Nahreel kama producer ni ongea na mshua?? Hapana sio kweli, wimbo uliomtoa Nahreel ni "Niaje Nivipi" wa Joh makini ulifanyika Kama kawa records na ilikua 2008, hiyo ongea na mshua ilikuja baadae sana, akiwa tayari ameshajulikana na kufanya nyimbo kubwa tu ikiwemo "stimu zimelipiwa" ya Joh Makini, huu ni wimbo mkubwa sana wa hip-hop na ndio ulikua wimbo bora wa mwaka na ukampa joh makini tuzo ya mwanahiphop bora kwa mara ya kwanza
NB: ongea na mshua haikufanyika Kama kawa, ulifanyika mj records. Tudd Thomas kama kawa? Wengi wanamfananisha Yudd wa kama kawa na Tudd. Yudd kwa sasa yupo tongwe records
5 - Sio kweli, wimbo wenye viewers wengi you tube ni "kwangwaru"
Beef na quick racka haikua beef bali quick hakutaka Nahreel aondoke sababu alikua na jina kubwa sana kipindi hiko. Nahreel alikua ashapata pesa ya kuanzisha studio yake "The industry" isingewezekana kuwa chini ya mtu tena.
Nimechoka kutype, ila umeandika uongo mwingi
NB: Nahreel ni moja ya producer bora kabisa kuwahi kutokea - anaingia Top 5 ya best of all time
Sahihi kabisa1 - sio kweli, nimrod ni baba mkubwa. Ushua ulikuwepo Ila baadae wazazi wake hawakua sawa na nimrod. So ushua ulitoweka na hata sasa wazazi hawapo sawa na mtoto
2 - beef ilikuwepo, sio chin bees tu hata na ola na damas pia. Mkishakua pamoja mkitengana lazima maneno yaanze. Kuhusu nyimbo za game na kamatia chini, huo ni uongo.
3 - Nahreel maisha hayajawahi kumshinda, ni Aika kukata tamaa na muziki tu lakini sio maisha kama maisha. Moyoni sio tobo lao, wimbo uliokua tobo lao ni "chelewa(bokodo)", moyoni ilikuja kuboost tu
4 - wimbo uliomtoa Nahreel kama producer ni ongea na mshua?? Hapana sio kweli, wimbo uliomtoa Nahreel ni "Niaje Nivipi" wa Joh makini ulifanyika Kama kawa records na ilikua 2008, hiyo ongea na mshua ilikuja baadae sana, akiwa tayari ameshajulikana na kufanya nyimbo kubwa tu ikiwemo "stimu zimelipiwa" ya Joh Makini, huu ni wimbo mkubwa sana wa hip-hop na ndio ulikua wimbo bora wa mwaka na ukampa joh makini tuzo ya mwanahiphop bora kwa mara ya kwanza
NB: ongea na mshua haikufanyika Kama kawa, ulifanyika mj records. Tudd Thomas kama kawa? Wengi wanamfananisha Yudd wa kama kawa na Tudd. Yudd kwa sasa yupo tongwe records
5 - Sio kweli, wimbo wenye viewers wengi you tube ni "kwangwaru"
Beef na quick racka haikua beef bali quick hakutaka Nahreel aondoke sababu alikua na jina kubwa sana kipindi hiko. Nahreel alikua ashapata pesa ya kuanzisha studio yake "The industry" isingewezekana kuwa chini ya mtu tena.
Nimechoka kutype, ila umeandika uongo mwingi
NB: Nahreel ni moja ya producer bora kabisa kuwahi kutokea - anaingia Top 5 ya best of all time
Safi hatu pishani sana mkuu kwangu wako 3Kwangu ni mmoja Kati ya watayarishaji Bora kwa bongo
1 Pancho latino Rip
2 Nahreel
Midundo na ubunifu tofauti na Hawa wengine
Kumbe ana puliza kiko....Namwelewa sana Chin bees...ila apunguze msuba
sura inasoma hivyo....sikikiza lyrics zakeKumbe ana puliza kiko....