Mambo mawili yaliyonishangaza Tanga

Jimbo linaloongozwa na CCM na Juma Aweso Waziri wa Maji.

Handeni wananchi wote ni CCM ili ujue na ujifunze madhara ya CCM kujikita mahali
"CCM kujikita mahali" Yaani ulivyo isema ni kama li dude fulani [emoji23][emoji23][emoji23]
 

Ongamshi
 
Kuishi maisha ya kifukara wakati mwingine ni kutaka mwenyewe.
Inamaana hawajui umuhimu wa viatu, raha ya kuwa na nyumba nzuri nk? Hakuna serikali itakayokuchukulia fimbo uvae vizuri kama hautaki
 
Kuishi maisha ya kifukara wakati mwingine ni kutaka mwenyewe.
Inamaana hawajui umuhimu wa viatu, raha ya kuwa na nyumba nzuri nk? Hakuna serikali itakayokuchukulia fimbo uvae vizuri kama hautaki
Kwamba kuna watu ukiwawekea utari hapa na umasikini pale wanachagua UMASIKINI???


How old are you????
 
""Icho kipande naomba apewe mwekezaji kwa ajili ya kuwekeza makazi ya kisasa kama Kule Dubai nilipo tembelea""
 
Hiyo wilaya watu ni masikin sana aisee shida pia wana iman za kishirikina sana.
 
Inasikitisha sana kwakweli
 
Watu wa Tanga waambie mapenzi na kupika.
 
ngoja niende na kamilioni kangu nikawe tajiri wa kijiji nimechoka kudharauliwa nitawajuza wakuu😂
 
Kwamgwe mna computer/simu janja na internet?
 
swala la ziguani kutembea peku ni kawaida, swala la Elimu kule bado Sana, kule mtu kama mwalimu ndio Tajiri na anaheshimika, kijiji kizima wote ni umasikini. Elimu iliwapitia mbali watoto wanashinda mitaani, utajiri kwao ni kulogana na umbea. Ukiwaambia CCM ni mbaya utalogwa mpaka ukome, Mtu akivaa kofia ya CCM anaogowa Balaam. Kiukweli kule kuja kujitambua kwa watu wa wilaya nzima itawachumua nusu Karne
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…